Iran
  • Jenerali Baqeri: Vikosi vya Iran havitasita kujibu vitisho vya maadui

    Jenerali Baqeri: Vikosi vya Iran havitasita kujibu vitisho vya maadui

    May 23, 2025 02:56

    Mkuu wa Vikosi vya Majeshi ya Iran amesema wanajeshi wa nchi hii hivi sasa wanatengeneza aina mbalimbali za ndege zisizo na rubani na ndege ndogo, akionya kwamba Jamhuri ya Kiislamu itajibu vitisho vyovyote vya maadui kwa jibu lenye mlingano sawa.

  • "Iwapo maadui wangeliamini Iran inaweza kushindwa, wasingejadiliana"

    May 22, 2025 23:30

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Sayyid Abbas Araghchi amesisitiza kuwa, jukumu la msingi la wizara hiyo ni kujitahidi kuondosha vikwazo na kuongeza kuwa, Naibu Waziri wa Mambo ya Nje anayesimamia Diplomasia ya Kiuchumi na balozi za Iran nje ya nchi zinapaswa kuwezesha mchakato huo na kuondolewa vikwazo vyote dhidi ya taifa hili.

  • Balozi wa Iran: Tehran yataka kulaaniwa mashambulizi yanayoendelea ya Israel dhidi ya Syria

    Balozi wa Iran: Tehran yataka kulaaniwa mashambulizi yanayoendelea ya Israel dhidi ya Syria

    May 22, 2025 09:09

    Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa, Amir-Saeed Iravani amesisitiza kuwa, kuendelea mashambulizi ya Israel dhidi ya Syria na kuikalia kwa mabavu Miinuko ya Golan ya Syria na utawala huo ni ukiukaji wa wazi wa sheria za kimataifa na azimio la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.

  • Awamu ya tano ya mazungumzo ya Iran na Marekani kufanyika kesho Ijumaa

    Awamu ya tano ya mazungumzo ya Iran na Marekani kufanyika kesho Ijumaa

    May 22, 2025 02:38

    Esmail Baghaei, Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa, duru ya tano ya mazungumzo yasiyo ya ana kwa ana kati ya Iran na Marekani itafanyika kesho Ijumaa nchini Italia.

  • Bunge: Iran haitakubali kuachia haki yake ya nyuklia

    Bunge: Iran haitakubali kuachia haki yake ya nyuklia

    May 22, 2025 00:36

    Wabunge wa Iran wameendelea kusisitiza kuwa Jamhuri ya Kiislamu haitasalimu amri juu ya haki yake ya nyuklia chini ya Mkataba wa Kuzuia Uenezaji wa Silaha za Nyuklia (NPT), hususan haki yake ya kurutubisha urani, huku wakikataa matakwa ya Marekani yaliyowasilishwa kupitia mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja.

  • Pezeshkian: Marekani inafanya uporaji mchana kweupe

    Pezeshkian: Marekani inafanya uporaji mchana kweupe

    May 21, 2025 06:41

    Rais Masoud Pezeshkian amesema kuwa, rais wa Marekani Donal Trump alisema akiwa nchini Saudia kwamba watu wengine wanapora na kuiba wakati mwenyewe Trump ndiye anayefanya wizi na uporaji mchana kweupe na mbele ya macho ya walimwengu.

  • Bunge lapasisha makubaliano ya kimkakati ya Iran na Russia

    Bunge lapasisha makubaliano ya kimkakati ya Iran na Russia

    May 21, 2025 06:40

    Wajumbe wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) wamepasisha rasimu ya Mkataba wa Ushirikiano Kamili wa Kimkakati kati ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Shirikisho la Russia.

  • Kharrazi: Dunia ya kambi moja imeyoyoma, kuna haja ya mazungumzo ya kikanda

    Kharrazi: Dunia ya kambi moja imeyoyoma, kuna haja ya mazungumzo ya kikanda

    May 21, 2025 04:03

    Mkuu wa Baraza la Mahusiano ya Kigeni la Iran amesisitiza kuwa mfumo wa kambi moja umeyoyoma na sasa kumeibuka madola yenye nguvu ya kikanda na kusema: "Suluhisho pekee la changamoto za Mashariki ya Kati ni mazungumzo ya moja kwa moja kati ya nchi za eneo hilo bila ya uingiliaji wa madola ya nje ya kanda hiyo."

  • Wabunge wa Iran walaani hatua ya Bunge la UK kuitambua IRGC kuwa 'kundi la kigaidi'

    Wabunge wa Iran walaani hatua ya Bunge la UK kuitambua IRGC kuwa 'kundi la kigaidi'

    May 20, 2025 22:57

    Wabunge wa Iran wamelaani vikali hatua ya wabunge wa Bunge la Uingereza ya kuliorodhesha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) kuwa shirika la kigaidi, wakiapa kuchukua hatua za kisheria za kujibu mapigo.