-
Kufafanuliwa na Rais mteule Masoud Pezeshkian fremu ya sera za kigeni za serikali mpya ya Iran
Jul 14, 2024 23:14Katika risala yake ya pili, rais mteule wa Iran Masoud Pezeshkian, amefafanua sera ya serikali mpya katika uga wa nje.
-
Kan’ani alaani madai ya Argentina ya kuwahusisha raia wa Iran katika mlipuko wa "Amia"
Jul 14, 2024 03:55Nasser Kanani Chafi, Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Iran, amelaani matamshi yasiyo na ushahidi ya Waziri wa Sheria wa Argentina na vile vile taarifa iliyotolewa na Ofisi wa Rais wa nchi hiyo ikiwatuhumu raia wa Iran kuwa walihusika katika mlipuko wa jengo la "Amia".
-
Iran: Israel haijali mstari wowote mwekundu wa maadili
Jul 14, 2024 03:36Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani vikali jinai mpya iliyofanywa na utawala wa Kizayuni katika eneo la Al-Mawasi huko Khan Yunis, kusini mwa Ukanda wa Gaza na kuua shahidi makumi ya wakimbizi wa Kipalestina na kujeruhi mamia ya wengine.
-
Iran yamtia mbaroni mhusika mkuu wa shambulio la kigaidi la Kerman
Jul 13, 2024 23:28Vikosi vya usalama wa taifa vya Iran vimefanikiwa kumtia mbaroni mmoja wa wahusika wakuu wa miripuko miwili ya kigaidi iliyotokea mwezi Januari mwaka huu katika mji wa Kerman wa kusini mashariki mwa Iran.
-
Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran: Sarafu ya dola tumeiondoa katika miamala ya Iran na Russia
Jul 13, 2024 08:34Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amesema kuwa miamala yote ya kibiashara kati ya Iran na Russia itafanyika bila ya kutumika sarafu ya dola.
-
Rais mteule wa Iran: Serikali yangu itaupa kipaumbele uhusiano na majirani
Jul 12, 2024 23:16Rais mteule wa Irani, Masoud Pezeshkian, amesema serikali yake italipa kipaumbele suala la kuimarisha uhusiano na majirani.
-
Waandamanaji Kenya: Kuvunjwa baraza la mawaziri hakutoshi, tunataka Rais Ruto ajiuzulu
Jul 12, 2024 23:15Vijana wanaoandamana nchini Kenya wamesema kuwa, hawajaridhishwa na hatua ya Rais William Ruto ya kuvunja baraza la mawaziri kwani wanachotaka ni kiongozi huyu kujiuzulu.
-
Khatibu wa Swala ya Ijumaa Tehran: Wairani wamezima njama za maadui kwa kushiriki kwa wingi kwenye uchaguzi wa rais
Jul 12, 2024 08:01Imamu wa Swala ya Ijumaa ya leo mjini Tehran amesema: "Watu wa Iran wamezima njama za maadui kwa kushiriki kwa wingi kwenye upigaji kura katika uchaguzi wa rais Ijumaa wiki iliyopita."
-
Wasiwasi wa Washington juu ya ushawishi wa Iran kati ya watetezi wa Palestina huko Marekani
Jul 12, 2024 07:11Harakati ya wanafunzi wa vyuo vikuu nchini Marekani iliyotikisa maeneo yote ya hiyo na kusababisha mamia ya maandamano, mikusanyiko na migomo katika vyuo vikuu kulalamikia jinai na uhalifu wa Israel hususan mauaji ya kimbari ya watu wa Gaza imekabiliwa na hasira kali ya serikali ya Washington.
-
Kamanda wa Kikosi cha Quds cha SEPAH aonana na makamanda wa muqawama
Jul 12, 2024 03:41Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu SEPAH ametembelea maeneo tofauti ya operesheni za kambi ya muqawama za kupambana na Wazayuni na kuonana ana kwa ana na maafisa na makamanda wa muqawama kwenye maeneo hayo.