-
Umuhimu wa maneno ya Kiongozi wa Ansarullah kuhusu vita vya Gaza
Nov 16, 2023 04:43Abdul Malik al-Houthi, Kiongozi wa Ansurullah ya Yemen ameashiria katika hotuba yake uungaji mkono wa pande zote wa Marekani kwa utawala wa Kizayuni na kukosoa misimamo ya nchi 57 za Kiarabu na Kiislamu kuhusiana na suala muhimu la Ghaza.
-
Kugeuzwa hospitali ya al-Shifa kuwa kambi ya kijeshi na jitihada za kuwafukuza Wapalestina huko Gaza
Nov 16, 2023 01:46Mashambulio ya mabomu katika maeneo ya makazi ya raia huko Ukanda wa Gaza na kuuawa shahidi wagonjwa kadhaa waliokuwa wamelazwa katika Hospitali ya al-Shifa kutokana na mashambulizi ya wanajeshi wa Kizayuni dhidi ya hospitali hiyo ni miongoni mwa habari mpya zenye kutia uchungu na kuhuzunisha sana kuhusiana na vita vya Gaza.
-
Kuongezeka kukosolewa uungaji mkono wa Magharibi kwa utawala wa Kizayuni
Nov 16, 2023 00:41Kuendelea jinai , mauaji ya kimbari na kutokomezwa kizazi cha wananchi wa Gaza na utawala wa Kizayuni ambazo zimesababisha maelfu ya Wapalestina kuuawa shahidi na kujeruhiwa, kumepelekea kushtadi kukosolewa siasa za upendeleo za serikali za Magharibi kwa Israel.
-
Kufichuliwa siasa za kundumakuwili za Uturuki katika kuuwekea vikwazo utawala wa Kizayuni
Nov 15, 2023 08:16Licha ya nara za viongozi wa serikali ya Ankara dhidi ya jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel, lakini kila siku kunafichuliwa habari za biashara mapya za Uturuki na utawala huo unaokalia kwa mabavu ardhi za Wapalestina.
-
Rekodi mpya ya mauaji ya watoto wachanga yaliyofanywa na jeshi la Israel katika vita vya Gaza
Nov 15, 2023 03:38Kuendelea kushambuliwa nyumba na makazi ya raia na vituo vya matibabu huko Ukanda wa Gaza na mapigano makali ya vikosi vya wapigania uhuru wa Palestina dhidi ya wavamizi wa Kizayuni katika mihimili tofauti ya eneo hilo ni miongoni mwa habari zinazoendelea kuzungumziwa sana katika vyombo vya habari duniani
-
Uungaji mkono wa Magharibi kwa utawala wa Kizayuni: Sababu ya chuki dhidi ya uyahudi ulimwenguni
Nov 15, 2023 00:24Kushadidi jinai za Israel dhidi ya Wapalestina na uungaji mkono wa pande zote wa nchi za Magharibi kwa mauaji ya kimbari ya utawala wa Kizayuni kumepelekea kuongezeka chuki dhidi ya Uyahudi duniani, kiasi kwamba Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa katika barua yake amelaani ongezeko hilo la chuki dhidi ya uyahudi katika nchi hiyo na kuonya juu ya ukuaji usiovumilika wa chuki dhidi ya Wayahudi.
-
Upinzani wa Wamagharibi kwa usitishaji vita Gaza
Nov 14, 2023 05:53Licha ya kupita karibu siku 40 tangu ilipotokea operesheni ya kimbunga ya Al-Aqswa na radiamali ya utawala wa Kizayuni kwa operesheni hiyo kwa kushambulia kwa mabomu Ukanda wa Gaza na kuuawa maelfu ya Wapalestina na uharibifu mkubwa wa eneo hilo, lakini baadhi ya madola ya Magharibi yakifungamana na Waziri Mkuu wa utawala huu, Benjamin Netanyahu, bado yangali yanapinga usitishaji wa vita hivi vya umwagaji damu.
-
Kuendelea vita vya pande zote dhidi ya Gaza na kufunguliwa pande mpya za vita
Nov 14, 2023 02:03Kuendelea mashambulizi ya pande zote ya jeshi la utawala katili wa Israel dhidi ya Ukanda wa Gaza, kumekiuka sheria zote za kimataifa, zikiwemo za vita, ambapo utawala huo unaopata uungaji mkono na ushirikiano mkubwa wa nchi za Magharibi, umepata kiburi cha kuendeleza jinai za kutisha dhidi ya Wapalestina.
-
Siku 37 za vita vya Gaza
Nov 13, 2023 22:54Jumapili vita vya Ghaza viliingia katika siku ya 37 , huku utawala wa Kizayuni ukiendeleza mashambulizi na jinai zake za kinyama dhidi ya wakazi wa Gaza na hasa kwa kushambulia kikatili hospitali, shule, kambi za wakimbizi, wahudumu wa afya, wagonjwa na majeruhi kwa uungaji mkono wa moja kwa moja wa Marekani.
-
Hasira ya Waaustralia dhidi ya utawala wa Kizayuni na uungaji mkono kwa Palestina
Nov 13, 2023 11:20Sambamba na jamii ya kimataifa, maelfu ya Waaustralia wamefanya maandamano makubwa dhidi ya Wazayuni wanaokalia kwa mabavu ardhi za Wapalestina, ambapo si tu wamelaani jinai za utawala wa Kizayuni dhidi ya watu wa Ghaza, bali pia wamezuia meli ya Israel kutia nanga katika Bandari ya Botany, mjini Sydney.