-
Nukta mbili mpya katika hotuba ya Sayyid Hassan Nasrullah kuhusu vita vya Gaza
Nov 13, 2023 01:51Sayyid Hassan Nasrullah, Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon juzi Jumamosi alitoa hotuba yake ya pili kuhusu vita vya Gaza kwa mnasaba wa Siku ya Mashahidi. Hotuba hiyo ambayo imetolewa wiki moja baada ya ile ya kwanza ina nukta mbili muhimu za kuzingatiwa.
-
Kuadhibiwa waungaji mkono wa Palestina katika vyuo vikuu vya Marekani
Nov 12, 2023 23:17Licha ya madai ya kuheshimiwa uhuru wa kujieleza katika nchi za Magharibi ikiwemo Marekani, lakini ukweli wa mambo ni kwamba kuna mistari miekundu katika uwanja huo, likiwemo suala la kutetea kadhia ya Palestina, ambapo waungaji mkono wa taifa hilo linalodhulumiwa hukabiliwa na vikwazo vya aina mbalimbali vikiwemo vya kuadhibiwa na kufungwa jela.
-
Umuhimu wa nchi za Kiislamu kuchukua hatua za kivitendo kwa ajili ya kuwatetea watu wa Palestina
Nov 12, 2023 06:30Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika hotuba yake katika kikao cha dharura cha wakuu wa nchi za Kiarabu na Kiislamu mjini Riyadh Saudi Arabia amesema kuhusu vita vya Ghaza: Leo hii suala la Ghaza ni makabiliano baina ya mhimili wa sharafu na mhimili wa uovu, na kila mtu anapaswa kubainisha yuko upande gani.
-
Mauaji na uharibifu wa makusudi; kusambaratishwa mfumo wa afya na matibabu Gaza
Nov 12, 2023 02:49Utawala wa kigaidi wa Israel umekuwa ukishambulia kila siku hospitali na vituo vya matibabu na afya katika Ukanda wa Gaza, na hivyo kuharibu na kusambaratisha kabisa mfumo wa huduma za afya katika ukanda huo.
-
Kuongezeka hasira za kimataifa kuhusu jinai za utawala wa Kizayuni huko Gaza
Nov 11, 2023 23:37Sambamba na kuendelea vitendo vya jinai vya utawala wa Kizayuni katika Ukanda wa Gaza, ambavyo hadi sasa vimepelekea kuuawa shahidi zaidi ya Wapalestina elfu 11 na kujeruhiwa wengine zaidi ya elfu 27, hasira na ukosoaji wa kimataifa unaendelea kuongezeka kwa kadiri kwamba mbali na maandamano makubwa yanayofanyika katika pambe tofauti za dunia, baadhi ya wanasiasa wa Magharib pia wanaukosoa utawala huo kutokana na ukatili wake wa kutisha dhidi ya Wapalestina wasio na hatia.
-
Nukta tano muhimu katika barua ya Islami kwa Grossi kuhusiana na tishio la utawala wa Kizayuni kutumia bomu la nyuklia dhidi ya Ghaza
Nov 11, 2023 07:32Katika barua yake kwa Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki IAEA, Mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran amelitaka shirika hilo kulibainishia wazi Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, hatari zinazoweza kusababishwa na matumizi au tishio la matumizi ya silaha za nyuklia za utawala wa Kizayuni dhidi ya wananchi wa Palestina.
-
Kikao cha ECO na sisitizo la kusimamishwa mashambulizi ya Israel Ukanda wa Ghaza
Nov 11, 2023 03:11Waziri Mkuu wa Pakistan, Anwaar-ul-Haq Kakar amesema katika kikao cha wakuu wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiuchumi (ECO) kilichofanyika Tashkent, mji mkuu wa Uzbekistan kwamba, tuna wajibu wa kuziunga mkono juhudi za kukomeshwa mashambilizi na jinai za kivita za utawala wa Kizyauni huko Ukanda wa Ghaza.
-
Mashambulio ya utawala wa Kizayuni katika Ukanda wa Gaza, siku ya 35
Nov 10, 2023 23:58Mashambulio ya utawala wa Kizayuni dhidi ya maeneo ya makazi na miundombinu muhimu huko Ghaza yanaendelea kwa siku ya 36 sasa, ambapo wakazi 30 zaidi wa Ghaza wameuawa shahidi katika shambulio la bomu kwenye nyumba mbili katika kambi ya Jabalia kaskazini mwa Ukanda wa Gaza.
-
Sisitizo la Uturuki la kuendelea kuwepo kijeshi nchini Iraq na Syria
Nov 10, 2023 04:24Mashambulizi ya jeshi la Uturuki dhidi ya Syria na Iraq yamewekwa katika ajenda ya serikali ya Ankara, muda mfupi baada ya Anthony Blinken Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani kufanya safari mjini humo.
-
Utunishaji misuli wa China sambamba na harakati za Marekani katika Bahari ya China Kusini
Nov 09, 2023 23:22China imetuma meli yake ya kivita ya kubeba ndege ya Shangong katika Bahari ya China Kusini sambamba na kufanyika maneva ya baharini kati ya Marekani, Korea Kusini na Ufilipino.