-
Kwa uchache watu 20 wameuawa katika mashambulizi ya droni ya RSF nchini Sudan
Nov 04, 2025 03:28Watu wasiopungua 20 wameuawa na wengine 34 kujeruhiwa jana Jumatatu katika mashambulizi mawili tofauti ya droni na ndege zisizo na rubani na Vikosi cha Usaidizi wa Haraka cha Kijeshi (RSF) huko katikati na magharibi mwa Sudan.
-
Jeshi la Iran lasema limejiandaa kulinda usalama wa taifa dhidi ya vitisho
Nov 03, 2025 23:25Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran limesema limejiandaa na limesimama thabiti mbele ya vitisho vya maadui, na linaendelea kujitolea kulinda mipaka ya ardhi na mfumo wa Kiislamu.
-
UNICEF yaonya kuhusu mzozo wa kibinadamu kwa watoto Gaza licha ya kusitishwa mapigano
Nov 03, 2025 22:56Msemaji wa Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) ameashiria hali mbaya inayowakabili zaidi ya watoto milioni moja huko Gaza, ambao wanaendelea kuhitaji chakula na maji kwa dharura.
-
Israel yaandaa muswada wa 'kifashisti' wa kuruhusu utoaji wa hukumu ya adhabu ya kifo kwa Wapalestina
Nov 03, 2025 22:55Kamati moja ya wabunge wa utawala wa kizayuni wa Israel imeidhinisha muswada wa kuanzisha utoaji wa adhabu ya kifo kwa Wapalestina wanaoshikiliwa kwenye magereza ya utawala huo, na kufungua njia ya kusomwa hoja hiyo kwa mara ya kwanza bungeni licha ya kuandamwa na lawama nyingi.
-
Trump asema siku za Rais Maduro wa Venezuela kuweko madarakani zinakaribia ukingoni
Nov 03, 2025 22:54Katika kile kinachotafsiriwa kama harakati ya kibeberu na ya kuingilia masuala ya ndani ya mataifa mengine, Rais wa Marekani Donald Trump ameashiria kuwa siku za Rais Nicolas Maduro wa Venezuela kuweko madarakani zinakaribia ukingoni, huku mvutano kati ya nchi hizo mbili ukiwa unaongezeka sambamba na Washington kushamirisha kuwepo kwake kijeshi katika eneo la Carribean.
-
Mahakama ya ICC: Matukio ya El-Fasher yanaweza kuainishwa kama uhalifu wa kivita na uhalifu dhidi ya binadamu
Nov 03, 2025 22:53Ofisi ya Mwendesha Mashtaka wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) imetoa tamko juu ya wasiwasi mkubwa uliozuka kufuatia ripoti mpya kutoka El-Fasher, jimboni Darfur Kaskazini, nchini Sudan, zikielezea kufanyika mauaji ya halaiki, ubakaji, na uhalifu mwingine unaodaiwa kufanywa wakati wa mashambulizi ya Vikosi vya Usaidizi wa Haraka (RSF).
-
Kwa nini Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inasisitiza kulinda mafanikio ya sekta ya nyuklia?
Nov 03, 2025 22:52Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametembelea Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran (AEOI) na kushuhudia kwa karibu mafanikio ya karibuni ya wanasayansi wa sekta ya nyuklia katika nyanja za afya, tiba na utengenezaji dawa za radiopharmaceutical na kisha kuzungumza na maafisa wa ngazi ya juu wa sekta hiyo.
-
Kiongozi wa Mapinduzi: Mzozo uliopo kati ya Iran na Marekani ni wa dhati halisi na wa migongano ya maslahi
Nov 03, 2025 09:55Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amesema, mzozo uliopo kati ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Marekani ni wa "dhati halisi" na wala hautokani na kauli mbiu; na chimbuko lake liko kwenye mgongano wa kimsingi wa maslahi; na akaeleza bayana kwamba, suala la ushirikiano na Marekani linaweza kuja kufikiriwa siku za usoni na si sasa hivi wala katika muda wa karibu,
-
Mama Samia aapishwa kwa muhula mwingine wa urais
Nov 03, 2025 08:05Dkt. Samia Suluhu Hassan wa Tanzania ameapishwa leo Jumatatu kuiongoza nchi hiyo kwa muhula mpya wa miaka mitano. Rais Samia ameapishwa baada ya uchaguzi uliogubikwa na vurugu.
-
Baghaei: Utawala wa Israel ulikiuka usitishaji vita Gaza tangu mwanzo
Nov 03, 2025 06:42Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Iran ameashiria kuendelea jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel huko Gaza na kusisitiza kuwa: "Tangu maelewano ya amani yalipoanzishwa na kuanzishwa usitishaji vita huko Gaza, badala ya dhana ya "kusitisha mapigano," tunakabiliwa na ukweli wa "ukiukaji wa usitishaji vita."