-
Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu aonya kuhusu kushadidi kwa vita vya Gaza
Mar 05, 2024 02:39Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa ametahadharisha kuhusu kushadidi vita vya utawala wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina wanaoishi katika Ukanda wa Gaza.
-
Kuchaguliwa Kamishna Mkuu mpya wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa
Sep 11, 2022 02:25Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa limepasisha kuteuliwa bwana Volker Turk mwanadiplomasia wa Austria mwenye uzoefu wa muda mrefu ndani ya Umoja wa Mataifa kuchukua nafasi iliyokuwa ikishikiliwa na mtangulizi wake Michelle Bachelet ya Kamishna Mkuu wa umoja huo.
-
Bachelet kutowania tena Ukamishna wa Haki za Binadamu wa UN
Jun 14, 2022 07:47Michelle Bachelet, Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa ametangaza kuwa hatagombea tena wadhifa huo kwa muhula wa pili.
-
UN yataka kung’olewa mizizi ya ubaguzi wa kimfumo duniani
Jun 30, 2021 02:23Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa, Michelle Bachelet Jumatatu wiki hii alitoa wito wa kung'olewa mizizi ya ubaguzi wa kimbari unaofanyika kimfumo dhidi ya watu weusi kote duniani ili dunia isishuhudie tena matukio ya kusikitisha kama lile la muaji ya raia mweusi wa Mrekani, George Floyd.
-
Ripoti ya Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa UN kuhusu jinai za Israel katika vita vya Gaza
May 29, 2021 03:02Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa Alkhamisi wiki hii alitoa ripoti yake kuhusu vita vya siku 12 vya Israel na mashambulizi ya kikatili ya utawala huo dhidi ya watu wa Ukanda wa Gaza huko Palestina.
-
Michelle Bachelet: Saudia ikomeshe ukatili na ukiukaji wa haki za binadamu
Feb 27, 2021 02:50Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa ameeleza masikitiko yake kutokana na ukandamizaji unaofanywa na serikali ya Saudi Arabia dhidi ya raia wa nchi hiyo.
-
Umoja wa Mataifa wakosoa ukandamizaji unaofanywa dhidi ya waandamanaji nchini Marekani
Jul 26, 2020 02:40Maandamano makubwa na yasiyo na mfano wake ambayo yamekuwa yakifanyika nchini Marekani tokea kuuawa kinyama kwa Mmarekani mweusi George Floyd katika mji wa Minnesota katika jimbo la Minneapolis tarehe 25 Mei, yangali yanaendelea licha ya ukandamizaji mkubwa unaofanywa na serikali ya Trump dhidi ya waandamanaji.
-
Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu aitaka Israel iache kupora ardhi za Palestina
Jun 29, 2020 14:25Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa amesema kuwa, mpango wa Israel wa kupora ardhi zaidi za Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na kuziunganisha na ardhi nyingine za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu ni kinyume kabisa na sheria.
-
Malalamiko ya UN dhidi ya ubaguzi wa rangi wa kitaasisi nchini Marekani
Jun 05, 2020 05:57Ubaguzi wa rangi na kizazi na ukandamizaji uliochupa mipaka dhidi ya watu wasio wazungu hasa wenye asili ya Afrika huko Marekani una historia ndefu na ulianza tangu ilipoasisiwa nchi hiyo karne tatu zilizopita. Ubaguzi huo daima umekuwa ni sifa inayochukiza ya jamii ya Marekani. Licha ya Wamarekani wenye asili ya Afrika kuendesha mapambano makali ya kupigania haki zao, lakini hadi leo hii wanaendelea kuwa wahanga wa ubaguzi, ukatili na ukandamizaji usio na kifani.
-
Ombi la Umoja wa Mataifa kuhusu kuondolewa vikwazo dhidi ya Iran
May 17, 2020 06:47Baada ya serikali ya Rais Donald Trump kujiondoa katika mapatano ya nyuklia ya Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA) mwaka 2018 katika fremu ya sera za mashinikizo ya juu kabisa na kisha kushadidisha vikwazo ambavyo havijawahi kushuhudiwa katika historia dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na licha ya kuibuka ugonjwa wa COVID-19 nchini Iran, lakini bado Trump anasisitiza kuendeleza vikwazo vyake vilivyo dhidi ya ubinadamu dhidi ya taifa hili.