-
Iran: Kunyamazia kimya jinai za Wazayuni ni kuhamasisha jinai za wamwagaji damu
Jul 18, 2024 02:20Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amegusia jinai zinazoendelea kufanywa na utawala wa Kizayuni katika Ukanda wa Ghaza na kulalamikia vikali kimya cha kuchupa mipaka cha jamii ya Kimataifa mbele ya jinai hizo za Wazayuni.
-
Iran yalitaka Baraza la Usalama liilazimishe Israel ikomeshe mauaji ya kimbari Gaza
Jul 17, 2024 23:32Kaimu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amelitaka Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuchukua hatua za kivitendo za kuulazimisha utawala wa Kizayuni ukomeshe 'mara moja na bila masharti yoyote' mauaji ya kimbari unaoyafanya dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza.
-
Uhusiano wa Iran na China katika serikali mpya ya awamu ya 14
Jul 17, 2024 05:07Kufuatia kuchaguliwa Masoud Pezeshkian kuwa rais mpya wa Iran, swali linajotokeza hapa kuwa je, uhusiano wa baadaye kati ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na China utakuwa vipi katika serikali ya awamu ya 14 ya Tehran.
-
Iran yakanusha madai ya uwongo ya kuhusika katika jaribio la kumuua Trump
Jul 17, 2024 03:58Akijibu baadhi ya ripoti zisizo na msingi zinazodai kuwa Iran imeshiriki katika jaribio la kumuua Donald Trump, rais wa zamani wa Marekani, Mwakilishi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa amesema kuwa tuhuma hizo hazina msingi wowote na kwamba ni za kichochezi.
-
Sisitizo la Iran juu ya Umoja wa Mataifa kutoruhusu hatua za mabavu za upande mmoja
Jul 17, 2024 02:20Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran anayeshughulikia masuala ya kisheria na kimataifa amesema, Umoja wa Mataifa unapaswa kupinga wazi hatua za mabavu na za upande mmoja zinazotekelezwa na baadhi ya madola yenye kiburi duniani, na kuyataka yakomeshe hatua hizo mara moja.
-
Bagheri Kani: Marekani ni kikwazo kikuu katika kuhitimisha mauaji ya kimbari ya Israel Ukanda wa Gaza
Jul 17, 2024 00:11Kaimu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ameishutumu Marekani kwa vita vya mauaji ya kimbari yanayoendelea kufanywa na Israel katika Ukanda wa Gaza. Ali Bagheri Kani amesisitiza umuhimu wa kushirikiana pande kadhaa ili kurejesha amani na utulivu duniani.
-
Mamilioni ya wafuasi wa Ahlul-Bayt (as) washiriki maombolezo ya Ashura
Jul 16, 2024 08:07Mamilioni ya Waislamu katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na maeneo mengine ya dunia leo wameshiriki katika maombolezo ya kumbukumbu ya Ashura ya kukumbuka siku ya kuuliwa shahidi mjukuu wa Mtume Muhammad (SAW), Imam Hussein bin Ali bin Abi Twalib (a.s).
-
Bagheri Kani na Rais wa Baraza Kuu la UN wajadili mauaji ya Gaza
Jul 16, 2024 04:14Kaimu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuna udharura wa kuchukuliwa hatua za kivitendo ili kukomesha jinai zinazofanywa na utawala ghasibu wa Israel dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.
-
Iran katika maombolezo ya Tasua, yaitaka dunia ikabiliane na jinai za Israel
Jul 15, 2024 09:55Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran sanjari na kutoa mkono wa pole kwa Waislamu kote duniani ambao hii leo wapo katika maombelezo ya kukumbuka kuuawa shahidi Imam Hussein AS, ameitaka jamii ya kimataifa kuchukua hatua za kivitendo za kusimamisha jinai na mauaji ya kimbari yanayofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.
-
Iran ya Kiislamu yaghariki kwenye Tasua ya Imam Hussein AS
Jul 15, 2024 07:21Waislamu katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na maeneo mengine ya dunia leo tarehe 9 Mfunguo Nne Muharram wameshiriki katika vikao, marasimu, majlisi na shughuli mbali mbali za maombolezo ya Tasua ya Imam Hussein AS, mjukuu wa Mtume wetu Muhammad SAW.