-
Nafasi muhimu ya Ansarullah katika kusitishwa vita na kuendelea kwake
Nov 28, 2023 23:13Naibu Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa serikali ya muda ya Yemen yenye mfungamano na Harakati ya Ansarullah amesema, tunakumbusha kwa mara nyingine tena kwamba, usafiri wa meli utakuwa salama kwa meli zote isipokuwa meli za utawala wa Israel katika Bahari Nyekundu.
-
Kuendelea uungaji mkono wa dunia kwa wananchi wa Palestina
Nov 28, 2023 09:39Katika muendelezo wa himaya na uungaji mkono wa ulimwengu kwa mapambano ya wananchi wa Gaza na kulaani jinai za utawala ghasibu wa Israel, maelfu ya wananchi wa Pakistan wameandamana na kuelekea katika ubalozi mdogo wa Marekani.
-
Makumi ya maelfu ya Wamorocco waandamana wakitaka kukatwa uhusiano wa nchi hiyo na Tel Aviv
Nov 28, 2023 01:45Makumi ya maelfu ya wananchi wa Morocco wamefanya maandamano makubwa ya kuwaunga mkono wananchi madhulumu wa Palestina na kutaka kusitishwa juhudi za kuhuishwa uhusiano kati ya Rabat na Tel Aviv. Wafanya maandamano hao kwa mara nyingine tena wamelaani jinai za utawala haramu wa Israel na kutaka kutekelezwa usitishaji vita wa kudumu huko Ukanda wa Gaza.
-
Kuongezeka upinzani dhidi ya Umoja wa Ulaya katika nchi za bara hilo
Nov 27, 2023 22:54Baada ya ushindi wa Geert Wilders, mgombea wa mrengo wa kulia wa Uholanzi katika uchaguzi wa nchi hiyo na kupendekeza kwake suala la Uholanzi kujiondoa katika Umoja wa Ulaya, Marine Le Pen, kiongozi wa chama cha mrengo wa kulia cha National Rally cha Ufaransa, pia amesisitiza haya ya Ufaransa kujiondoa katika Umoja wa Ulaya akisema: 'Hatupingi Ulaya, tunapinga Umoja wa Ulaya na ni kwa sababu tunaipenda Ulaya, ndio maana tunaupinga Umoja huo.'
-
Onyo la Iran kuhusu uingiliaji wowote wa Marekani katika mustakabali wa Gaza
Nov 27, 2023 08:38Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, uamuzi kuhusu mustakbali wa Ukanda wa Gaza uko mikononi mwa wakazi wake na kuwa uingiliaji wowote wa Marekani katika uwanja huo utashindwa tu.
-
Vita vya Gaza na kushadidi matatizo ya kiuchumi ya Israel
Nov 27, 2023 04:09Vita vya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya ukanda wa Gaza vilisitishwa kwa muda baada ya takriban siku 50, katika hali ambayo, Tel Aviv imepata hasara kubwa za kiuchumi.
-
Kufukuzwa Manowari ya Marekani kutoka kwenye maji ya China
Nov 26, 2023 23:14Ingawa muda mrefu haujapita tangu kufanyika kikao kati ya marais wa Marekani na China mjini San Francisco, kikao ambacho Rais Joe Biden wa Marekani alikitaja kuwa chanya, Tian Junli, Msemaji wa Kamandi ya Pamoja ya Vikosi vitatu vya Jeshi la Nchi Kavu, Anga na Baharini vya Jeshi la China ametangaza kufukuzwa manowari ya Marekani kutoka kwenye eneo la maji ya nchi hiyo.
-
Maonyesho ya Istanbul na nafasi ya kipekee ya mashirika ya kuzalisha utaalamu ya Iran duniani
Nov 26, 2023 08:09Maonyesho ya 32 ya Kimataifa ya Plast Eurasia 2023 yamefanyika katika mji wa Istanbul nchini Uturuki. Makampuni 14 yanayozalisha maarifa ya kitaalamu ya Iran wameonyesha uwezo wao wa kitaalamu wa kuuza nje taaluma hiyo katika banda maalum la makampuni yanayozalisha maarifa katika maonyesho hayo, ambayo yameandaliwa kwa msaada wa Mfuko wa Ubunifu na Ustawi.
-
Matokeo ya kinyume yanayotokana na hatua ya Netanyahu kulazimisha vita dhidi ya Gaza
Nov 26, 2023 03:56Baada ya mazungumzo marefu na ucheleweshaji wa saa 24, usitishaji vita wa siku nne kati ya utawala haramu wa Israel na Hamas hatimaye ulianza kutekelezwa rasmi saa moja asubuhi Ijumaa Novemba 24 kwa wakati wa Gaza.
-
Kurejea Wapalestina Gaza baada ya kutangazwa usitishaji vita; Utambulisho wa kitaifa wa Palestina dhidi ya utambulisho wa Kizayuni uliokopwa
Nov 25, 2023 22:52Kile kinachovuta hisia baada ya kutekelezwa usitishaji vita kati ya Hamas na utawala wa Kizayuni ni kurejea kwa wingi Wapalestina kaskazini mwa Ukanda wa Gaza.