-
Kamisheni ya Ulaya: Hakuna ushahidi wa kutosha kuthibitisha madai ya uhalifu wa kivita dhidi ya Russia
Apr 09, 2022 23:45Mkuu wa Kamisheni ya Umoja wa Ulaya amesema hakuna ushahidi wa kutosha wa kuthibitisha kuwa jeshi la Russia limefanya uhalifu wa kivita nchini Ukraine.
-
Oparesheni ya tano ya kujitolea kufa shahidi huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu
Apr 09, 2022 06:15Wazayuni 2 wameangamizwa na 16 wengine wamejeruhiwa katika oparesheni ya tano ya kujitolea kufa shahidi iliyotekelezwa na kijana wa Kipalestina huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu.
-
Kukabidhiwa Saudi Arabia faili la mauaji ya kigaidi ya Khashoggi
Apr 08, 2022 21:54Huku mzozo wa kiuchumi wa serikali ya Ankara na changamoto za kifedha zikizidi kuongezeka, matatizo ya maisha ya watu wa Uturuki hatimaye yameipelekea serikali ya Recep Tayyip Erdogan kwa mara nyingine tena kushirikiana na utawala haramu wa Israel, Marekani, Misri na tawala nyingine vibaraka za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi.
-
Mwisho wa maisha ya kisiasa ya Mansour Hadi; muongo uliojaa usaliti na kujisalimisha
Apr 08, 2022 02:17Rais mtoro wa Yemen Abd Rabbu Mansour Hadi amekabidhi madaraka kwa naibu wake, na kutangaza kuundwa kwa Baraza la Uongozi wa Rais.
-
Sisitizo la Iran la kutafutwa njia ya kisiasa ya kutatua mgogoro wa Ukraine
Apr 07, 2022 23:01Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuhusu mgogoro wa Ukraine kwamba Tehran inatilia mkazo wajibu wa kutafutwa njia za kisiasa za kuutatua mgogoro huo.
-
Migogoro isiyoisha Israel, serikali ya Kizayuni yachungulia kaburi
Apr 07, 2022 06:00Muungano tawala wa utawala wa Kizayuni unaoongozwa na Naftali Bennett unachungulia kaburi hivi sasa baada Idit Silman kutoka chama cha Yamina cha Bennett mwenyewe, kutangaza ghafla kujiuzulu.
-
Sisitizo la Putin la kutazamwa upya siasa za kuuzwa nje bidhaa za chakula za Russia
Apr 06, 2022 21:26Katika hotuba aliyotoa siku ya Jumanne, Rais Vladimir Putin wa Russia amelaani mashinikizo yanayotolewa na nchi za Ulaya dhidi ya shirika la Gazprom, ambalo husafirisha gesi ya nchi hiyo kwenda Ulaya, na kutishia kuchukua hatua za kulipiza kisasi.
-
Iran yapongeza marufuku ya kilimo na usafirishaji wa mihadarati kutoka Afghanistan
Apr 06, 2022 06:14Msaidizi wa Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Sayyid Rasoul Mousavi, Jumatatu iliyopita aliandika kwenye mtandao wa Twitter kwamba:
-
Mwisho wa Abdrabbuh Mansur Hadi; hatima ya kila msaliti, mamluki
Apr 05, 2022 22:18Ushahidi unaonesha kuwa Saudi Arabia imeamua kumpiga teke Abdrabbuh Mansur Hadi, rais wa zamani wa Yemen aliyejiuzulu mwenyewe na kukimbilia Saudia kushirikiana na wavamizi wa nchi yake. Kuna ushahidi wa kutosha wa kuthibitisha kuwa Riyadh imemtupa nje ya ulingo wa siasa Mansur Hadi.
-
Vikwazo vya dhahiri vya Magharibi dhidi ya Russia na ushirikiano mkubwa rasmi nyuma ya pazia
Apr 05, 2022 04:12Nchi za Ulaya zimetangaza vikwazo vya kila namna dhidi ya Russia kwa sababu ya vita vya Ukraine lakini nchi hizo hizo za Magharibi zenyewe zinarejea mlango wa nyuma na kuvunja vikwazo vyao zenyewe. Awali nchi za Ulaya zilipinga vikali kununua mafuta na gesi ya Russia kwa sarafu ya Ruble lakini hivi sasa zimelegeza misimamo hata katika suala hilo nalo.