-
Mahakama ya Kimataifa ya Jinai chini ya kivuli cha undumakuwili wa Marekani
Jan 22, 2026 00:56Naibu mwakilishi wa Marekani katika Umoja wa Mataifa ametishia kuichukulia hatua zaidi Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC iwapo itaendeleza uchunguzi wake kuhusu uhalifu na jinai za nchi hiyo.
-
Araghchi aionya Marekani: Shambulio lolote jipya dhidi ya Iran litakabiliwa na jibu kali
Jan 21, 2026 23:39Sayyid Abbas Araghchi, Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesisitiza kwamba uchokozi wowote mpya wa kijeshi dhidi ya Iran utakabiliwa na jibu kali na la uhakika.
-
Mafuriko mabaya zaidi yaikumba Msumbiji na kusababisha maafa
Jan 21, 2026 23:38Watu wasiopunguwa 114 wamefariki dunia na uharibifu mkubwa wa mali umeripotiwa nchini Msumbiji huku baadhi ya vijiji vikifunikwa kabisa na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa nchini humo.
-
Jeshi la Nigeria lawakomboa mateka 62 na kuwaua wanamgambo 2 kaskazini magharibi mwa nchi
Jan 21, 2026 23:38Jeshi la Nigeria limeripoti kuwa wanajeshi watano na afisa mmoja wa polisi wameuawa katika shambulizi la kuvizia kaskazini magharibi mwa nchi hiyo.
-
Kizza Besigye kiongozi mkongwe wa upinzani Uganda yuko mahututi
Jan 21, 2026 23:37Imeelezwa kuwa, hali ya kiafya ya Daktari Kizza Besigye, kiongozi mkongwe wa upinzani nchini Uganda imezidi kuwa mbaya.
-
Wakulima Israel wanafilisika baada ya kuongezeka wimbi la kususia bidhaa za kilimo za Israel
Jan 21, 2026 23:37Wakulima wa Israel wameonya kuhusu "kuporomoka kwa mauzo ya nje ya bidhaa za kilimo kufuatia kuongezeka kwa kampeni za kimataifa za kususia bidhaa za Israel kutokana na vita vya Gaza.
-
Bahreini: Iran haitafumbia macho katu haki yake ya kurutubisha urani kwa matumizi ya amani
Jan 21, 2026 07:12Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Ofisi ya Umoja wa Mataifa mjini Geneva amesisitiza kwamba, taifa hili halitafumbia macho katu haki yake ya kurutubisha urani kwa ajili ya matumizi ya amani.
-
B’Tselem: Wapalestina wasiopungua 84 wameuawa kwenye kambi za mateso za Israel
Jan 21, 2026 07:09Mfumo wa magereza wa utawala wa kizayuni wa Israel umekuwa "mtandao wa kambi za mateso" unaowalenga Wapalestina. Hayo yameelezwa katika ripoti mpya ya uchunguzi uliofanywa na asasi ya kutetea haki za binadamu ya B'Tselem.
-
"Haiwezi Tena Kuvumilika", asema Waziri Mkuu wa Ubelgiji akiitaka Ulaya iamue moja kuhusu Trump
Jan 21, 2026 07:09Waziri Mkuu wa Ubelgiji Bart De Wever amesema, ni lazima Ulaya imueleze wazi Rais wa Marekani Donald Trump kwamba hali ilipofikia hivi sasa "Haiwezi Tena Kuvumilika".
-
OCHA: Watu laki tano wameathiriwa vibaya na mafuriko Msumbiji, mamba ni tishio mijini
Jan 21, 2026 07:07Mkuu wa Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kuratibu Misaada ya Kibinadamu, OCHA nchini Msumbiji amesema, mafuriko makubwa yaliyosababishwa na mvua zinazoendelea kunyesha, yamesababisha majanga makubwa kwa maisha na mbinu za kujipatia kipato nchini humo, yakiongeza pia hatari ya mripuko wa magonjwa na kuyaweka maeneo ya mijini katika hatari ya kuzingirwa na mamba.