-
Zarif: Nchi za Ulaya zimezembea sana katika kutekeleza ahadi zao za mapatano ya JCPOA
Apr 14, 2019 10:17Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema nchi za Umoja wa Ulaya zimezembea sana katika kutekeleza ahadi zao katika mpatano ya nyuklia ya Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekekelzwaji (JCPOA), na kuongeza kuwa: "Nchi za Ulaya hazipaswi kudhani kuwa Iran itaendelea kuzisuburi"
-
SAUTI, Wakazi wa mji wa Obo nchini CAR waishi kwa wasi wasi mkubwa kutokana na mashambulizi ya magaidi wa Kikristo
Apr 10, 2019 12:26Hali ya usalama katika mji wa Obo ulioko kusini mashariki mwa Jamhuri ya Afrika ya Kati imezidi kuwa mbaya kufuatia waasi wa kundi la kigaidi la Lord's Resistance Army (LRA) kuvamia mji huo na kufanya jinai ikiwemo kuiba vyakula vya wakazi wake.
-
Kiongozi: Ukhabithi wa Marekani dhidi ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu hautafika popote
Apr 09, 2019 10:41Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema Marekani inahasimiana na Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) kwa sababu jeshi hilo limekuwa mstari wa mbele katika kuilinda Iran na Mapinduzi ya Kiislamu na kuongeza kuwa: "Kwa miaka 40 sasa, Marekani na maadui wengine wajinga wamekuwa wakifanya kila wawezalo dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran lakini wameshindwa."
-
Rais Rouhani: Marekani imeitaja IRGC kuwa kundi la kigaidi ili kufidia kushindwa kwake
Apr 09, 2019 10:39Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limefanikiwa kung'oa mizizi ya ugaidi katika eneo na kuongeza kuwa: "Uistikbari wa kimataifa na Marekani wanalenga kufidia kushindwa katika makabiliano na taifa la Iran kwa kulitaja Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu eti ni kundi la kigaidi."
-
Iran yatangaza wanajeshi wa Marekani waliopo Asia Magharibi ni magaidi + Video
Apr 08, 2019 10:54Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran limetangaza kuwa kikosi cha Marekani kilichopo katika eneo la Asia Magharibi (Centcom) na askari wote walioko chini ya komandi hiyo ya kijeshi ya Marekani ni kundi la kigaidi.
-
Hotuba ya Rais Kenyatta wa Kenya Bungeni yashindwa kutimiza matumaini ya wananchi + Sauti
Apr 05, 2019 01:51Hatimaye botuba ya Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya iliyokuwa inasubiriwa kwa hamu na raia wengi wa nchi hiyo imetolewa ingawa haikutimiza matakwa ya wananchi wengi. Sifullah Murtadha na maelezo zaidi
-
Wasomi Tanzania: Bunge limewasaliti wananchi kwa kutoshirikiana na CAG
Apr 03, 2019 11:47Baada ya Bunge kuazimia kutoshirikiana na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali nchini Tanzania, mhadhiri msaidizi wa Chuo Kikuu cha Tumaini jijini Dar es salaam (TUDARCO) Danford Kitwana amesema kitendo hicho cha bunge ni kuwasaliti wananchi wake.
-
Mgogoro wa chakula kuwaathiri mamilioni ya watu mwaka huu duniani, Yemen yaongoza + Video
Apr 03, 2019 02:11Wanasayansi wametahadharisha kuwa, mgogoro wa chakula utawaathiri makumi ya mamilioni ya watu duniani mwaka huu wa 2019 huku vita, majanga ya kimaumbile hasa yatokanayo na hali mbaya ya hewa na migogoro wa kiuchumi ikiwaweka zaidi ya watu milioni 113 katika mahitaji makubwa ya misaada ya kibinadamu mwaka jana.
-
SAUTI, Rais Mstaafu wa Tanzania Dr Jakaya Kikwete, aipongeza Shia Ithna Asharia JAMAT kwa kupambana na maradhi ya Usonji
Mar 31, 2019 11:28Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne nchini Tanzania Dr Jakaya Mrisho Kikwete, ameongoza mamia ya Watanzania katika matembezi ya kuadhimisha siku ya utokomezaji wa maradhi ya usonji duniani jijini Dar es Salaam.
-
Matukio ya ulimwengu wa Kiislamu na Harith Subeit + Sauti
Mar 29, 2019 21:44Wiki hii kama ilivyojiri kwa wiki zilizopita, kumekuwa na matukio mengi yanayohusiana na Waislamu wa Afrika Mashariki. Harith Subeit amekusanya baadhi ya matukio hayo na kutuandalia ripoti ifuatayo...