-
Wapalestina Gaza waswali Tarawehe chini ya minara iliyoporomoka
Feb 19, 2026 04:14Jua lilipotua juu ya Gaza siku ya Jumanne, safu za waumini zilisimama kuswali, si ndani ya misikiti, bali juu ya magofu yake.
-
OCHA: Takribani raia 50 wameuawa katika mapigano mashariki mwa DRC
Feb 19, 2026 04:12Takribani raia 50 wameuawa wakati wa mapigano yaliyozuka mwezi Januari kati ya vikosi vinavyoiunga mkono serikali na waasi wenye silaha katika jimbo la Kivu Kaskazini, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC). Hayo ni kwa mujibu wa ripoti iliyotolewa Jumatano na Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kuratibu Masuala ya Kibinadamu (OCHA).
-
Njama za Israel zimeisukuma Iran kujitegemea katika sekta ya nyuklia
Feb 19, 2026 04:11Mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran amesema kuwa njama na vitendo vya uharibifu vilivyotekelezwa na utawala wa Israel dhidi ya mpango wa nishati ya nyuklia wa Jamhuri ya Kiislamu viliilazimisha Iran kuelekea kujitegemea kikamilifu katika sekta ya nyuklia. Alieleza kuwa mchakato huo ulikuwa ni jibu la moja kwa moja kwa shinikizo la muda mrefu na juhudi za makusudi za kuvuruga maendeleo ya nchi.
-
Mateso ya Ukoloni: Majaribio ya Nyuklia ya Ufaransa nchini Algeria, Uhalifu Ambao Hautasahaulika
Feb 18, 2026 23:54Wakati wa ukoloni wa Ufaransa nchini Algeria, moja ya sura nyeusi na ya uhalifu mkubwa zaidi ilikuwa majaribio ya nyuklia katika ardhi ya nchi hiyo na kwa watu wake.
-
Mufti wa Libya: Kuikomboa Palestina ni wajibu wa kidini
Feb 18, 2026 23:39Sheikh Sadiq al-Ghariani, Mufti wa Libya amesema kwamba kuikomboa Palestina na kuwasaidia wakazi wake ni wajibu wa kidini kwa Waislamu wote.
-
Nchi 24 zaonya kuhusu janga la watu nchini Sudan; UN yasema ina wasiwasi mkubwa
Feb 18, 2026 23:33Nchi 24 za Magharibi zimeelezea wasiwasi wao kuhusu mauaji yanayoendelea kufanywa dhidi ya raia, uharibifu wa miundombinu na mashambulizi dhidi ya taasisi za misaada ya kibinadamu nchini Sudan, zikitoa wito kwa jeshi la Sudan na wapiganaji wa kundi la waasi la Rapid Support Forces kusitisha mapigano.
-
Manuva ya kijeshi ya Iran na Russia kufanyika leo katika Bahari ya Oman
Feb 18, 2026 23:13Msemaji wa maneva ya kijeshi ya Iran na Russia, Admirali Hassan Maghsoudlou, amesema kuwa vikosi vya majini vya Iran na Russia leo Alkhamisi vitafanya mazoezi ya pamoja ya kijeshi.
-
Wazayuni wenye misimamo mikali wavamia msikiti wa al-Aqswa
Feb 18, 2026 23:11Walowezi wa Kizayuni wenye misimamo ya kufurutu ada wamevamia tena Msikiti mtakatifu wa Al-Aqswa na kufanya vitendo vya kichochezi dhidi ya kibla hicho cha kwanza cha Waislamu.
-
Familia ya aliyekuwa Rais wa Zambia yapuuza madai ya kuwekewa sumu Lungu
Feb 18, 2026 22:52Familia ya Rais wa zamani wa Zambia, Edgar Lungu, ambaye alifariki dunia nchini Afrika Kusini mwezi Juni mwaka jana na bado hajazikwa, imekanusha madai kwamba Lungu aliwekewa sumu.
-
Israel, tishio kwa amani na usalama wa eneo la Asia Magharibi
Feb 18, 2026 07:49Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesisitiza kuwa: Utawala wa Kizayuni wa Israel umefanya jinai kubwa zaidi kwa kupewa kinga kamili katika kipindi cha miongo minane iliyopita.