-
Serikali ya Tanzania yasikitishwa na ripoti ya Amnesty International kuhusu madai ya kukandamiza haki za binadamu
Oct 26, 2025 00:39Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeeleza kusikitishwa kwake na chapisho la shirika la Amnesty International lenye kichwa cha habari 'Wimbi la Ugaidi' Laikumba Tanzania Kabla ya Kura ya 2025".
-
Je, maafa ya Ghuba ya Nguruwe yatakariri kwa Marekani kuhusiana na mvutano wa sasa na Venezuela?
Oct 25, 2025 22:52Huku uwezekano wa Marekani kuishambulia Venezuela ukiongezeka, kunajitokeza swali kwamba, je hadithi ya Ghuba ya Nguruwe (Bay of Pigs) itakaririwa kuhusiana na Venezuela?
-
Madagascar yamvua uraia aliyekuwa rais wa nchi hiyo Rajoelina
Oct 25, 2025 11:21Rais wa zamani wa Madagascar, Andry Rajoelina, amevuliwa uraia wake baada ya kuikimbia nchi hiyo mapema mwezi huu kufuatia maandamano makubwa yaliyoongozwa na vijana dhidi ya utawala wake.
-
Iran: Lazima kuwe na kikomo cha kutoadhibiwa Utawala wa Kizayuni
Oct 25, 2025 09:22Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kwamba hali ya kutoadhibiwa kwa utawala wa Kizayuni wa Israel, ambayo imepewa uhalali na wale wanaounga mkono utawala huo, inapaswa kukoma mara moja.
-
Rais wa Nigeria ateua makamanda wapya wa kijeshi baada ya njama ya mapinduzi
Oct 25, 2025 09:20Rais wa Nigeria, Bola Tinubu, ameteua makamanda wapya wa kijeshi Ijumaa katika mabadiliko makubwa, wiki chache baada ya maafisa 16 wa kijeshi kukamatwa kwa tuhuma za kupanga mapinduzi ya kijeshi, hatua iliyosababisha pia mamlaka kufuta sherehe za Siku ya Uhuru za nchi hiyo zilizopangwa kufanyika Oktoba 1.
-
Marekani yatuma meli kubwa zaidi ya kivita Amerika ya Kusini; Venezuela yatabiri hatari kubwa
Oct 25, 2025 09:18Marekani imeamua kutuma meli ya kivita ya kubeba ndege, USS Gerald R. Ford , ambayo ndiyo kubwa zaidi duniani, pamoja na meli zingine tano za kivita kwenda Amerika ya Kusini, hatua ambayo imekosolewa vikali na Venezuela ikiitaja kuwa ya kichokozi, hatarishi, na kinyume cha sheria za kimataifa.
-
Iran, Russia, China zamtumia barua mkuu wa IAEA kutangaza kumalizika kwa Azimio 2231 la UN
Oct 25, 2025 09:17Iran, China, na Russia zimemuandikia barua ya pamoja mkuu wa shirika la Umoja wa Mataifa la nishati ya nyuklia (IAEA), kuthibitisha kumalizika kwa Azimio la Baraza la Usalama la UN 2231 pamoja na taarifa za shirika kuhusu mpango wa nishati ya nyuklia wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Watu wa Ivory Coast washiriki katika uchaguzi wa urais huku kukiwa na mvutano wa kisiasa
Oct 25, 2025 09:16Wapiga kura nchini Ivory Coast wamejitokeza leo Jumamosi kushiriki katika uchaguzi wa urais, wakati mvutano wa kisiasa ukiendelea kutawala hali ya taifa.
-
Je, chuki dhidi ya Uislamu itazuia ushindi wa meya wa kwanza Muislamu wa New York?
Oct 25, 2025 09:15New York, mji unaojivunia kuwa na tamaduni mbalimbali umekumbwa na wimbi la propaganda chafu na chuki dhidi ya Uislamu katika siku za mwisho za kampeni za uchaguzi wa meya wa mji huo, yaani tarehe 4 Novemba 2025.
-
Waziri wa vita wa Israel akiri hawawezi kuharibu mahandaki ya Muqawama Ghaza
Oct 25, 2025 01:53Waziri wa vita wa utawala wa Kizayuni ametamka bayana kwamba utawala huo ambao umefanya jinai kubwa mno za kuchupa mipaka kwa muda wa miaka miwili kwenye Ukanda wa Ghaza, hauwezi kuangamiza mahandaki na njia ya chini ya ardhi za makundi ya Muqawama yakiongozwa na HAMAS.