-
Waandamanaji Israel waapa, maandamano yataendelea hadi ‘mageuzi ya mahakama’ yatakapofutiliwa mbali
Mar 28, 2023 22:40Kiongozi wa waandamanaji dhidi ya serikali ya utawala haramu wa Israel ameapa kuwa maandamano yataendelea katika maeneo yote yanayokaliwa kwa mabavu licha ya waziri mkuu wa utawala huo, Benjamin Netanyahu, kutangaza kuwa mpango tata wa marekebisho ya mahakama ya utawala huo umeakhirishwa hadi mwezi ujao.
-
Taliban: Waafghani ndio walengwa wakuu wa mashambulio ya DAESH (ISIS)
Mar 28, 2023 08:12Naibu Waziri Mkuu wa serikali ya mpito ya Taliban anayehusika na masuala ya kisiasa amesema, wananchi wa Afghanistan ndio walengwa wakuu wa hujuma na mashambulio ya kundi la kigaidi la DAESH (ISIS).
-
Hizbullah: Ni kupoteza muda tu kuweka matarajio ya kumchagua rais kwa msaada kutoka nje
Mar 28, 2023 07:59Mjumbe wa baraza kuu la Hizbullah ya Lebanon amesema, kuweka matarajio ya kumchagua rais kwa msaada kutoka nje ni kupoteza muda tu katika wakati mgumu ilioko nchi hiyo hivi sasa.
-
HAMAS: Israel kuwafukuza waumini katika msikiti wa Al Aqsa ni sawa na kuanzisha vita vya kidini
Mar 28, 2023 07:54Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imelaani kuondolewa kwa nguvu waumini wa Kiislamu katika eneo la Msikiti wa al-Aqsa katika mwezi mtukufu wa Ramadhani, ikisema kuwa hatua hiyo ni sawa na kutangaza vita vya kidini dhidi ya Wapalestina na ni jaribio la kubadilisha utambulisho wa Kiislamu wa eneo hilo takatifu.
-
Bin Salman aishukuru China kwa juhudi ilizofanya kufanikisha mapatano kati ya Saudia na Iran
Mar 28, 2023 06:13Mrithi wa ufalme wa Saudi Arabia Mohammad bin Salman ameshukuru na kupongeza juhudi zilizofanywa na China katika kufanikisha makubaliano yaliyofikiwa kati ya Saudia na Iran na kustawishwa uhusiano wa ujirani wa Riyadh.
-
Netanyahu alegeza kamba baada ya maji kumfika shingoni
Mar 28, 2023 03:59Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel, Benjamin Netanyahu amelazimika kuakhirisha utekelezaji wa mpango wake wa kile kinachoitwa 'mageuzi ya mahakama' kufuatia maandamano ya Wazayuni dhidi ya mpango huo kwa wiki 12 mfululizo.
-
Imarati yalaani mpango wa Israel wa ujenzi wa vitongoji vipya vya walowezi wa Kizayuni
Mar 27, 2023 22:42Wizara ya Mashauri ya Kigeni na Ushirikiano wa Kimataifa ya Imarati imelaani uamuzi wa utawala haramu wa Israel wa kutaka kujenga vitongoji vipya vya walowezi wa Kizayuni katika maeneo unayoyakalia kwa mabavu ya Ukingo wa magharibi wa Mto Jordan huko Palestina.
-
Askari wa Kizayuni wavamia al-Aqsa na kuwafukuza Waislamu
Mar 27, 2023 08:01Waumini wa Kiislamu wametimuliwa katika Msikiti wa al-Aqsa baada ya Wazayuni wenye misimamo mikali wakiwa wameandamana na askari wa utawala haramu wa Israel kulivamia eneo hilo tukufu la Waislamu.
-
Rais wa Israel ataka kusitikishwa haraka mageuzi ya mahakama ya Netanyahu
Mar 27, 2023 07:56Rais Isaac Herzog wa Israel amemtaka Waziri Mkuu wa utawala huo wa Kizayuni, Benjamin Netanyahu kuachana na mpango wake wa kile kinachoitwa 'mageuzi wa mahakama'.
-
Miaka 8 ya vita Yemen; Muqawama wazidi kuimarika na kushikamana
Mar 27, 2023 04:14Wananchi wa Yemen jana walifanya maandamano makubwa katika mji mkuu wa nchi hiyo Sana'a na katika miji mingine ya nchi hiyo kwa mnasaba wa kutimia mwaka wa nane wa mapambano ya wananchi wa Yemen mkabala wa vita na mzingiro uliowekwa dhidi ya nchi hiyo na muungano vamizi wa Saudia.