-
Radiamali ya Afghanistan kwa hatua ya Baraza la Usalama ya kujadidisha vikwazo dhidi ya Taliban
Dec 19, 2023 05:24Zabihullah Mujahid, msemaji wa serikali ya Taliban ya Afghanistan, amekosoa kurefushwa muda wa vikwazo vya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa dhidi ya Taliban kwa mwaka mmoja mwingine.
-
Hasara kubwa za Wazayuni katika vita vya Al-Shujaiyya
Dec 19, 2023 01:37Wazayuni wanajitahidi kuingia katika eneo la Al-Shuja'iyya huko Gaza, huku kukiwa hakuna dalili za kufanikiwa kwao katika eneo hilo.
-
Sisitizo la Putin la kutoziami nchi za Magharibi
Dec 18, 2023 23:04Siku ya Jumapili, Rais Vladimir Putin wa Russia alikiri katika hotuba isiyokuwa ya kawaida kwamba ni makosa kuzidhania vizuri na kuzitegemea nchi za Magharibi na kufikiria kuwa Russia haina tofauti na nchi hizo. Alisema: Nilidhani kimakosa kuwa hakungekuwepo mzozo kati ya Russia na nchi za Magharibi na kwamba ulimwengu ulikuwa umebadilika.
-
Mchezo ulioshindwa mara kadhaa wa Israeli na Marekani katika vita vya Gaza
Dec 18, 2023 08:46Kulipuliwa nyumba, shule za umoja wa Mataifa, vituo vya matibabu na kuuliwa kinyama makumi ya maelfu ya Wapalestina pamoja na kujeruhiwa maelfu ya wengine katika Ukanda wa Gaza, na mapambano makali kati ya wapiganaji wa Kipalestina na askari vamizi huko Khan Yunis, ni moja ya habari muhimu zinazohusiana na Palestina inayokaliwa kwa mabavu Wazayuni.
-
Uungaji mkono usio na kikomo wa US na UK kwa utawala wa Kizayuni; kuanzia misaada ya kila hali mpaka uwekaji vikwazo dhidi ya Muqawama
Dec 18, 2023 02:42Serikali za Marekani na Uingereza zinazojinasibu kuwa watetezi wa haki za binadamu, mara hii zimeendeleza uungaji mkono wao kwa jinai za utawala wa Kizayuni dhidi ya watu wa Gaza kwa kuwawekea vikwazo vipya makamanda wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC).
-
Israel mhusika mkuu wa kuenea vita kutoka Gaza hadi Ukingo wa Magharibi na maeneo mengine
Dec 18, 2023 00:53Katika saa za kwanza za asubuhi ya siku ya 71 ya "Kimbunga cha Al-Aqsa", ndege za kivita za utawala wa Kizayuni zilishambulia kikatili kwa mabomu maeneo ya makazi ya raia mashariki mwa Rafah kusini mwa Ukanda wa Gaza. Maeneo ya Katikati na kaskazini-magharibi mwa Khan Yunis pia yalilengwa kwa makombora ya wavamizi hao.
-
Israel yazingirwa majini na nchi tajiri zaidi ya Kiarabu kwa mtazamo wa ujasiri na heshima
Dec 17, 2023 04:26'Sasa kwa vile chakula na dawa vimezuiwa kuingia Gaza, tutazuia meli kuingia na kutoka Tel Aviv.' Hayo ni matamshi yalitolewa na Brigedia Jenerali Yahya Saree, Msemaji rasmi wa Jeshi la Yemen, na hii ina maana kwamba Yemen italenga meli zote zinazoelekea Tel Aviv bila kubagua ni meli ya nchi gani.
-
Kushindwa Umoja wa Ulaya kuchukua msimamo wa pamoja kuhusu mgogoro wa vita vya Gaza
Dec 16, 2023 08:03Mkutano wa siku mbili wa Baraza la Ulaya umemalizika huku viongozi wa nchi 27 za Ulaya wakishindwa kufikia makubaliano ya pamoja katika taarifa yao ya mwisho kuhusiana na jinsi ya kukabiliana na matukio ya Gaza.
-
Droni Karrar yenye kombora Majid, mafanikio muhimu ya ulinzi wa anga wa Jeshi la Iran
Dec 16, 2023 03:23Siku chache zilizopita mamia ya ndege zisizo na rubani (droni) aina ya Karrar zilizo na makombora yanayojulikana kwa jina Majid, ziliongezwa katika Kikosi cha Ulinzi wa Anga katika maeneo yote ya mipakani ya Iran.
-
Waziri wa Mambo ya Nje waTaliban asisitiza umuhimu wa kuimarisha uhusiano na Iran
Dec 15, 2023 23:22Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa serikali ya Taliban ya Afghanistan amesisitiza kuwa kuna umuhimu wa kudumisha na kuimarisha uhusiano wa kisiasa, kiuchumi na kiutamaduni na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.