-
Amnesty International: Utawala wa Bahrain ungali unakandamiza uhuru wa kujieleza
Apr 01, 2023 05:49Shirika la Msamaha Duniani la Amnesty International limetangaza kuwa, utawala wa kifalme wa Bahrain umeendelea kukandamiza uhuru wa kujieleza na kuendelea kuwashikilia wafungwa raia wanaoukosoa utawala huo.
-
Damascus: Tuko tayari kukabiliana na mashambulizi ya magaidi wa Israel
Mar 31, 2023 23:26Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Syria imeyataja mashambulizi yaliyofanywa na ndege za kivita za utawala wa Kizayuni wa Israel katika ardhi ya nchi hiyo kuwa ni ya kigaidi na kusisitiza kuwa, Damascus iko tayari kukabiliana na jinai hizo za kifashisti.
-
Kiongozi wa Ansarullah: Waislamu wayawekee vikwazo vya kiuchumi mataifa yanayoivunjia heshima Qur'ani
Mar 31, 2023 08:07Kiongozi wa harakati ya wananchi ya Ansarullah ya Yemen amesema kuwa, watu wanaoongoza jinai ya kuvunjia heshima matukufu ya Kiislamu na kulikariri hilo ni lobi za Wazayuni.
-
Arab League: Jamii ya Kimataifa ikomeshe ukaliaji ardhi kwa mabavu unaofanywa na Israel
Mar 31, 2023 04:13Jumuiya ya Nchi za Kiarabu imeitaka Jamii ya kimataifa ichukue hatua za dhati kukomesha ukaliaji ardhi kwa mabavu unaofanywa na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel.
-
Ansarullah yalaani kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu
Mar 30, 2023 22:41Harakati ya Ansarullah ya Yemen imelaani vitendo vya kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu nchini Denmark na katika nchi nyingine za Ulaya.
-
Waziri wa Ulinzi wa Yemeni: Muungano vamizi utajuta iwapo utaendeleza vita
Mar 30, 2023 08:37Waziri wa Ulinzi wa Serikali ya Uokoaji wa Kitaifa ya Yemen ameuonya muungano wa Waarabu unaoongozwa na Saudi Arabia kwamba utajuta iwapo hautasikiliza mapendekezo ya Katibu Mkuu wa harakati ya Ansarullah kuhusu suala la kusimamisha mashambulizi dhidi ya watu wa Yemen.
-
OIC na Jumuiya ya Maulamaa wa Kiislamu zalaani kuvunjiwa heshima msikiti wa al-Aqswa
Mar 30, 2023 04:13Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) na Jumuiya ya Kimataifa ya Maulamaa wa Kiislamu zimelaani vikali hujuma za walowezi wa Kizayuni dhidi ya msikiti mtakatifu wa al-Aqswa huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu.
-
Jihadul-Islami yatoa wito Wapalestina wote wazatitiwe kwa silaha kujibu mapigo kwa wazayuni
Mar 29, 2023 03:40Harakati ya Jihadul-Islami ya Palestina imewasilisha kwa wawakilishi wa makundi mengine ya mapambano ya Palestina mpango wa kuwapa silaha Wapalestina wote ili kukabiliana na mpango wa Itamar Ben Guer, waziri wa usalama wa ndani wa utawala haramu wa Israel kuhusu kuwapatia silaha walowezi wa Kizayuni.
-
FAO: Mamilioni ya watu Afghanistan wako katika hatari ya njaa
Mar 28, 2023 22:41Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO) limeonya kuhusu hatari ya njaa kwa mamilioni ya watu nchini Afghanistan.
-
Waandamanaji Israel waapa, maandamano yataendelea hadi ‘mageuzi ya mahakama’ yatakapofutiliwa mbali
Mar 28, 2023 22:40Kiongozi wa waandamanaji dhidi ya serikali ya utawala haramu wa Israel ameapa kuwa maandamano yataendelea katika maeneo yote yanayokaliwa kwa mabavu licha ya waziri mkuu wa utawala huo, Benjamin Netanyahu, kutangaza kuwa mpango tata wa marekebisho ya mahakama ya utawala huo umeakhirishwa hadi mwezi ujao.