-
Sababu za siri za umwagaji damu wa Israeli huko Gaza
Nov 20, 2023 03:50Mauaji ya halaiki na ya kizazi yanayofanywa na utawala wa kigaidi wa Israel huko Gaza yameingia katika siku yake ya arubaini na tano, huku taasisi za kieneo na kimataifa zikiwa zimekaa kimya na hivyo kuupa utawala huo alama ya taa ya kijani kwa ajili ya kuendeleza jinai zake hizo dhidi ya raia wasio na hatia.
-
Ombi kwa ICC kuchunguza jinai za kivita za Israel huko Gaza
Nov 19, 2023 23:57Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai za Kivita ya The Hague ICC ametangaza habari ya kupokea maombi ya nchi 5 kwa ajili ya kuchunguzwa jinai za kivita za utawala wa Kizayuni huko Ukanda wa Gaza.
-
Matokeo ya kiuchumi ya vita vya Gaza kwa utawala wa Kizayuni
Nov 19, 2023 07:54Operesheni ya Kimbunga cha Al-Aqsa ya tarehe 7 Oktoba ambayo imeupelekea utawala haramu wa Israel kupata kipigo kikubwa kihistoria imeupelekea pia utawala huo kuendelea kushindwa katika nyanja nyingine hasa ikitiliwa maanani kwamba ungali unaendeleza mauaji ya kimbari dhidi ya raia wa Palestina katika Ukanda wa Gaza.
-
Indhari kuhusu kukaririwa Nakba ya pili huko Palestina
Nov 19, 2023 02:32Maafisa wa Umoja wa Mataifa sambamba na kutahadharisha kuwa, utawala wa Kizayuni unapanga kukariri Nakba ya pili huko Gaza, wametangaza kuwa, Israel inatumia mbinu ya kukata mawasiliano ya simu na Intaneti kuficha jinai zake.
-
Kubadilika kikamilifu sera za nje za Pakistan mkabala wa Taliban ya Afghanistan
Nov 18, 2023 23:02Waziri Mkuu wa Pakistan amesema katika matamshi nadra na ya aina yake kuwahi kutolewa kuhusu mivutano ya karibuni kati ya nchi hiyo na utawala wa Taliban ya Afghanistan kuwa uhusiano wa nchi mbili hizo utaboreka pale serikali halali itakapoingia madarakani huko Afghanistan.
-
Safari ya Rais wa China nchini Marekani
Nov 18, 2023 07:50Rais Xi Jinping wa China amesisitiza katika mazungumzo yake na Rais Joe Biden wa Marekani katika mji wa San Francisco katika jimbo la California kwamba Beijing na Washington zinapasa kufanya juhudi za kutatua hitilafu kubwa zilizopo baina yao, kila upande uheshimu mistari myekundu na kanuni za upande wa pili na zijiepushe na hatua za kichochezi.
-
Sababu na matokeo ya kuuzuliwa Spika wa Bunge la Iraq
Nov 18, 2023 03:14Jumanne iliyopita, Mahakama ya Juu ya Iraq ilimuuzulu Spika wa Bunge la nchi hiyo, Mohammad Al-Halbousi.
-
Kucheleweshwa azimio la Baraza la Usalama katika kivuli cha mashambulio ya pande zote dhidi ya Gaza
Nov 17, 2023 23:24Ingawa Baraza la Usalama hatimaye limefanikiwa kupitisha azimio la usitishaji vita wa muda na wa kibinadamu huko Gaza baada ya kupita siku 40, lakini utawala wa Kizayuni umepuuzilia mbali azimio hilo na kuendelea kuushambulia kinyama Ukanda wa Gaza.
-
Jibu la Iran kuhusu kupasishwa azimio la Canada dhidi yake
Nov 17, 2023 05:44Kamati ya Tatu ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa imepitisha azimio jipya kuhusu hali ya haki za binadamu nchini Iran katika hali ambayo idadi ya walioliunga mkono ilikuwa ndogo kuliko ya wale waliolipigia au kujizuia kupiga kura.
-
Azimio la Baraza la Usalama kuhusu vita vya Gaza: Makubaliano ya kiwango cha chini
Nov 16, 2023 23:47Uzembe wa Umoja wa Mataifa na hasa mkwamo katika Baraza la Usalama la umoja huo ambao una jukumu muhimu la kulinda amani na usalama wa kimataifa, kuhusu vita vya Gaza, jinai za kivita na mauaji ya kimbari ya Wapalestina yanayofanywa na utawala wa Kizayuni, umekosolewa vikali kimataifa.