-
Mahakama ya Katiba DRC yalalamikiwa kwa kutengua uchaguzi wa wabunge wa upinzani + Sauti
Jun 15, 2019 11:27Mabalozi wanne wa nchi za Ulaya huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wameilaumu Mahakama ya Katiba ya nchi hiyo kwa kutengua ushindi wa baadhi ya wabunge wa upinzani na kuupatia mrengo unaomuunga mkono Rais Mstaafu, Joseph Kabila. Mossi Mwasi na maelezo zaidi...
-
Bomu la kutegwa ardhini laua askari polisi 10 nchini Kenya + Sauti
Jun 15, 2019 08:11Maafisa usalama wasiopungua 10 wameripotiwa kuuawa baada ya gari lao kukanyaga bomu la kutegwa ardhini katika kaunti ya Wajir, katika eneo la kaskazini mashariki mwa Kenya.
-
Rouhani: Iran imezuia kupenya na kuenea ugaidi katika maeneo mengine duniani + Video
Jun 15, 2019 03:40Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amegusia mchango wa Tehran katika kupambana na makundi ya kigaidi na ukufurishaji huko Syria na Iraq na kuongeza kuwa, Jamhuri ya Kiislamu imezuia kupenya na kuenea ugaidi katika maeneo mengine duniani.
-
Wakenya waandamana jijini Nairobi kupinga mradi wa makaa ya mawe Lamu + Sauti
Jun 12, 2019 12:06Mashirika ya kijamii nchini Kenya yakiongozwa na shirika la deCOALonize la kutetea nishati safi wameandaa maandamano makubwa jijini Nairobi kupinga hatua ya serikali ya nchi hiyo kuendelea kufadhili ujenzi wa kiwanda cha kawi ya mawe kisiwani Lamu katika mpaka wa Kenya na Somalia. Omar Elmawi ni mratibu wa kitaifa wa shirika hilo la deCOALonize. Mwandishi wetu wa Mombasa Kenya Seifullah Murtadha amefanya mahojiano naye na hapa anaanza kuelezea kiini cha maandamano hayo
-
Waziri Mkuu wa Japan afanya ziara ya kihistoria nchini Iran + Video
Jun 12, 2019 11:16Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran leo jioni amempokea rasmi Waziri Mkuu wa Japan Shinzo Abe aliyepo hapa nchini kwa ziara rasmi ya kihistoria ya siku mbili. Mapokezi hayo rasmi yamefanyika katika Ikulu ya Sa'dabad hapa Tehran.
-
Polisi Kenya wamjeruhi vibaya kwa risasi kijana aliyetaka kuingia Ikulu kwa nguvu + Sauti
Jun 11, 2019 12:08Polisi nchini kenya wamempiga risasi na kumjeruhi vibaya jamaa mmoja aliyekua akijaribu kuingia katika ikulu ya rais jijini Nairobi huku akiwa amejihami kwa kisu mkononi. Seifullah Murtadha na maelezo zaidi kutoka Mombasa, Kenya.
-
Mashauriano ya Iran na Ulaya sambamba na safari ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani mjini Tehran
Jun 10, 2019 07:47Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani, Heiko Josef Maas Jumatatu ya leo amekutana na kufanya mazungumzo na maafisa wa serikali ya Iran mjini Tehran.
-
UN: Hali ya wahajiri nchini Libya inatia wasiwasi sana + Video
Jun 09, 2019 22:04Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa amesema kuwa hali ya wahajiri nchini Libya inatia wasiwasi mkubwa.
-
Taasisi ya Moyo Muhimbili Tanzania yamshukuru rais wa nchi hiyo + Sauti
Jun 09, 2019 12:21Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete iliyopo hospitali ya taifa ya muhimbili nchini Tanzania imetoa shukrani kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk John Pombe Magufuli kwa kuisaidia Taasisi hiyo kupata jengo la Kitengo cha Matibabu ya Moyo kwa Watoto. AMARI DACHI na maelezo zaidi kutoka Dar es Salaam...
-
SAUTI, Serikali ya Rwanda imepitisha muswada wa sheria inayofuta sheria zote zilizotungwa wakoloni
Jun 06, 2019 12:41Bunge nchini Rwanda limepitisha muswada wa sheria ambao unalenga kufuta sheria zote zilizotungwa kabla na wakati wa ukoloni.