-
Mamdani achaguliwa Meya wa kwanza Mwislamu wa Jiji la New York katika ushindi wa kihistoria
Nov 05, 2025 03:40Zohran Mamdani mbunge Muislamu amechaguliwa kuwa Meya wa 111 wa jiji la New York, mtu wa kwanza mwenye asili ya Asia Kusini na wa kwanza aliyezaliwa barani Afrika kuongoza jiji kubwa zaidi nchini Marekani.
-
Hamas yapinga kutumwa jeshi la kigeni Gaza mbadala wa jeshi vamizi la Israel
Nov 05, 2025 03:39Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas katika Ukanda wa Gaza imesema kuwa haiwezakani kutumwa kikosi cha kijeshi cha kigeni katika eneo hilo ambacho kitahudumu kama mbadala wa jeshi vamizi la Israel.
-
ECOWAS yalaani madai ya Trump kuhusu mauaji ya kimbari dhidi ya Wakristo Nigeria
Nov 05, 2025 02:56Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Afrika Magharibi, ECOWAS, imekanusha kama ya uongo na yenye hatari madai kwamba makundi yenye misimamo mikali katika eneo hilo yanawalenga watu wa dini fulani au yanafanya mauaji ya kimbari dhidi ya Wakristo.
-
Wasichotaka mkijue; Sudan, nchi ya dhahabu iliyonaswa na wafanyanjama wa kimataifa
Nov 05, 2025 02:34Sudan, ambayo kwa sasa imetumbukia katika kinamasi cha vita vya wenyewe kwa wenyewe, ni nchi yenye nguvu na uwezo mwingi.
-
Yemen: Tumejiandaa kwa vita vikubwa na Israel
Nov 04, 2025 23:47Kiongozi wa harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema kuwa, harakati za Muqawamaa zimejiandaa kwa ajili ya awamu ijayo ya mapambano na utawala wa Kizayuni wa Israel, kwani zinaamini kwamba eneo hili halitakuwa imara kwa muda mrefu maadamu Palestina inaendelea kukaliwa kwa maabavu na dola pandikizi la Kizayuni ambalo muda wote linapanga njama dhidi ya Waislamu.
-
Waislamu na Wakristo wa Nigeria wapinga vitisho vya Trump
Nov 04, 2025 23:41Waislamu na Wakristo wa Nigeria wamesisitiza kuishi pamoja kwa amani na maelewano na kusema kuwa vitisho vya Rais wa Marekani dhidi ya nchi hiyo havikubaliki.
-
Utafiti: Vita vya mauaji ya kimbari vya Israel vimegharimu zaidi ya miaka milioni 3 ya maisha ya mwanadamu huko Gaza
Nov 04, 2025 23:36Utafiti wa hivi karibuni uliochapishwa katika jarida la Lancet umefichua kuwa zaidi ya miaka milioni tatu ya maisha ya binadamu yamepotea katika Ukanda wa Gaza tangu utawala ghasibu wa Israel uanzishe kampeni yake ya mauaji ya kimbari dhidi ya watu Ukanda wa Gaza ulio chini ya mzingiro, mwezi Oktoba mwaka 2023.
-
Padri Mfaransa atuhumiwa kuwadhalilisha kingono wakimbizi watoto
Nov 04, 2025 23:36Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki la Rabat nchini Morocco jana aliliambia shirika la habari la AFP kuwa "ameshirikiana kikamilifu" na mamlaka za Morocco na nje ya nchi baada ya kasisi wa Ufaransa kutuhumiwa kwa kuwadhalilisha kingono wakimbizi watoto huko Casablanca.
-
Mjumbe wa UN kuhusu elimu: Watoto milioni 14 nchini Sudan hawaendi shuleni
Nov 04, 2025 23:35Nesmy Manigat, Mwakilishi Mkuu wa Ushirikiano wa Kimataifa kwa Ajili ya Elimu, amesema kwamba Sudan inakabiliwa na "mojawapo ya hali mbaya zaidi duniani," akieleza kuwa takriban watoto milioni 14 hawaendi shuleni, katika mgogoro mkubwa zaidi wa aina yake katika Mashariki ya Kati na Afrika Kaskazini.
-
Mapitio ya jinai za Magharibi; jinai za Marekani nchini Somalia
Nov 04, 2025 23:06Marekani imefanya mashambulizi ya anga na operesheni za kijeshi nchini Somalia, na kusababisha vifo vingi vya raia, na akthari ya hatua hizo zimekuwa zikikosolewa na makundi ya kutetea haki za binadamu. Idadi halisi ya vifo inaweza kuwa kubwa zaidi kuliko ile iliyotangazwa na Pentagon.