-
Iran yakemea vikwazo vya Marekani dhidi ya majaji wa ICC
Dec 20, 2025 03:48Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imeilaani vikali Marekani kwa kuwawekea vikwazo majaji wa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC), ikisema Washington inalinda waliotenda makosa makubwa ya jinai.
-
Iran yasisitiza utayari wa mazungumzo kwa msingi wa kuheshimu haki za taifa
Dec 20, 2025 03:47Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amerejelea utayari wa Jamhuri ya Kiislamu kushiriki mazungumzo yanaliyojengwa juu ya heshima kwa haki za taifa, huku akipinga vikali mbinu zozote zinazotegemea shinikizo la upande mmoja.
-
Muda wa kuhudumu askari wa UN nchini DRC waongezwa huku waasi wakishadidisha vita
Dec 20, 2025 03:43Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kwa kauli moja jana Desemba 19, 2025 limepitisha azimio namba 2808 (2025), ambalo linaamua kuongeza hadi tarehe 20 Desemba 2026 muda wa kazi wa Ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa Kulinda amani katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (MONUSCO), na kwa hali ya kipekee, wa brigedi yake ya kukabiliana mashambulizi.
-
Katibu Mkuu wa UN akemea kuongezeka kwa ukatili wa walowezi wa Kizayuni Ukingo wa Magharibi
Dec 20, 2025 03:36Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres, amelaani kuongezeka kwa mashambulizi ya walowezi wa Kizayuni wasiokuwa halali dhidi ya raia wa Kipalestina wasio na silaha na mali zao katika maeneo ya Ukingo wa Magharibi yanayokaliwa kwa mabavu na Israel.
-
Mabasi ya umeme yaliyoundwa Iran yaanza huduma mjini Tehran
Dec 20, 2025 03:35Kundi la kwanza la mabasi ya umeme yaliyotengenezwa nchini Iran limeanza kutoa huduma katika mji mkuu, Tehran, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuboresha mfumo wa usafiri wa umma na kupunguza uchafuzi wa hewa unaosababishwa na mabasi ya dizeli ya kizamani.
-
Rais Museveni: Tuna risasi za kutosha kukabiliana na wanaopanga kuandamana
Dec 20, 2025 00:33Rais Yoweri Museveni wa Uganda amewaonya wale wanaopanga kuandamana na kueleza kwamba, kuna risasi za kutosha kwa ajili ya kukabiliana nao.
-
Wayemen waandamana kupinga kuvunjiwa heshima Qur'an Marekani
Dec 19, 2025 23:08Makumi ya maelfu ya wananchi wa Yemen walimiminika katika barabara na mitaa ya Sa’ada jana Ijumaa kushiriki maandamano ya kulaani kitendo cha kunajisiwa Qur'ani Tukufu nchini Marekani, sanjari na kupaza sauti zao kuiunga mkono Palestina, huku hasira zikiongezeka katika ulimwengu wa Kiislamu kutokana na wimbi la vitendo vya hivi karibuni vilivyo dhidi ya Uislamu na Waislamu.
-
Mashambulizi ya RSF yaua raia 16 eneo la Kordofan, Sudan
Dec 19, 2025 23:07Takriban watu 16 wameuawa katika shambulio la mizinga la waasi wa RSF lililolenga mji uliozingirwa katika eneo la Kordofan nchini Sudan, huku vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini humo vikiingia katika awamu hasasi kwenye mwaka wake wa tatu.
-
UAE, mnunuzi wa siri katika mkataba mkubwa wa silaha na Israel
Dec 19, 2025 23:04Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) umetambuliwa kama mnunuzi 'asiyejulikana' kwenye mkataba wa dola bilioni 2.3 uliosainiwa mwezi uliopita na kampuni za kuzalisha silaha ya Israel ya Elbit Systems, ripoti inasema.
-
Kuipachika Venezuela lebo ya ugaidi; shutuma za kisiasa au kisingizio cha shambulio?
Dec 19, 2025 22:53Katika hatua yake ya hivi karibuni dhidi ya serikali ya Rais wa Venezuela Nicolas Maduro, Rais wa Marekani Donald Trump ameitangaza serikali hiyo kuwa ni ya kigaidi na ameamuru kuzuiwa meli zote za mafuta zinazoingia au kutoka nchini humo.