-
Marekani yaikatisha tamaa Ukraine, onyo la Zelensky
Dec 23, 2023 02:50Kuendelea mvutano kati ya Warepublican na Ikulu ya White House juu ya kupasishwa msaada mpya kwa Ukraine, pamoja na kutoa kipaumbele Washington kwa vita vya Gaza na natija yake kusahaulika vita vya Ukraine, kumepelekea serikali ya Biden kuitahadharisha Kyiv kuhusu uwezekano wa kukatiwa au kupunguziwa kiasi kikubwa cha misaada yake.
-
Kuimarika uhusiano wa Russia na China, changamoto kubwa kwa mfumo wa Magharibi duniani
Dec 23, 2023 01:11Katika ziara yake nchini China, Waziri Mkuu wa Russia amesema kuimarishwa uhusiano wa pande mbili ni kwa manufaa ya Moscow na Beijing.
-
Manuva ya pande tatu ya Korea Kusini, Japan na Marekani
Dec 22, 2023 05:58Korea Kusini, Japan na Marekani zimefanya manuva ya pamoja ya anga. Inasemekana kuwa zoezi hilo la kijeshi limefanyika katika kujibu jaribio la kombora la masafa marefu lililofanywa hivi karibuni na Korea Kaskazini katika anga ya Peninsula ya Korea.
-
Onyo la Macron kuhusu kuharibiwa Gaza na Wazayuni
Dec 21, 2023 22:59Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa ametahadharisha kuhusu uwezekano wa kuangamizwa Ukanda wa Gaza kwa mashambulizi kipofu ya utawala haramu wa Israel huku mauaji ya kimbari dhidi ya Wapalestina yakiendelezwa na utawala huo katili katika ukanda huo.
-
Kushtadi tofauti katika Baraza la Mawaziri la Netanyahu kuhusu kuendelea vita vya Gaza
Dec 21, 2023 06:54Vyombo vya habari vya Kizayuni vimeripoti kutokea mvutano katika Baraza la Mawaziri la serikali ya utawala ghasibu wa Israel kuhusiana na vita vya Gaza.
-
Wajibu wa kibinadamu, kimaadili na kidini wa Wakristo kuhusu mauaji ya halaiki huko Gaza
Dec 21, 2023 04:36Katika siku ya 75 ya hujuma ya kinyama ya utawala wa Kizayuni katika Ukanda wa Gaza, jeshi la utawala huo limefunga kikamilifu hospitali ya al-Ma'madani na kuizuia kutolewa huduma za dharura kwa wagonjwa na majeruhi katika hospitali hiyo.
-
Dalili za usitishaji mpya wa mapigano huko Gaza katika siku ya 75 ya Kimbunga cha Al-Aqsa
Dec 20, 2023 23:35Katika siku ya 75 ya operesheni ya kimbunga cha al-Aqsa, utawala wa Kizayuni umeanzisha tena mashambulizi makali ya anga katika maeneo ya mashariki na kusini mashariki mwa Khan Yunis kusini mwa Ukanda wa Gaza.
-
Mahakama ya Uswidi yamhukumu kisiasa Hamid Nouri
Dec 20, 2023 07:34Siku ya Jumanne, Mahakama ya Rufaa ya Uswidi, katika hatua ya kisiasa na iliyo mbali na mchakato wa kisheria, ilithibitisha hukumu ya kifungo cha maisha jela kwa raia wa Iran Hamid Nouri.
-
Hatua isiyo na mzaha ya Yemen katika Bahari Nyekundu na kuchanganyikiwa Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel
Dec 20, 2023 04:47Kufuatia kuendelea vita vya kila upande vya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Gaza ambavyo vimesababisha mauaji ya kimbari, Wayemen wamekuwa wakilenga meli yoyote katika Bahari Nyekundu inayoelekea katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu (Israel).
-
Kujiandikisha Putin kwa ajili ya uchaguzi wa Russia 2024
Dec 19, 2023 23:07Msemaji wa Kremlin Dmitry Peskov amethibitisha hhatua ya kwenda Rais Vladimir Putin wa Russia katika Kamati Kuu ya Uchaguzi ya nchi hiyo na kujiandikisha kama mgombea kwa muhula ujao wa urais, ambao utafanyika katikati ya Machi 2024. Putin amewasilisha stakabadhi zinazohitajika ili kujiandikisha kuwa mgombea urais.