-
Waholanzi 640 waliohudumu katika jeshi la Israel Gaza kushtakiwa?
Feb 19, 2026 23:56Zaidi ya raia 640 wa Uholanzi wamehudumu katika jeshi la Israel wakati wa vita vya mauaji ya halaiki vya utawala huo wa Kizayuni dhidi ya Gaza na kwneye mashambulizi dhidi ya Ukingo wa Magharibi, takwimu mpya zinaonyesha, huku wataalamu wa sheria wakionya kwamba, wale waliohusika wanaweza kushtakiwa chini ya sheria za kimataifa na za nchi hiyo za uhalifu wa kivita.
-
Kinachovifanya vyama vya Kiislamu vya Pakistan vipinge nchi hiyo kuwemo kwenye 'Bodi ya Amani' ya Trump
Feb 19, 2026 23:55Shinikizo la kisiasa la vyama vikuu vyenye mielekeo ya Kiislamu nchini Pakistan kwa serikali ya nchi hiyo la kuitaka ijiondoe katika kile kiitwacho 'Bodi ya Amani' ya Trump limeongezeka.
-
Mawaziri wa Iran na Saudi Arabia wajadili uhusiano wa pande mbili, mazungumzo ya nyuklia kati ya Iran na Marekani
Feb 19, 2026 08:43Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran na Saudi Arabia wamefanya mazungumzo na kujadili uhusiano wa pande mbili na mchakato wa mazungumzo ya nyuklia kati ya Iran na Marekani
-
Umoja wa Mataifa: Israel inaendeleza 'hatua za taratibu' kunyakua Ukingo wa Magharibi
Feb 19, 2026 08:40Afisa mmoja wa ngazi ya juu wa Umoja wa Mataifa ameonya kwamba, mipango ya utawala ghasibu wa Israel ya kuimarisha udhibiti wa sehemu za Ukingo wa Magharibi inakwenda sambamba na kutwaa eneo hilo kimabavu.
-
CPJ: Waandishi wa Habari wa Kipalestina wanateswa katika magereza ya Israel
Feb 19, 2026 08:39Kamati ya Kimataifa ya Kuwalinda Waandishi wa Habari (CPJ) imetangaza kuwa, waandishi habari wa Kipalestina waliofungwa katika magereza ya utawala ghasibu wa Israel kuanzia Oktoba 2023 hadi Januari 2026 wamepitia "unyanyasaji wa kimfumo."
-
Ripoti: Uwezekano wa kutokea mzozo wa kijeshi kati ya Misri na Israel kuhusu "Somaliland"
Feb 19, 2026 08:38Vyombo vya habari vya utawala wa kibaguzi wa Israel vimeelezea wasiwasi kwamba, matukio katika eneo la Pembe ya Afrika mpaka Februari mwaka huu (2026) yanaonyesha ongezeko kubwa la mvutano kati ya Misri na Israel.
-
Wakenya zaidi ya 1,000 wanashiriki katika vita vya Russia na Ukraine
Feb 19, 2026 08:26Zaidi ya Wakenya 1,000 wamekwenda kupigana upande wa jeshi la Russia nchini Ukraine. Ripoti ya kijasusi iliyowasilishwa katika bunge la Kenya, imesema kuwa, wengi wa raia hao walidanganywa ili kusaini mikataba ya kijeshi.
-
Uzandiki na undumakuwili wa wazi wa Marekani katika sera yake ya kurutubisha urani
Feb 19, 2026 07:16Waziri wa Nishati wa Marekani amesema, nchi hiyo itaanza tena kurutubisha madini ya urani
-
Russia yaonya shambulizi dhidi ya Iran linaweza kuwasha moto wa kikanda
Feb 19, 2026 04:16Balozi wa Russia mjini Tehran amezikosoa vikali Marekani na Israel kwa kufuata “sera za uharibifu,” akionya kuwa uchokozi wowote dhidi ya Iran unaweza kusababisha “athari zisizotabirika na zenye maangamizi makubwa” katika eneo la Asia Magharibi na kwingineko duniani.
-
Mjumbe wa UN: Mgawanyiko wa mahakama nchini Libya ni tishio kwa umoja wa taifa
Feb 19, 2026 04:15Mjumbe mkuu wa Umoja wa Mataifa nchini Libya ameonya Jumatano kuwa kuongezeka kwa mgawanyiko ndani ya mfumo wa mahakama wa nchi hiyo, pamoja na kuzorota kwa hali ya uchumi, kunatishia umoja wa kitaifa na kunaweza kuyumbisha uthabiti wa eneo zima.