-
Maandamano ya wananchi wa Uturuki ya kupinga vita
Jan 03, 2024 03:59Katika muendelezo wa maandamano ya kupinga mauaji ya kimbari ya Waislamu huko Gaza, makumi ya maelfu ya wananchi wa Uturuki wamefanya maandamano makubwa mjini Istanbul kupinga jinai za utawala wa Kizayuni na mauaji ya vijana wa Kituruki kaskazini mwa Iraq katika siku ya kwanza ya mwaka huu mpya wa 2024.
-
Kushtadi mvutano kati ya Netanyahu na Biden kuhusu Gaza
Jan 02, 2024 23:16Gazeti la Marekani la New York Times limetangaza katika ripoti iliyowanukuu maafisa wa Marekani na Wazayuni kwamba, mazungumzo ya hivi karibuni kati ya Rais Joe Biden wa Marekani na Benjamin Netanyahu Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel yalitawaliwa na malumbano na kurushiana maneno.
-
Kususiwa Biden na Waislamu wa Marekani katika uchaguzi wa mwaka huu (2024)
Jan 02, 2024 04:55Huku Rais Joe Biden wa Marekani akiendelea kuunga mkono jinai zinazofanywa na utawala wa Kizayuni katika vita vya Gaza, Waislamu wa Marekani wameanzisha kampeni dhidi ya Trump katika majimbo kadhaa muhimu kwa ajili ya uchaguzi wa mwaka huu wa 2024.
-
Kujiunga rasmi Iran na kundi na BRICS
Jan 02, 2024 04:36Mwakilishi wa Afrika Kusini katika Kundi la mataifa yanayoinukia kiuchumi duniani (BRICS) ameeleza kuwa Iran, Saudi Arabia, Imarati, Misri na Ethiopia zimejiunga rasmi na kundi hilo kuanzia Januari Mosi mwaka huu wa 2024.
-
Uchaguzi wa urais wa 2024 na kuongezeka hatari ya ugaidi ndani ya Marekani
Jan 01, 2024 23:18Jena Marie Griswold, Waziri wa Mambo ya Ndani wa Jimbo la Colorado nchini Marekani, amesema kuwa ametishiwa maisha mara kadhaa baada ya kuwasilisha malalamiko yaliyopelekea kuondolewa jina la Donald Trump, mgombea wa chama cha Republican katika uchaguzi wa rais wa Marekani mwaka huu wa 2024 kwenye orodha ya wagombea katika jimbo hilo.
-
Kuachishwa kazi Waziri wa Mambo ya Nje; matokeo ya kwanza ya kisiasa ya vita vya Gaza
Jan 01, 2024 07:07Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni amemfuta kazi Waziri wa Mambo ya Nje wa Baraza lake la Mawaziri katika siku ya mwisho ya 2023.
-
Azma ya Tehran na Islamabad ya kuimarisha uhusiano wao katika nyuga mbalimbali
Jan 01, 2024 04:30Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Pakistan ameeleza kuridhishwa kwake na mwenendo unaokua wa uhusiano kati ya nchi yake na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Bwabwaja za Wazayuni dhidi ya Iran, katikati ya mgogoro
Jan 01, 2024 01:08Naftali Bennett, Waziri Mkuu wa zamani wa utawala wa Kizayuni amedai katika makala iliyochapishwa tarehe 28 Disemba (7 Januari) katika gazeti la Wall Street Journal kwamba utawala huo na Marekani zinapasa kuweka lengo la wazi la kuuangusha mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Afrika Kusini yaushtaki utawala wa Kizayuni kwa kuendesha mauaji ya kimbari dhidi ya Wapalestina
Dec 31, 2023 07:51Kufuatia kuendelea jinai za utawala wa kibaguzi wa Israel dhidi ya Wapalestina wasio na hatia, Afrika Kusini imeushtaki rasmi utawala huo katika Mahakama ya Kimataifa ya Haki huko The Haque. Mastaka muhimu ya Afrika Kusini ni jinai za kivita, mauaji ya kizazi na kikabila huko Gaza na katika maeneo mengine ya ardhi zinazokaliwa kwa mabavu ya Palestina.
-
Sisitizo la Kiongozi wa Korea ya Kaskazini la kujiweka tayari jeshi la nchi hiyo kwa ajili ya kukabiliana na Marekani
Dec 31, 2023 01:00Kim Jong Un Kiongozi wa Korea Kaskazini ameviagiza vikosi vya ulinzi vya nchi hiyo, sekta ya uundaji silaha na kitengo cha silaha za nyuklia cha nchi hiyo vijiandae kuingia vitani na Marekani ikiwa ni jibu kwa hatua kubwa za kichokozi na uhasama za nchi hiyo.