-
Hatua za undumakuwili za nchi za Ulaya kuhusu ugaidi
Jan 13, 2024 23:13Mahakama ya Rufaa ya Denmark inayojulikana kwa jina la "The Eastern High Court" Ijumaa tarehe 12 Januari ilipasisha hukumu ya kifungo jela kwa watu watatu ambao ni wanachama wa kundi linalotaka kujitenga la "Al Ahwaziya" ambao walituhumiwa kueneza ugaidi nchini na kukusanya taarifa za kijasusi kwa ajii ya Shirika la ujasusi la Saudi Arabia.
-
Juhudi za utawala wa Kizayuni za kupotosha uhakika wa kutisha wa vita vya Gaza
Jan 13, 2024 08:46Kikao cha kusikiliza kesi iliyowasilishwa na Afrika Kusini dhidi ya Israel katika Mahakama ya Kimataifa ya Haki, ICJ, yenye makao yake huko Hague Uholanzi kimeanza katika hali ambayo mauaji ya kimbari na jinai za kivita za utawala wa Israel unaoiklia Quds kwa mabavu zingali zinaendelea katika ardhi za Palestina; na kila siku wananchi wa Palestina wanaendelea kuuliwa shahidi.
-
Islamabad yaituhumu Kabul sambamba na kufanyika juhudi za kupunguza mivutano
Jan 13, 2024 02:56Sambamba na kufanyika safari ya Mkuu wa chama cha Jamiat Ulamae Pakistan na mazungumzo yake na maafisa wakuu wa kundi la Taliban la Afghanistan kwa lengo la kupunguza mivutano, Waziri Mkuu wa Serikali ya Mpito ya Pakistan kwa mara nyingine tena amedai kuwa ardhi ya Afghanistan inatumiwa na maadui dhidi ya Pakistan.
-
Ombi la serikali ya China kwa watu wa Taiwan
Jan 12, 2024 23:17Serikali ya China imewataka watu wa kisiwa cha Taiwan kutompigia kura William Lai, mgombea mkuu wa uchaguzi wa urais katika kisiwa hicho.
-
Shambulio dhidi ya Yemen, duru mpya ya chokochoko za Marekani na Magharibi katika eneo
Jan 12, 2024 06:00Siku moja baada ya kupitishwa rasimu ya azimio lililopendekezwa na Marekani la kulaani kile kilichoitwa mashambulio ya Yemen dhidi ya meli katika Bahari Nyekundu, Washington imeishambulia Yemen katika duru mpya ya chokochoko zake katika eneo.
-
Kuanza kusikilizwa mashtaka ya Afrika Kusini katika Mahakama ya Kimataifa ya Haki dhidi ya utawala wa Kizayuni
Jan 11, 2024 23:11Mahakama ya Kimataifa ya Haki yenye makao makuu yake mjini The Hague Uholanzi Alhamisi na Ijumaa inasikiliza na kukusanya mitazamo ya kisheria ya Afrika Kusini na utawala wa Kizayuni kuhusu kesi ya mauaji ya kimbari katika Ukanda wa Gaza. Moja ya shughuli za mahakama hiyo ni kushughulikia mashtaka yanayohusiana na Mkataba wa Mauaji ya Kimbari wa 1948. Mkataba huo unatambuliwa rasmi na nchi 153.
-
Kiwewe cha Netanyahu cha kufanyika mapinduzi dhidi yake ndani ya chama chake cha Likud
Jan 11, 2024 10:58Waziri mkuu wa utawala wa Kizayuni, Benjami Netanyahu amekumbwa na kiwewe cha kuongezeka hisia za kufanyika mapinduzi dhidi yake ndani ya chama chake cha Likud, jinamizi ambalo amekuwa akifanya kila aina ya jinai ili kulikwepa.
-
Njama za Marekani za kuendelea kubakia kijeshi nchini Iraq
Jan 11, 2024 03:44Licha ya serikali ya Iraq kuitaka Marekani iondoe wanajeshi wake nchini humo, lakini Washington imetangaza kuwa, haina ratiba yoyote ya kutoka katika nchi hiyo ya Kiarabu.
-
Mashambulizi ya kigaidi Afghanistan na katika eneo yanahitaji mapambano makubwa dhidi ya ugaidi
Jan 11, 2024 00:35Kabul mji mkuu wa Afghanistan Jumanne wiki hii ulikumbwa na shambulio la kigaidi; na kwa mujibu wa Khalid Zadran, msemaji wa Polisi ya Kabul, watu watatu waliuawa na wengine wanne kujeruhiwa katika mripuko wa bomu lililokuwa limetegwa kwenye gari katika mkoa wa 16 wa kiusalama mjini Kabul.
-
Ugaidi, mbinu ya Israeli ya kukwepa fedheha ya kushindwa kijeshi
Jan 10, 2024 07:41Kushindwa Israel kufikia malengo ya kijeshi katika medani ya vita huko Gaza kumeifanya kugeukia mbinu ya kuwaua kigaidi makamanda wa makundi ya muqawama.