-
Wanamgambo wenye mfungamano na RSF wauwa raia 27 Kordofan Kaskazini
May 30, 2026 03:19Mtandao wa Madaktari wa Sudan umeripoti kuwa wanamgambo wenye mfungamano na Kikosi cha wapiganaji wa RSF kimewaua takriban raia 27, wakiwemo wazee, katika mashambulizi dhidi ya vijiji kadhaa magharibi mwa Bara katika jimbo la Kordofan Kaskazini.
-
Imamu wa Swala ya Ijumaa Tehran: Marekani na Israel zimedhoofika baada ya Vita vya Ramadhani
May 29, 2026 13:08Katibu wa muda wa swala ya Ijumaa mjini Tehran amesema kuwa Marekani na Israel zinashuhudia “kudhoofika” katika eneo la Asia Magharibi. Amesisitiza kuwa vita vya siku 40 vya Ramadhani vilivyoanzishwa na tawala hizo mbili dhidi ya Iran vimedhihirisha kuwa Marekani imepoteza uwezo wa kudumisha ushawishi wake wa kisiasa katika Asia ya Magharibi.
-
Kwa nini makubaliano yoyote na Iran ni fedheha kwa Trump?
May 29, 2026 12:41Kadiri uwezekano wa kufikiwa makubaliano kati ya Marekani na Iran unavyoongezeka, waandishi wa habari na wachambuzi mashuhuri wa Marekani wanatoa maoni yao kwa uwazi zaidi kuhusu kushindwa Trump na Netanyahu kutimiza matakwa yao katika mashambulio ya kijeshi dhidi ya Iran.
-
'Sikukuu ya wanyonya damu imekwisha': Iran yasema hakuna ngao tena kwa kambi za Marekani
May 29, 2026 12:40Ulinzi wenye nguvu wa Iran umeonyesha kwamba "sikukuu ya wanyonya damu" imekwisha.
-
IRIB yalaani mauaji ya Israel dhidi ya mwandishi habari wa al-Alam kusini mwa Lebanon
May 29, 2026 12:39Mkuu wa Shirika la Utangazaji la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran (IRIB), Peyman Jebelli, na Kitengo cha Matangazo ya Ng'ambo cha IRIB wamelaani vikali mauaji ya Hesam Zidan, mwandishi wa habari wa zamani wa chaneli ya televisheni ya al-Alam ya Iran nchini Syria, ambaye ameuawa katika shambulio la Israel kusini mwa Lebanon.
-
UN yaanika uhalifu wa kutisha wa Israel... Ripoti ya Guterres kuhusu unyanyasaji wa kingono imefichua nini?
May 29, 2026 12:38Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres, Alkhamisi ya jana aliwasilisha ripoti yake ya kila mwaka kwa wajumbe wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuhusu ukatili wa kingono unaohusiana na migogoro, ambayo inarekodi ukiukwaji mkubwa na wa kutisha wa sheria uliofanywa na Israel dhidi ya Wapalestina.
-
Muungano wa Madaktari Kenya waipa serikali masaa 48, wapinga wagonjwa wa Ebola Marekani kutumwa Kenya
May 29, 2026 12:35Muungano wa Madaktari, Wafamasia na Madaktari wa Meno nchini Kenya (KMPDU) umepatia serikali muda wa saa 48 kueleza hadharani masharti kamili ya makubaliano yake na Marekani au ikabiliwe na mgomo wa kitaifa wa madaktari.
-
Iran yadungua ndege isiyo na rubani ya Marekani karibu na Bushehr
May 29, 2026 03:20Jeshi la Iran limedungua ndege isiyo na rubani ya Marekani iliyokiuka anga ya Jamhuri ya Kiislamu karibu na mji wa kusini wa Bushehr.
-
Iran yalaani ukiukaji wa Marekani wa makubaliano ya amani, yahimiza UN kuingilia kati
May 29, 2026 03:18Iran imelaani vikali vitisho vya mara kwa mara vya Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu na ukiukaji wa makubaliano ya kusitisha mapigano yaliyosimamisha vita haramu vya hivi karibun, ikiuhimiza Umoja wa Mataifa kuingilia kati.
-
CNN: Trump amezitishia au kuzishambulia nchi 15 akiwa madarakani
May 29, 2026 03:05Ripoti ya televisheni ya CNN imeeleza kuwa Rais Donald Trump wa Marekani amezitishia, ameeleza wazi uwezekano wa kufanya mashambulizi au amezishambulia nchi 15 katika mihula yake miwili ya uongozi; yaani kwa mahesabu ya haraka amefanya hivyo kwa nchi moja kati ya kila nchi 13 duniani.