-
Daily Mail: Trump amekwama kwenye kinamasi
Mar 16, 2026 14:02Gazeti la Daily Mail linalochapishwa nchini Uingereza limeandika kuwa Iran imethibitisha kuwa ina nguvu na imejiandaa vizuri sana kuliko vile ilivyokuwa ikidhaniwa na Marekani.
-
Kamanda Naeini: Iran inadhibiti kikamilifu Lango Bahari la Hormuz
Mar 16, 2026 14:01Msemaji wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema: Lango Bahari la Hormuz linadhibitiwa kikamilifu na Iran na kwamba uchokokozi wowote utakabiliwa na jibu kali.
-
Mchambuzi wa Marekani: Wananchi wa Marekani wanachukizwa na vita vya Trump dhidi ya Iran
Mar 16, 2026 14:00Mchambuzi wa Marekani ameeleza kuwa wapiga kura wa nchi hiyo wamekasirishwa na hatua ya rais wa nchi hiyo ya kuiburuta Washington katika vita na Iran.
-
Araqchi: Kushambulia maghala ya mafuta ni kuangamiza mazingira
Mar 16, 2026 13:58Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa kitendo cha kushambulia maghala ya kuhifadhia mafuta katika mji wa Tehran ni sawa na kuangamiza mazingira.
-
Rais wa Iran amwambia Macron: US, Israel ndio mzizi wa ukosefu wa usalama katika eneo
Mar 16, 2026 09:34Rais wa Iran amesema Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel ndizo chimbuko la ukosefu wa usalama na uthabiti katika eneo la Asia Magharibi, akisisitiza kuwa Jamhuri ya Kiislamu haitasita kukabiliana na wavamizi.
-
Uwezo wa mashambulizi wa Vikosi vya Ulinzi vya Iran hauwezi kuzuiliwa
Mar 16, 2026 09:15Msemaji wa Kamandi ya Majeshi ya Iran ya Khatam al‑Anbiya (s) amesema: uwezo wa mashambulizi wa Vikosi vya Ulinzi vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran unatokana na elimu na teknolojia ya ndani ya nchi; hauwezi kumalizika wala kudhibitiwa kwa namna yoyote.
-
Iran yawakamata 'mamluki na majasusi' 36 wa Marekani, Israel
Mar 16, 2026 08:48Jeshi la Polisi la Iran limefanikiwa kutambua na kuvunja mtandao wa mamluki na majasusi uliokuwa ukiongozwa na mashirika ya kijasusi ya Marekani na utawala haramu wa Israel ndani ya Iran.
-
Guardian: Dunia itakumbwa na mgogoro wa chakula vita dhidi ya Iran vikiendelea
Mar 16, 2026 08:08Mkuu wa moja ya kampuni kubwa zaidi za mbolea duniani amenukuliwa na gazeti la The Guardian akionya kuwa, usambazaji wa chakula duniani utaathiriwa vibaya sana mwaka huu iwapo vita dhidi ya Iran vitapanuka na kuendelea.
-
Rais Pezeshkian: Tutajenga upya kila kilichoharibiwa, tena bora kuliko hapo awali
Mar 16, 2026 07:42Rais wa Iran amesisitiza kuwa, “Kwa msaada wenu, watu watukufu wa Iran, tutavuka kipindi hiki na tutajenga upya kila kilichoharibiwa, tena bora zaidi kuliko hapo awali.”
-
New York Times: Uwezo wa Iran ni zaidi ya alivyotarajia Trump
Mar 16, 2026 07:28Gazeti moja la Marekani limekiri uwezo wa Iran wa kuathiri uchumi wa dunia kwa kudhibiti Mlango-Bahari wa Hormuz