-
Spika Qalibaf: Iran inamrudisha nyuma adui kupitia umoja wa kitaifa
Jun 01, 2026 03:24Mohammad Baqir Qalibaf Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amesema kuwa Iran, kupitia umoja wa kitaifa, inamrudisha nyuma adui katika vita vinavyoacha historia.
-
Kwa nini Trump anatapatapa kati ya vitisho na makubaliano?
May 31, 2026 13:18CNN imesema katika ripoti kwamba: "Serikali ya Marekani huchanganyikiwa linapokuja suala la nyuklia la Iran." Katika kipindi cha wiki kadhaa zilizopita, Rais Donald Trump wa Marekani amebadilisha misimamo yake mara kadhaa kuhusu hatima ya hifadhi ya urani iliyorutubishwa ya Iran.
-
Trump anakabiliwa na chaguzi 'mbaya' au 'mbaya zaidi' kuhusu Iran: Jenerali wa IRGC
May 31, 2026 12:56Kamanda wa cheo cha juu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) anasema Rais wa Marekani, Donald Trump, hana chaguo zuri kuhusu Iran na anapaswa kuchagua kati ya njia "mbaya" au "mbaya zaidi".
-
Bunge la Iran kupigia kura mpango wa usimamizi wa Lango Bahari la Hormuz 'hivi karibuni'
May 31, 2026 04:25Bunge la Iran linatarajiwa kupitia na kuidhinisha sheria inayorasimisha usimamizi na mamlaka ya Jamhuri ya Kiislamu juu ya Mlango-Bahari wa Hormuz.
-
Waasi wa RSF wanaoungwa mkono na UAE wauwa raia 27 siku ya Eid nchini Sudan
May 30, 2026 11:49Waasi wa RSF wamewaua angalau raia 27, wakiwemo wazee, katika shambulio dhidi ya vijiji vilivyoko magharibi mwa Bara katika jimbo la North Kordofan nchini Sudan.
-
Iran yasema mapatano na Marekani bado hayajafikiwa, yakataa mabavu ya Trump
May 30, 2026 11:01Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema Ijumaa kwamba mabadilishano ya ujumbe kati ya Iran na yanaendelea, lakini hadi sasa hakuna mwafaka wa mwisho uliofikiwa huku akisisitiza kuwa Tehran haikubali lugha ya mabavu.
-
Mshauri wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu aonya: Trump anaisaliti diplomasia kwa mara ya tatu
May 30, 2026 10:59Mshauri mwandamizi wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu ameonya kuwa Rais wa Marekani Donald Trump anaisaliti diplomasia na kuupa nafasi mwelekeo wa vita kwa mara ya tatu, kutokana na kile alichokitaja kuwa ni hatua zake za kichokozi.
-
Iran yakemea vikali tishio la Marekani la kuiwekea Oman vikwazo
May 30, 2026 04:50Iran yakemea vikali tishio la Marekani la kuiwekea Oman vikwazo
-
Imamu wa Swala ya Ijumaa Tehran: Marekani na Israel zimedhoofika baada ya Vita vya Ramadhani
May 29, 2026 13:08Katibu wa muda wa swala ya Ijumaa mjini Tehran amesema kuwa Marekani na Israel zinashuhudia “kudhoofika” katika eneo la Asia Magharibi. Amesisitiza kuwa vita vya siku 40 vya Ramadhani vilivyoanzishwa na tawala hizo mbili dhidi ya Iran vimedhihirisha kuwa Marekani imepoteza uwezo wa kudumisha ushawishi wake wa kisiasa katika Asia ya Magharibi.
-
'Sikukuu ya wanyonya damu imekwisha': Iran yasema hakuna ngao tena kwa kambi za Marekani
May 29, 2026 12:40Ulinzi wenye nguvu wa Iran umeonyesha kwamba "sikukuu ya wanyonya damu" imekwisha.