-
Araqchi: Vita vitaisha kwa njia itakayomfanya adui asifikirie tena kutushambulia
Mar 17, 2026 10:31Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Iran amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu haijatuma ujumbe wa aina yoyote kwa wavamizi wala haijaomba kusitishwa vita.
-
Politico: Marekani inachukiwa sana kuliko Wamarekani wanavyodhani
Mar 17, 2026 10:29Matokeo ya uchunguzi wa maoni yanaonyesha kuwa sura ya Marekani ni mbaya sana miongoni mwa raia wa nchi waitifaki wa nchi hiyo duniani kwa kiasi ambacho hakiingii hata katika fikra na akili za Wamarekani.
-
Pezeshkian: Iran haitasalimu amri mbele ya madola ya kibeberu
Mar 17, 2026 09:34Rais Masoud Pezeshkian wa Iran amesema taifa hili halitasalimu amri kamwe mbele ya madola ya kibeberu, huku akiitaka jamii ya kimataifa kulaani uvamizi wa Marekani na utawala wa Kizayuni dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu.
-
Iran yazitaka nchi za Kiislamu zitangaze msimamo, yasema Marekani haiaminiki
Mar 17, 2026 08:15Katika taarifa yenye vipengele sita iliyoelekezwa kwa serikali za nchi za Kiislamu, Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran amesema: “Lazima muamue msimamo wenu katika Vita vya Ramadhani, je, mnasimama upande wa nchi ya Kiislamu ya Iran, au upande wa Marekani na Israel?”
-
Qalibaf: Hali ya Hormuz haitarudi tena kama ilivyokuwa zamani
Mar 17, 2026 08:14Spika wa Majilisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema kuwa utawala wa Kizayuni wa Israel unalenga kutumia vita kubadilisha muundo wa eneo la Asia ya Magharibi.
-
Ujerumani yakataa ombi la Marekani la kushiriki vita dhidi ya Iran
Mar 17, 2026 08:13Kansela wa Ujerumani, amejibu ombi la Donald Trump la kutaka ushiriki wa Berlin katika operesheni ya kijeshi ya Marekani katika Lango Bahari la Hormuz, na kusema wazi kuwa Ujerumani haitashiriki katika vita dhidi ya Iran.
-
IRGC: Tumewavurumishia maadui makombora 700, droni 3,600 mpaka sasa
Mar 17, 2026 07:08Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran (IRGC) limesema limepiga shabaha za Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel kwa makombora zaidi ya 700 na ndege zisizo na rubani 3,600 tangu Jamhuri ya Kiislamu ianzishe operesheni za kulipiza kisasi cha mashambulizi ya kichokozi ya maadui hao mwishoni mwa Februari mwaka huu.
-
Daily Mail: Trump amekwama kwenye kinamasi
Mar 16, 2026 14:02Gazeti la Daily Mail linalochapishwa nchini Uingereza limeandika kuwa Iran imethibitisha kuwa ina nguvu na imejiandaa vizuri sana kuliko vile ilivyokuwa ikidhaniwa na Marekani.
-
Kamanda Naeini: Iran inadhibiti kikamilifu Lango Bahari la Hormuz
Mar 16, 2026 14:01Msemaji wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema: Lango Bahari la Hormuz linadhibitiwa kikamilifu na Iran na kwamba uchokokozi wowote utakabiliwa na jibu kali.
-
Mchambuzi wa Marekani: Wananchi wa Marekani wanachukizwa na vita vya Trump dhidi ya Iran
Mar 16, 2026 14:00Mchambuzi wa Marekani ameeleza kuwa wapiga kura wa nchi hiyo wamekasirishwa na hatua ya rais wa nchi hiyo ya kuiburuta Washington katika vita na Iran.