Uchambuzi
  • Ombi kwa ICC kuchunguza jinai za kivita za Israel huko Gaza

    Ombi kwa ICC kuchunguza jinai za kivita za Israel huko Gaza

    Nov 19, 2023 23:57

    Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai za Kivita ya The Hague ICC ametangaza habari ya kupokea maombi ya nchi 5 kwa ajili ya kuchunguzwa jinai za kivita za utawala wa Kizayuni huko Ukanda wa Gaza.

  • Matokeo ya kiuchumi ya vita vya Gaza kwa utawala wa Kizayuni

    Matokeo ya kiuchumi ya vita vya Gaza kwa utawala wa Kizayuni

    Nov 19, 2023 07:54

    Operesheni ya Kimbunga cha Al-Aqsa ya tarehe 7 Oktoba ambayo imeupelekea utawala haramu wa Israel kupata kipigo kikubwa kihistoria imeupelekea pia utawala huo kuendelea kushindwa katika nyanja nyingine hasa ikitiliwa maanani kwamba ungali unaendeleza mauaji ya kimbari dhidi ya raia wa Palestina katika Ukanda wa Gaza.

  • Indhari kuhusu kukaririwa Nakba ya pili huko Palestina

    Indhari kuhusu kukaririwa Nakba ya pili huko Palestina

    Nov 19, 2023 02:32

    Maafisa wa Umoja wa Mataifa sambamba na kutahadharisha kuwa, utawala wa Kizayuni unapanga kukariri Nakba ya pili huko Gaza, wametangaza kuwa, Israel inatumia mbinu ya kukata mawasiliano ya simu na Intaneti kuficha jinai zake.

  • Kubadilika kikamilifu sera za nje za Pakistan mkabala wa Taliban ya Afghanistan

    Kubadilika kikamilifu sera za nje za Pakistan mkabala wa Taliban ya Afghanistan

    Nov 18, 2023 23:02

    Waziri Mkuu wa Pakistan amesema katika matamshi nadra na ya aina yake kuwahi kutolewa kuhusu mivutano ya karibuni kati ya nchi hiyo na utawala wa Taliban ya Afghanistan kuwa uhusiano wa nchi mbili hizo utaboreka pale serikali halali itakapoingia madarakani huko Afghanistan.

  • Safari ya Rais wa China nchini Marekani

    Safari ya Rais wa China nchini Marekani

    Nov 18, 2023 07:50

    Rais Xi Jinping wa China amesisitiza katika mazungumzo yake na Rais Joe Biden wa Marekani katika mji wa San Francisco katika jimbo la California kwamba Beijing na Washington zinapasa kufanya juhudi za kutatua hitilafu kubwa zilizopo baina yao, kila upande uheshimu mistari myekundu na kanuni za upande wa pili na zijiepushe na hatua za kichochezi.

  • Sababu na matokeo ya kuuzuliwa Spika wa Bunge la Iraq

    Sababu na matokeo ya kuuzuliwa Spika wa Bunge la Iraq

    Nov 18, 2023 03:14

    Jumanne iliyopita, Mahakama ya Juu ya Iraq ilimuuzulu Spika wa Bunge la nchi hiyo, Mohammad Al-Halbousi.

  • Kucheleweshwa azimio la Baraza la Usalama katika kivuli cha mashambulio ya pande zote dhidi ya Gaza

    Kucheleweshwa azimio la Baraza la Usalama katika kivuli cha mashambulio ya pande zote dhidi ya Gaza

    Nov 17, 2023 23:24

    Ingawa Baraza la Usalama hatimaye limefanikiwa kupitisha azimio la usitishaji vita wa muda na wa kibinadamu huko Gaza baada ya kupita siku 40, lakini utawala wa Kizayuni umepuuzilia mbali azimio hilo na kuendelea kuushambulia kinyama Ukanda wa Gaza.

  • Jibu la Iran kuhusu kupasishwa azimio la Canada dhidi yake

    Jibu la Iran kuhusu kupasishwa azimio la Canada dhidi yake

    Nov 17, 2023 05:44

    Kamati ya Tatu ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa imepitisha azimio jipya kuhusu hali ya haki za binadamu nchini Iran katika hali ambayo idadi ya walioliunga mkono ilikuwa ndogo kuliko ya wale waliolipigia au kujizuia kupiga kura.

  • Azimio la Baraza la Usalama kuhusu vita vya Gaza: Makubaliano ya kiwango cha chini

    Azimio la Baraza la Usalama kuhusu vita vya Gaza: Makubaliano ya kiwango cha chini

    Nov 16, 2023 23:47

    Uzembe wa Umoja wa Mataifa na hasa mkwamo katika Baraza la Usalama la umoja huo ambao una jukumu muhimu la kulinda amani na usalama wa kimataifa, kuhusu vita vya Gaza, jinai za kivita na mauaji ya kimbari ya Wapalestina yanayofanywa na utawala wa Kizayuni, umekosolewa vikali kimataifa.