-
Mwendesha Mashtaka Mkuu wa mahakama ya ICC ataka kutolewa hati ya kukamatwa Netanyahu na Waziri wa Vita wa Israel
Aug 24, 2024 23:12Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) ametoa wito wa kutolewa hati cha kukamatwa Waziri Mkuu na Waziri wa Vita wa utawala wa Kizayuni wa Israel kwa tuhuma za kutenda jinai za kivita.
-
75% ya Waisrael wanaamini Netanyahu ameshindwa kukabiliana na Hizbullah
Aug 24, 2024 07:38Matokeo ya uchunguzi wa maoni uliofanywa na taasisi ya habari ya Mako ndani ya jamii ya Wazayuni yanaonyesha kuwa asilimia 75 ya Waisraeli hawaridhishwi na namna serikali ya waziri mkuu wa utawala huo Benjamin Netanyahu inavyoshughulikia hali ya usalama kwenye mpaka wa kaskazini, ambako kila siku kunaandamwa na mashambulio makali ya Harakati ya Muqawama wa Kiisilamu ya Hizbullah ya Lebanon tangu Israel ilipoanzisha vita dhidi ya Ukanda wa Ghaza Oktoba 7, 2023.
-
Aliyekuwa mateka wa HAMAS 'avisuta' vyombo vya habari vya Israel: Sikupigwa wala kukatwa nywele Ghaza
Aug 24, 2024 06:08Noa Argamani, mwanamke wa Kiisraeli aliyeachiliwa hivi karibuni baada ya kushikiliwa mateka katika Ukanda wa Ghaza tangu Oktoba 7, 2023 amekadhibisha taarifa za upotoshaji zilizotolewa na vyombo vya habari vya Israel na kusisitiza kuwa hakupigwa wala hakukatwa nywele alipokuwa anashikiliwa na Wanamuqawama wa Palestina.
-
UN: Mauaji ya kimbari ya Israel yamepelekea asilimia 90 ya wakazi wa Gaza kuhama
Aug 24, 2024 03:21Jeshi la Israel limewalazimisha Wapalestina 250,000 waliokimbia makazi yao kuhama tena na kuondoka katika maeneo waliokimbilia mwezi huu. Hayo ni kwa mujibu wa ripoti ya Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kuratibu Masuala ya Kibinadamu.
-
Jinai za Israel zasababisha kesi ya kwanza ya polio Gaza baada ya miaka 25
Aug 24, 2024 03:03Utawala katili wa Israel unaendeleza vita vya mauaji ya kimbari dhidi ya Gaza ambapo pia umezuia ufikishaji, usambazaji na utoaji wa chanjo dhidi ya polio katika eneo hilo jambo ambalo limepelekea kuibuka kwa ugonjwa wa kupooza wa poli katika eneo hilo la Wapalestina.
-
Hizbullah yakitwanga makombora kituo cha anga cha Israel, yateketeza mitambo ya ujasusi
Aug 23, 2024 23:05Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon imekishambulia kwa makombora kadhaa kituo cha uongozaji wa shughuli za anga cha Meron cha utawala wa Kizayuni wa Israel na kubomoa mitambo ya ujasusi ya kituo hicho.
-
Askari 695 wa Israel wameangamizwa, 4,357 wamejeruhiwa tangu vilipoanza vita vya Ghaza
Aug 23, 2024 23:04Msemaji wa jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel ametangaza kuwa askari 695 wa utawala huo wameangamizwa tangu jeshi la utawala huo katili lilipoanzisha vita dhidi ya wakazi wa Ukanda wa Ghaza na kupambana na vikosi vya Muqawama wa Palestina.
-
Jeshi la Yemen lashambulia meli zenye uhusiano na Israel katika Bahari Nyekundu, Ghuba ya Aden
Aug 23, 2024 06:50Msemaji wa Jeshi la Yemen anasema vikosi vya wanamaji vya nchi hiyo vimefanya mashambulizi tofauti dhidi ya meli mbili zenye uhusiano na utawala haramu Israel kama sehemu ya kampeni ya baharini ya kuwaunga mkono Wapalestina katika Ukanda wa Gaza.
-
Yemen: Israel inaendeleza uhalifu wa karne huko Ghaza kwa kushirikiana na nchi za Magharibi
Aug 23, 2024 03:04Kiongozi wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema kuwa Marekani na nchi za Magharibi zinashirikiana kikamilifu na utawala wa Kizayuni katika jinai zake za karne na mauaji ya kimbari dhidi ya watu wa Ghaza.
-
Jenerali mstaafu: Utawala wa Kizayuni wa Israel utasambaratika katika kipindi cha chini ya mwaka mmoja
Aug 22, 2024 23:26Jenerali mmoja mstaafu wa jeshi la Kizayuni aametabiri kwamba iwapo vita baina ya Israel na muqawama vitaendelea, basi utawala huo utasambaratika katika kipindi cha chini ya mwaka mmoja.