-
Mabadiliko ya kisiasa nchini Argentina; Ushindi wa Javier Milei katika uchaguzi wa urais
Nov 22, 2023 02:47Javier Milei, mgombea wa mrengo wa kulia wa Argentina, ameshinda duru ya pili ya uchaguzi wa rais wa nchi hiyo kwa kupata 56% ya kura dhidi ya Sergio Massa.
-
Mwito wa Afrika Kusini wa kutiwa mbaroni Netanyahu kwa tuhuma za maangamizi ya kizazi
Nov 21, 2023 23:26Kwa mara nyingine tena Afrika Kusini imetoa mwito wa kutiwa mbaroni Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Israel kwa tuhuma za kutenda mauaji ya kimbari huko Gaza Palestina.
-
Ukosolewaji mkali wa undumakuwili wa Magharibi kuhusu kadhia ya Israel na Wapalestina
Nov 21, 2023 03:42Waziri Mkuu wa Ireland, Leo Varadkar amekosoa vikali undumilakuwili wa nchi za Magharibi na kusema kuwa Umoja wa Ulaya na madola ya Magharibi yanashughulikia masuala yanayohusiana na Israel na Palestina kwa undumilakuwili wa wazi.
-
Watoto wa Gaza; wahanga wakuu wa jinai za utawala wa Kizayuni
Nov 20, 2023 23:07Katika kuendeleza jinai zake huko Ukanda wa Gaza jeshi la utawala ghasibu wa Kizayuni Jumamosi tarehe 18 mwezi huu wa Novemba liliishambulia kwa mabomu kwa mara ya pili shule ya Al Fakhoora katika kambi ya wakimbizi ya Jabaliya; ambapo katika jinai hiyo Wapalestina wasiopungua 200 wameuliwa shahidi aghalabu yao wakiwa ni watoto.
-
Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu asisitiza udharura wa kudumishwa kasi ya maendeleo ya kijeshi
Nov 20, 2023 04:24Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameyataja mafanikio ya kisayansi hapa nchini kuwa ni matokeo ya nia inayotegemea azma na imani thabiti na kusisitiza kuwa: Popote pale ambapo vijana wetu waliingia kwa azma na imani wameweza kufanya mambo makubwa; na maonyesho haya ni kielelezo cha dhamira na imani hiyo.
-
Sababu za siri za umwagaji damu wa Israeli huko Gaza
Nov 20, 2023 03:50Mauaji ya halaiki na ya kizazi yanayofanywa na utawala wa kigaidi wa Israel huko Gaza yameingia katika siku yake ya arubaini na tano, huku taasisi za kieneo na kimataifa zikiwa zimekaa kimya na hivyo kuupa utawala huo alama ya taa ya kijani kwa ajili ya kuendeleza jinai zake hizo dhidi ya raia wasio na hatia.
-
Ombi kwa ICC kuchunguza jinai za kivita za Israel huko Gaza
Nov 19, 2023 23:57Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai za Kivita ya The Hague ICC ametangaza habari ya kupokea maombi ya nchi 5 kwa ajili ya kuchunguzwa jinai za kivita za utawala wa Kizayuni huko Ukanda wa Gaza.
-
Matokeo ya kiuchumi ya vita vya Gaza kwa utawala wa Kizayuni
Nov 19, 2023 07:54Operesheni ya Kimbunga cha Al-Aqsa ya tarehe 7 Oktoba ambayo imeupelekea utawala haramu wa Israel kupata kipigo kikubwa kihistoria imeupelekea pia utawala huo kuendelea kushindwa katika nyanja nyingine hasa ikitiliwa maanani kwamba ungali unaendeleza mauaji ya kimbari dhidi ya raia wa Palestina katika Ukanda wa Gaza.
-
Indhari kuhusu kukaririwa Nakba ya pili huko Palestina
Nov 19, 2023 02:32Maafisa wa Umoja wa Mataifa sambamba na kutahadharisha kuwa, utawala wa Kizayuni unapanga kukariri Nakba ya pili huko Gaza, wametangaza kuwa, Israel inatumia mbinu ya kukata mawasiliano ya simu na Intaneti kuficha jinai zake.
-
Kubadilika kikamilifu sera za nje za Pakistan mkabala wa Taliban ya Afghanistan
Nov 18, 2023 23:02Waziri Mkuu wa Pakistan amesema katika matamshi nadra na ya aina yake kuwahi kutolewa kuhusu mivutano ya karibuni kati ya nchi hiyo na utawala wa Taliban ya Afghanistan kuwa uhusiano wa nchi mbili hizo utaboreka pale serikali halali itakapoingia madarakani huko Afghanistan.