Makubaliano ya kukomesha uhasama baina ya Uganda na Rwanda
Aug 23, 2019 01:40 UTC
Siku moja baada ya Uganda na Rwanda kusaini makubaliano ya kukomesha matatizo yao, baadhi ya wachambuzi wanasema makubaliano hayo yaliyosainiwa Luanda Angola yatakuwa na maana ikiwa yatatekelezwa. Sylvanua Karemera na maelezo zaidi kutoka Kigali...
Tags