-
Makundi ya Wapalestina: Hatutaki uwepo wa majeshi ya kigeni Ukanda wa Gaza
Nov 16, 2025 23:36Makundi na harakati za Palestina zimetangaza kuwa zinapinga uwepo wowote wa kijeshi wa kigeni au kambi za kimataifa ndani ya Ukanda wa Gaza, zikisisitiza kwamba suala hilo linawakilisha ukiukwaji wa moja kwa moja mamlaka ya kujitawala ya Wapalestina.
-
Safari inayotia shaka ya ndege kutoka Ghaza, ni mwanzo wa awamu mpya ya kuwahamisha kwa nguvu Wapalestina?
Nov 16, 2025 22:53Zaidi ya Wapalestina 150 wakazi wa Ukanda wa Ghaza wamehamishwa kwa ndege kutoka eneo hilo la Palestina na kupelekwa Afrika Kusini kwa namna inayotia shaka, huku mamlaka za Afrika Kusini zikieleza kwamba hazikuwa zikijua chochote na kwamba uchunguzi juu ya suala hilo ungali unaendelea.
-
Rais wa Venezuela: Uadilifu ni sharti la kupatikana amani ya kweli Gaza
Nov 16, 2025 03:38Rais wa Venezuela amesisitiza uungaji mkono kamili kwa haki za watu wa Palestina na haja ya kutekelezwa haki dhidi ya jinai na vitendo vya mauaji ya kimbari.
-
Walimwengu walaani Wazayuni kuchoma moto msikiti katika Ukingo wa Magharibi
Nov 16, 2025 03:36Hatua ya kundi la walowezi wa Kizayuni wenye misimamo ya kufurutu ada ya kuchoma msikiti wa Hajja Hamida katika Ukingo wa Magharibi huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu imelaaniwa katika kila kona ya dunia.
-
Hamas yatahadharisha kushadidi janga la kibinadamu Ukanda wa Gaza
Nov 16, 2025 03:35Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imeonya kuhusiana na kushadidi janga la kibinadamu katika Ukanda wa Gaza.
-
Jihadul-Islami: Muqawama hautaitambua Israel, hakutakuwa na suluhu bila Palestina kupata haki zake
Nov 15, 2025 22:59Mwakilishi wa harakati ya Jihadul-Islami ya Palestina hapa mjini Tehran amesema: "sisi katika mavuguvugu ya Muqawama wa Kiislamu hatutambui uwepo wa utawala wa Kizayuni na hatulazimiki kuutambua, hasa kwa vile utawala huu hautambui hata uwepo wa watu wa Palestina."
-
WHO: Wapalestina 900 wameaga dunia Gaza kutokana na kuchelewa kupata huduma za matibabu
Nov 15, 2025 08:56Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza kuwa, kushindwa kupata vibali vya kuondoka mara moja kwa wagonjwa kutoka Gaza kumesababisha vifo vya wagonjwa 900 hadi sasa.
-
HAMAS: Kwa msaada wa Iran, Muqawama una nguvu zaidi hivi sasa katika kukabiliana na adui Mzayuni
Nov 15, 2025 01:52Mmoja wa makamanda wa Harakati ya Muqawama wa Ghaza amesema kuwa: Maadui walitaka kusambaratisha Muqawama kupitia vikwazo na mashinikizo, lakini kwa msaada wa Iran, Muqawama una nguvu zaidi hivi sasa za kupambana na adui Mzayuni kuliko hata ilivyokuwa huko nyuma.
-
Lieberman: Israel si lolote si chochote bila ya msaada wa Marekani
Nov 14, 2025 23:04Waziri wa zamani wa fedha wa utawala wa Kizayuni amekiri kwamba hivi sasa Israel inapitia kipindi kibaya mno cha kiuchumi na kusisitiza kwamba inabidi waishukuru Marekani kwa msaada wake kwani bila ya msaada huo, Israel si lolote si chochote, bali itaangamia.
-
Maiti zingine 51 za Wapalestina waliouliwa shahidi na jeshi la kizayuni zagunduliwa Ghaza
Nov 14, 2025 04:13Timu za uokoaji za Palestina katika Ukanda wa Ghaza zimegundua na kufukua maiti zingine 51 za Wapalestina waliouliwa shahidi na jeshi la utawala wa kizayuni wa Israel.