-
Baqaei: Naibu Waziri wa Mambo ya Nje ajadili usalama wa mipaka na haki ya maji ziarani Afghanistan
Oct 29, 2025 04:02Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran Esmaeil Baqaei ameeleza kuwa Kazem Gharibabadi Naibu Waziri wa Mambo ya Nje amefanya ziara nchini Afghanistan ili kujadili masuala kadhaa ambayo yamesalia kwenye ajenda ya uhusiano kati ya nchi mbili, ikiwa ni pamoja na suala la usalama wa mipaka.
-
Upeo mpya katika mahusiano ya kibiashara wa Iran na Pakistan; biashara ya kubadilishana, hatua mpya ya kuendeleza ushirikiano wa kiuchumi
Oct 28, 2025 22:56Matukio chanya yametokea katika wiki za hivi karibuni katika suala la kuongeza uhusiano wa kibiashara na mawasiliano kati ya Iran na Pakistan.
-
'Ni Hatari': Iran yalaani uchochezi wa kijeshi wa Marekani huko Venezuela
Oct 28, 2025 14:26Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imelaani uchochezi wa kijeshi wa Marekani kandokando ya Venezuela ikisema ni tishio kwa amani na usalama katika eneo la Karibi na Amerika Kusini.
-
Mshauri wa kijeshi wa Ayatullah Khamenei: Iran iko tayari kwa 'vita vya korido' ili kuongeza ushawishi wa kimkakati
Oct 28, 2025 08:53Mshauri mkuu wa kijeshi wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei ametaja "vita vya korido" vinavyoibuka kuwa ni uwanja muhimu katika uhusiano wa kimataifa, na uwanja mpya wa ushawishi wa kimkakati wa Iran.
-
Pezeshkian atoa wito wa kubuniwa mfumo wa usalama' wenye msikamano ndani ya kambi ya ECO
Oct 28, 2025 07:25Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, ametoa wito kwa nchi wanachama wa Jumuiya ya Kiuchumi ya ECO kuanzisha na kutekeleza mfumo thabiti wa usalama, unaounda utulivu, wa ndani, na unaozingatia maendeleo.
-
Iran kuvutia watalii Waislamu wanaotaka huduma 'Halal'
Oct 28, 2025 04:21Waziri wa Urithi wa Kitamaduni, Utalii na Sanaa za Mikono wa Iran, Seyyed Reza Salehi Amiri, amesema kuwa utalii 'Halal' ni jukwaa muhimu katika kukuza mwingiliano wa kitamaduni na kuwavutia wageni Waislamu.
-
Pezeshkian: Iran na Oman zimekuwa wasaidizi wa kila mmoja katika misukosuko ya kikanda
Oct 27, 2025 23:46Rais Masoud Pezeshkian amesisitiza historia ya muda mrefu na yenye upendo ya uhusiano kati ya Iran na Oman na kusema: "Mawasiliano na maingiliano kati yao yamekuwa yakiegemezwa katika misingi ya udugu, kuheshimiana na nia njema, na nchi hizo mbili daima zimekuwa ni wasaidizi na waungaji mkono wa kila mmoja katika hali ya misukosuko ya kieneo."
-
China: Hatutosita kuchukua hatua kali iwapo maslahi yetu yatahatarishwa na vikwazo dhidi ya Iran
Oct 27, 2025 23:45Balozi wa China nchini Iran amesema kuwa nchi yake haitosita kuchukua hatua za kukabiliana na vikwazo dhidi ya Iran ikiwa vikwazo hivyo vitaathiri maslahi yake na kukwamisha shughuli na uhusiano wake wa kibiashara na Tehran.
-
Iran: UN isipendelee upande wowote, ikabiliane na ukiukwaji wa sheria za kimataifa unaofanywa na Marekani na Israel
Oct 27, 2025 08:48Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ametaka Umoja wa Mataifa kuwakilisha kwa dhati haki za mataifa yote, huku akilaani uchokozi wa Marekani na Israel dhidi ya Iran na msimamo wa kupendelea upande mmoja wa Baraza la Usalama la umoja huo.
-
Shirika la Kitaifa la Vipaji la Iran lawatunuku washindi 17 wa medali za Olimpiadi za Sayansi
Oct 27, 2025 08:44Shirika la Kitaifa la Vipaji la Iran (INEF) limeandaa hafla maalum ya kuwatunuku wanafunzi 17 wenye vipaji na vijana waliotwaa medali za dhahabu, fedha na shaba katika mashindano ya kimataifa ya Olimpiadi za Sayansi katika nyanja za Akili Mnemba (AI), Astronomia na Fizikia ya Anga, Uchumi, na Sayansi ya Kompyuta.