-
Madai ya Biden kuhusu uuzaji wa mafuta ya Iran, mtazamo wa kihasama na usio wa kweli
Nov 13, 2021 23:15Rais Joe Biden wa Narekani Ijumaa iliyopita aliiandikia Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje ya nchi hiyo akidai kuwa, mafuta na bidhaa zinazotokana na mafuta zimejaa masokoni kiasi kwamba nchi mbalimbali zinaweza kupunguza ununuzi wa mafuta kutoka Iran.
-
Umoja wa Mataifa wakosoa vitendo vya mabavu vya nchi za Ulaya dhidi ya wakimbizi
Nov 13, 2021 08:19Akizungumza katika bunge la Ulaya Filippo Grandi Kamishna Mkuu wa Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNHCR amekosoa vitendo vya mabavu na ukandamizaji wa Umoja wa Ulaya dhidi ya wakimbizi na kusisitiza kuwa siku zote na mara kwa mara tunashuhudia raia wanaotafuta hifadhi barani Ulaya wakifukuzwa kwa mabavu na visingizio vya kisheria kutumika katika kuwanyima hifadhi raia hao.
-
Hotuba ya Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon kwa mnasaba wa Siku ya Shahidi
Nov 12, 2021 22:53Sayyid Hassan Nasrullah, Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amehutubia kwa mnasaba wa Siku ya Shahidi na kuzungumzia masuala mbalimbali kama kadhia ya Syria, mwenendo wa kuanzishwa uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel na sera za Saudi ArabiA dhidi ya Lebanon.
-
Umoja wa Mataifa dhidi ya Yemen
Nov 12, 2021 07:10Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limewaweka viongozi watatu wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen katika orodha ya watu waliowekewa vikwazo na baraza hilo.
-
Vikwazo vya Upande mmoja, kizuizi cha malengo ya ustawi endelevu
Nov 12, 2021 00:10Balozi na mwakilishi wa kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa amesema kuwa, vikwazo vya upande mmoja vya Marekani vinazizuia nchi mbalimbali kupata vyanzo vya fedha na ustawi unaohitajika kwa ajili ya kutimiza malengo ya ustawi endelevu.
-
Kupamba moto mgogoro wa wakimbizi barani Ulaya
Nov 11, 2021 07:10Kwa mara nyingine tena, wimbi la wakimbizi wanaomiminika kwenye mipaka ya nchi za Ulaya limeongezeka na kuwa mgogoro mkubwa. Nchi za Ulaya zimeamua kufunga mipaka yao ili kukabiliana na wimbi kubwa la wakimbizi wapya.
-
Sababu za miamala ya kinyama na kishenzi wanayofanyiwa mateka Wapalestina na utawala wa Kizayuni
Nov 10, 2021 08:43Duru za Palestina, zikimnukuu Abdulatif al-Qanua, msemaji wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS zimetahadharisha kuwa, hali mbaya ya mazingira yasiyo ya kibinadamu wanayoishi mateka Wapalestina, ambao wanashikiliwa kwenye magereza ya utawala wa Kizayuni, yatakuwa cheche itakayowasha moto wa mapigano ya kukabiliana na utawala huo ghasibu.
-
Madai ya Marekani ya kuwa na wasiwasi kuhusu mashambulio ya kundi la kigaidi la Daesh nchini Afghanistan
Nov 09, 2021 23:08Thomas West, mjumbe maalumu wa Marekani katika masuala Afghanistan amedai kuwa, Washington ina wasiwasi na suala la kuongezeka hujuma na mashambulio ya makundi yenye mfungamano na kundi la Daesh na uwepo wenye kuendelea wa mtandao wa kigaidi wa al-Qaeda.
-
Kuanza zoezi la uandikishaji wa wagombea Urais na Ubunge katika uchaguzi wa Libya
Nov 09, 2021 04:17Hatimaye baada ya miezi kadhaa ya mazungumzo na vuta nikuvute baina ya makundi na mirengo tofauti ya kisiasa nchini Libya, uandikishaji majina ya wagombea wa kiti cha urais na Bunge ulianza Jumatatu ya jana tarehe 8 Novemba.
-
Shambaulio la kutiliwa shaka dhidi ya makazi ya Mustafa al-Kadhimi
Nov 08, 2021 07:21Mustafa al-Kadhimi, Waziri Mkuu wa Iraq alinusurika kifo jana alfajiri kufuatia shambulio la kombora lililofanyika dhidi ya makazi yake mjini Baghdad.