-
Uhispania na Ubelgiji zatangaza kuwa tayari kuitambua rasmi nchi ya Palestina
Nov 25, 2023 08:17Hatua ya Uhispania na Ubelgiji ya kutangaza kuwa tayari kuitambua rasmi nchi huru ya Palestina ni tukio muhimu kushuhudiwa barani Ulaya kuhusu kadhia ya Palestina. Hatua hii imeukasirisha sana utawala wa Kizayuni.
-
Amir Abdollahian nchini Lebanon; safari yenye malengo kadhaa
Nov 25, 2023 02:54Hossein Amirabdollahian Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ametembelea Beirut, mji mkuu wa Lebanon ikiwa ni katika muendelezo wa mashauriano yake na viongozi wa eneo kuhusu hujuma ya Wazayuni katika Ukanda wa Gaza ambapo amekukutana na kuzungumza na maafisa wa nchi hiyo pamoja na viongozi wa mrengo wa muqawama wa Lebanon na Palestina.
-
Sisitizo la China la ushirikiano wa kimataifa kwa ajili ya kukomeshwa vita vya Gaza
Nov 25, 2023 01:03Katika hotuba yake kwenye mkutano wa dharura wa nchi wanachama wa BRICS, Rais Xi Jinping wa China amesema kuwa jamii ya kimataifa haipasi kuruhusu mzozo wa Palestina na Israel kuongezeka na kuathiri eneo zima la Mashariki ya Kati, yaani Asia Magharibi.
-
Kiongozi Muadhamu; kushindwa Wazayuni hakutafidiwa kwa jinai
Nov 23, 2023 23:20Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema katika kikao na washindi wa nishani za Michezo ya Asia na Para-Asia huko Hangzhou na wanamichezo wengine wa Iran kuwa, mienendo yao ya heshima katika medani za michezo ni dhihirisho la sura ya taifa la Iran, na kusema kuhusu matukio ya Gaza kuwa utawala wa Kizayuni, pamoja na jinai zake zote, haujaweza na wala hautaweza kufidia kushindwa kwake kukubwa kwake hivi karibuni na katika mustakbali.
-
Ushindi wa mrengo wa kulia wenye misimamo mikali katika uchaguzi wa Uholanzi; kengele ya hatari kwa Ulaya
Nov 23, 2023 06:59Uchaguzi mkuu wa Uholanzi ulifanyika Jumatano, Novemba 22 nchini humo ili kubaini nani ataongoza serikali ijayo ambayo inapaswa kuchukua mamlaka nchini baada ya kuondoka Mark Rutte, ambaye amekuwa waziri mkuu kwa miaka 13.
-
Afrika Kusini yavunja uhusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel
Nov 23, 2023 03:48Kufuatia kuendelea jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya taifa la Palestina, wabunge wa Afrika Kusini wamepiga kura ya kufunga ubalozi wa utawala wa Kizayuni nchini humo. Kwa uamuzi huo, ubalozi wa utawala wa Kizayuni wa Israel nchini Afrika Kusini utafungwa, uhusiano wa kidiplomasia na utawala huo utakatwa na balozi wa utawala huo wa Kizayuni kutimuliwa kutoka Pretoria.
-
Matokeo ya kuendelea vita vya pande zote dhidi ya Gaza; kufunguliwa uwanja mpya wa vita kutokea Yemen
Nov 23, 2023 03:07Sambamba na kuendelea mashambulizi ya mabomu ya utawala wa Kizayuni katika Ukanda wa Gaza kwa kipindi cha mwezi mmoja na nusu uliopita, uwezekano wa kupanuliwa maeneo ya vita daima limekuwa jinamizi baya zaidi kuwahi kufikiriwa na Wazayuni katika vita hivyo.
-
Usitishaji vita wa siku 4 Gaza; sababu na ishara zake
Nov 22, 2023 23:34Hatimaye baada ya siku 47, utawala wa Kizayuni na Hamas wamefikia makubaliano ya kusitisha mapigano kwa muda wa siku nne.
-
Je, kwa nini vita vya Gaza haviishi?
Nov 22, 2023 07:52Licha ya kupita siku 46 tangu kuanza vita vya utawala wa Kizayuni dhidi ya Ukanda wa Gaza, lakini bado hakuna dalili zozote za kumalizika vita hivyo.
-
Mabadiliko ya kisiasa nchini Argentina; Ushindi wa Javier Milei katika uchaguzi wa urais
Nov 22, 2023 02:47Javier Milei, mgombea wa mrengo wa kulia wa Argentina, ameshinda duru ya pili ya uchaguzi wa rais wa nchi hiyo kwa kupata 56% ya kura dhidi ya Sergio Massa.