-
Daesh; Wakala wa niaba wa Marekani na utawala wa Kizayuni katika eneo
Jan 07, 2024 01:01Kundi la kigaidi la Daesh Alhamisi usiku lilitangaza kuhusika na miripuko ya kigaidi katika mji wa Kerman kusini mashariki mwa Iran huku genge hilo likihesabiwa kuwa kundi lililoasisiwa kwa niaba ya Marekani na utawala wa Kizayuni katika eneo la Asia Magharibi.
-
Kumbukumbu ya mwaka wa 3 tangu baada ya tukio la Januari 6; Ishara ya kufifia demokrasia ya Marekani
Jan 06, 2024 07:22Maadhimisho ya miaka mitatu ya shambulio dhidi ya Bunge la Congress ya Marekani Januari 6, 2021 yamewadia huku wapinzani wawili katika uchaguzi wa rais, ambao ni Rais Mdemocrati, Joe Biden, na mgombea mkuu wa chama cha Republican, Donald Trump, wakishambuliana kwa maneno makali hasa katika kipindi hiki cha kuingia mwaka wa uchaguzi wa rais nchini Marekani.
-
Athari mbaya za kushadidi mvutano katika baraza la mawaziri la vita la utawala wa Israel
Jan 06, 2024 02:50Vyanzo vya habari katika ardhi inayokaliwa kwa mabavu ya Palestina (Israel) vimeripoti kuwa kikao cha baraza la mawaziri la vita la Benjamin Netanyahu kimetawaliwa na mvutano mkubwa na kwamba kimemalizika kwa mawaziri kurushiana maneno na malumbano makali.
-
Kukamatwa mtandao wa kijasusi wa Mossad nchini Uturuki
Jan 05, 2024 23:28Ikiwa ni katika juhudi zinazoendelea za kufuatilia, kufichua na kuvunjwa mitandao ya kijasusi ya Israel nchini Uturuki, serikali ya Ankara kwa mara nyingine imetangaza kuwa mtandao wa kijasusi wa Mossad umegunduliwa nchini humo na baadhi ya wanachama wake kukamatwa.
-
Beijing yaionya Taipei huku uchaguzi ukikaribia kufanyika katika kisiwa cha Taiwan
Jan 05, 2024 04:14Huku uchaguzi mkuu wa rais na bunge ukikaribia kufanyika huko Taiwan tarehe 13 January, kiongozi wa ngazi ya juu ya China ameutaja uchaguzi huo kuwa chaguo kati ya vita na amani.
-
Ugaidi, njama iliyoshindwa ya maadui dhidi ya Iran ya Kiislamu
Jan 04, 2024 08:31Maadui wa Iran ya Kiislamu kwa mara nyingine tena wamewaua shahidi na kuwajeruhi mamia ya raia katika kitendo cha kigaidi.
-
Sisitizo la Umoja wa Mataifa kuwa kuhamishwa kwa nguvu wakazi wa Gaza ni sawa na mauaji ya halaiki
Jan 04, 2024 08:00Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa siku ya Jumatano alisema kuwa kuhamishwa kwa nguvu na kufukuzwa watu wa Gaza ni "mauaji ya halaiki" na kuzionya nchi zisishiriki katika hatua hiyo ya kijinai.
-
Mauaji ya kigaidi ya Saleh al-Arouri; Utawala wa Kizayuni wakiri kushindwa katika malengo ya kijeshi ya vita vya Gaza
Jan 04, 2024 02:20Katika kitendo cha jinai, utawala wa Kizayuni wa Israel umemuua Saleh al-Arouri na wapiganaji wengine 7 wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) huko Beirut. Uhalifu huu unaweza kuchambuliwa katika pande kadhaa.
-
Kufungwa ubalozi wa Ufaransa nchini Niger
Jan 04, 2024 01:11Hatimaye ubalozi wa Ufaransa umefungwa rasmi nchini Niger miezi kadhaa baada ya kufanyika marekebisho ya kisiasa na Baraza la Kijeshi kuchukua uongozi wa nchi, ambapo lilisisitiza kuondoka vikosi vya kijeshi na kukomeshwa satwa ya Ufaransa katika nchi hiyo ya Kiafrika.
-
Kuongezeka uwepo wa wanamaji wa Iran katika Bahari Nyekundu
Jan 03, 2024 08:31Meli ya kivita ya Alborz imerudi tena katika Bahari Nyekundu ikiwa ni katika Meli za Kikosi cha 94 cha Jeshi la Wanamaji la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, kupitia Lango-Bahari la Bab al-Mandab. Manowari hiyo ya Alborz ilijiunga na Meli za Kusini za Jeshi la Wanamaji Desemba 2019 baada ya kufanyiwa ukarabati mkubwa na kuwekwa humo mifumo mipya ya kiteknolojia.