-
Kufichuliwa pande mpya za uhusiano wa Jeffrey Epstein na wanasiasa wa Magharibi na Mossad
Jan 07, 2024 23:17Nyaraka zinazohusiana na Jeffrey Epstein, bepari na bilionea aliyepatikana na hatia ya biashara ya ngono, zimewekwa hadharani kwa amri ya jaji wa mahakama moja ya Marekani, ambapo zimeanika peupe uhusiano wa siri aliokuwa nao na watu mashuhuri wa nchi hiyo na vile vile shirika la ujasusi la utawala haramu wa Israel, Mossad.
-
Azma thabiti ya serikali ya Iraq kuondolewa nchini humo wanajeshi wa Marekani
Jan 07, 2024 04:47Waziri Mkuu wa Iraq amesisitiza katika msimamo nadra kabisa juu ya ulazima wa kuondoka nchini humo wanajeshi vamizi wa Marekani.
-
Nukta 5 za kiuchambuzi katika hotuba ya pili ya Seyyid Hassan Nasrallah mwaka 2024
Jan 07, 2024 03:59Seyyid Hassan Nasrallah, Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon tarehe 5 Januri katika hotuba yake ya pili katika mwaka huu mpya wa 2024 amejadili vita vya Gaza, kuuawa shahidi Saleh al-Arouri, kiongozi wa Hamas na jinai ya kigaidi huko Kerman.
-
Daesh; Wakala wa niaba wa Marekani na utawala wa Kizayuni katika eneo
Jan 07, 2024 01:01Kundi la kigaidi la Daesh Alhamisi usiku lilitangaza kuhusika na miripuko ya kigaidi katika mji wa Kerman kusini mashariki mwa Iran huku genge hilo likihesabiwa kuwa kundi lililoasisiwa kwa niaba ya Marekani na utawala wa Kizayuni katika eneo la Asia Magharibi.
-
Kumbukumbu ya mwaka wa 3 tangu baada ya tukio la Januari 6; Ishara ya kufifia demokrasia ya Marekani
Jan 06, 2024 07:22Maadhimisho ya miaka mitatu ya shambulio dhidi ya Bunge la Congress ya Marekani Januari 6, 2021 yamewadia huku wapinzani wawili katika uchaguzi wa rais, ambao ni Rais Mdemocrati, Joe Biden, na mgombea mkuu wa chama cha Republican, Donald Trump, wakishambuliana kwa maneno makali hasa katika kipindi hiki cha kuingia mwaka wa uchaguzi wa rais nchini Marekani.
-
Athari mbaya za kushadidi mvutano katika baraza la mawaziri la vita la utawala wa Israel
Jan 06, 2024 02:50Vyanzo vya habari katika ardhi inayokaliwa kwa mabavu ya Palestina (Israel) vimeripoti kuwa kikao cha baraza la mawaziri la vita la Benjamin Netanyahu kimetawaliwa na mvutano mkubwa na kwamba kimemalizika kwa mawaziri kurushiana maneno na malumbano makali.
-
Kukamatwa mtandao wa kijasusi wa Mossad nchini Uturuki
Jan 05, 2024 23:28Ikiwa ni katika juhudi zinazoendelea za kufuatilia, kufichua na kuvunjwa mitandao ya kijasusi ya Israel nchini Uturuki, serikali ya Ankara kwa mara nyingine imetangaza kuwa mtandao wa kijasusi wa Mossad umegunduliwa nchini humo na baadhi ya wanachama wake kukamatwa.
-
Beijing yaionya Taipei huku uchaguzi ukikaribia kufanyika katika kisiwa cha Taiwan
Jan 05, 2024 04:14Huku uchaguzi mkuu wa rais na bunge ukikaribia kufanyika huko Taiwan tarehe 13 January, kiongozi wa ngazi ya juu ya China ameutaja uchaguzi huo kuwa chaguo kati ya vita na amani.
-
Ugaidi, njama iliyoshindwa ya maadui dhidi ya Iran ya Kiislamu
Jan 04, 2024 08:31Maadui wa Iran ya Kiislamu kwa mara nyingine tena wamewaua shahidi na kuwajeruhi mamia ya raia katika kitendo cha kigaidi.
-
Sisitizo la Umoja wa Mataifa kuwa kuhamishwa kwa nguvu wakazi wa Gaza ni sawa na mauaji ya halaiki
Jan 04, 2024 08:00Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa siku ya Jumatano alisema kuwa kuhamishwa kwa nguvu na kufukuzwa watu wa Gaza ni "mauaji ya halaiki" na kuzionya nchi zisishiriki katika hatua hiyo ya kijinai.