Uchambuzi
  • Siku ya 33 ya vita vya Gaza: Ubomoaji wa nyumba, hospitali na shule ungali unaendelea

    Siku ya 33 ya vita vya Gaza: Ubomoaji wa nyumba, hospitali na shule ungali unaendelea

    Nov 09, 2023 03:32

    Kuendelea mashambulizi ya kila upande ya jeshi la Kizayuni dhidi ya Ukanda wa Gaza na kujiri mapigano makali kati ya vikosi vya muqawama na wavamizi hao karibu na kambi ya al-Shati iliyoko magharibi mwa mji wa Gaza, ni baadhi ya habari za hivi karibuni kutoka Palestina inayokaliwa kwa mabavu na utawala ghasibu wa Israel.

  • Netanyahu akataa ombi la Biden la kusitisha mapigano kwa siku 3 huko Gaza

    Netanyahu akataa ombi la Biden la kusitisha mapigano kwa siku 3 huko Gaza

    Nov 08, 2023 22:48

    Rais Joe Biden wa Marekani amemtaka Benjamin Netanyahu Waziri Mkuu wa Israel asitishe mapigano kwa siku tatu ili kutatua suala la mateka. Kuhusiana na jambo hilo, Biden amesema katika mazungumzo ya simu yaliyofanyika siku ya Jumanne alimuomba Benjamin Netanyahu asitishe mapigano ili kuandaa uwanja wa kushughulikiwa suala la mateka wa Israel.

  • Malengo ya utawala wa Kizayuni ya kuainisha muda wa kuondoka raia huko Gaza

    Malengo ya utawala wa Kizayuni ya kuainisha muda wa kuondoka raia huko Gaza

    Nov 08, 2023 06:59

    Daniel Hagari, msemaji wa jeshi la utawala wa Israel alitangaza Novemba 6 kuanza usitishwaji vita wa siku mbili kwa ajili ya kutoa fursa kwa wakazi wa kaskazini mwa Ghaza kuondoka katika eneo hilo.

  • Kupunguzwa uhusiano wa kidiplomasia wa Afrika Kusini na utawala wa Kizayuni wa Israel

    Kupunguzwa uhusiano wa kidiplomasia wa Afrika Kusini na utawala wa Kizayuni wa Israel

    Nov 08, 2023 03:51

    Afrika Kusini imetangaza kuwa itawarejesha nyumbani wanadiplomasia wake wote kutoka Israel. Uamuzi huo umechukuliwa kutokana na kuendelea mashambulizi na jinai za Israel dhidi ya watu wa Ukanda wa Gaza huko Palestina.

  • Marekani na kukana mauaji ya kimbari katika Ukanda wa Gaza

    Marekani na kukana mauaji ya kimbari katika Ukanda wa Gaza

    Nov 07, 2023 23:11

    Zaidi ya mwezi mmoja umepita sasa tangu kuanza kwa vita vya Gaza na tangu kutekelezwa kwa operesheni ya "Kimbunga cha Al-Aqsa" huku utawala wa Kizayuni unaoendesha operesheni za ardhini katika Ukanda wa Gaza dhidi ya wapiganaji wa Hamas ukizidisha mashambulizi yake ya anga dhidi ya eneo hilo. Mashambulio hayo ya kinyama ya Israe; yameendelea kusababisha mauaji makubwa ya watu wanaodhulumiwa wa Ukanda wa Gaza.

  • Kuendelea bila kusita jinai za kivita katika siku ya 32 ya mashambulizi ya pande zote huko Gaza

    Kuendelea bila kusita jinai za kivita katika siku ya 32 ya mashambulizi ya pande zote huko Gaza

    Nov 07, 2023 06:42

    Kushadidi mashambulio ya kila upande dhidi ya Ukanda wa Gaza na kusimama kidete vikosi vya muqawama wa Palestina dhidi ya kupenya ardhini kwa jeshi la Israel katika maeneo ya Gaza ni miongoni mwa habari za hivi karibuni kabisa kuhusiana na Palestina.

  • Safari ya Waziri Mkuu wa Iraq Tehran wakati wa mgogoro wa Gaza

    Safari ya Waziri Mkuu wa Iraq Tehran wakati wa mgogoro wa Gaza

    Nov 07, 2023 04:16

    Waziri Mkuu wa Iraq Mohammad Shia al-Sudani, jana asubuhi akiwa ziarani hapa mjini Tehran alikutana na kufanya mazungumzo na Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Ayatullah Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu.

  • Kuongezeka  upinzani dhidi ya vitendo vya kijinai vya utawala wa Kizayuni katika nchi za Magharibi

    Kuongezeka upinzani dhidi ya vitendo vya kijinai vya utawala wa Kizayuni katika nchi za Magharibi

    Nov 06, 2023 23:01

    Mwezi mmoja ukiwa umepita tangu kujiri operesheni ya Kimbunga cha Al-Aqsa na utawala wa Kizayuni kuanzisha mashambulizi makali ya mabomu ambayo hajawahi kushuhudiwa tena huko Ghaza, ambayo yamepelekea kuuawa shahidi na kujeruhiwa makumi ya maelfu ya Wapalestina, wengi wao wakiwa ni watoto na wanawake, mwenendo wa upinzani dhidi ya vitendo hivyo vya jinai vya Israeli, umeongezeka sana duniani ikiwa ni pamoja na nchini Marekani, ambayo ni mwitifaki mkubwa wa Tel Aviv.

  • Radiamali kuhusu tishio la nyuklia la utawala wa Kizayuni dhidi ya Ghaza

    Radiamali kuhusu tishio la nyuklia la utawala wa Kizayuni dhidi ya Ghaza

    Nov 06, 2023 05:00

    Tishio la mjumbe wa baraza la mawaziri la utawala wa Kizayuni la kutumia bomu la nyuklia dhidi ya watu wa Ghaza kwa mara nyingine tena limedhihirisha unyama na ukatili wa utawala huo.