-
Wapinzani Uganda walalamikia kukandamizwa wakati huu wa kukaribia uchaguzi mkuu + Sauti
Jul 14, 2020 01:47Ikiwa imebakia miezi saba hadi kufanyika Uchaguzi Mkuu nchini Uganda, wanasiasa wa vyama mbalimbali nchini humo wanawalalamikia askari wa kulinda usalama kwa kuwakandamiza. Taarifa zaidi anayo mwandishi wetu Kigozi Ismail kutoka Kampala
-
Spika wa zamani wa Gabon aanzisha kampeni ya kupinga kuhalalishwa ngono za jinsia moja + Sauti
Jul 13, 2020 22:06Spika Mstaafu wa Bunge la Gabon ameanzisha kampeni za kupinga sheria iliyopasishwa bungeni hivi karibuni ya kuhalalisha vitendo haramu vya kulawitiana na ngono za watu wa jinsia moja nchni humo. Amesema kuwa vitendo hivyo ni kinyume na mila na desturi za watu wa Gabon. Maelezo zaidi anayo mwandishi wetu, Mossi Mwasi kutoka Brazzaville.
-
DRC inasherehekea miaka 60 ya uhuru hali ikiwa bado mbaya + Sauti
Jul 01, 2020 03:15Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo inasherehekea miaka 60 wa uhuru wake kutoka kwa mkonoloji wa Ulaya, Ubelgiji, huku hali ya amani na uchumi ikiwa bado ni mbaya sawa kabisa na ilivyokuwa muda mchache tu baada ya kujipatia uhuru huo. Mossi Mwassi na maelezo zaidi kutoka Brazzaville.
-
Baraza jipya la Mawaziri lala kiapo nchini Burundi + Sauti
Jul 01, 2020 03:12Baraza jipya la mawaziri wa serikali ya Burundi lilikula kiapo jana Jumanne mbele ya rais na mabaraza ya bunge na seneti. Chama kikuu cha upinzani cha CNL hakijashirikishwa katika serikali hiyo. Hamida Issa na malezo zaidi kutoka Bujumbura na maelezo zaidi.
-
Polisi Uganda inakabiliwa na kibarua kutoka kwa kundi la majambazi+SAUTI
Jun 29, 2020 13:54Polisi nchini Uganda inakabiliwa na kibarua kutoka kwa kundi la majambazi
-
Matukio ya Kiislamu Juma Hili + Sauti
Jun 26, 2020 23:54Matukio ya Kiislamu Juma Hili katika kanda ya Afrika Mashariki
-
Wazayuni wafanya ufisadi mkubwa nchini Cameroon + Sauti
Jun 26, 2020 12:19Rais Paul Biya wa Cameruni ameganda madararakani miaka nenda miaka rudi kwa msaada wa mamluki wa Kiyahudi ambao sasa wanalaumiwa kwa kuua watu wengi na pia kwa kupora mali ya uma nchini humo. Hayo ni matokeo ya uchunguzi wa waandishi wa habari wawili chini ya taasisi ya kupiga vita rushwa nchini humo. Mosi Mwasi na maelezo zaidi kutoka Brazaville
-
Bunge la Gabon lapitisha sheria inayowapa kinga ya kutoadhibiwa watu wa jinsia moja wanapofumaniwa wakifanya ngono +Sauti
Jun 25, 2020 12:31Bunge la Gabon lilikutana mwishoni mwa juma hili kupitisha sheria inayowapa kinga ya kutoadhibiwa watu wa jinsia moja wanapofumaniwa wakifanya kitendo cha ngono.
-
Uganda yaanza zoezi la kuwarejesha nyumbani wananchi waliokwamishwa na corona + Sauti
Jun 24, 2020 11:04Serikali ya Uganda imeanza kutekeleza zoezi la kuwarejesha nyumbani wananchi wa nchi hiyo waliokwama katika nchi za ndani na nje ya Afrika kutokana na kuenea ugonjwa wa COVID-19. Serikali ya Uganda imepanga kuwaweka kwenye karantini watu wote wanaorejea nchini humo. Kigozi Ismail na maelezo zaidi kutoka Kampala
-
Serikali ya Burundi yatoa tamko rasmi la kufariki dunia rais wa nchi hiyo + Sauti
Jun 10, 2020 11:37Serikali ya Burundi imetangaza rasmi kifo cha rais wa nchi hiyo Pierre Nkurunziza ambaye ameiongoza Burundi kwa muda wa miaka 15. Serikali ya Bujumbura imetangaza siku 7 za maombolezo ya kitaifa na bendera ya nchi hiyo itapepea nusu mlingoti.