-
Nguvu za kijeshi za Hizbullah ya Lebanon zimeongezeka kila upande, imejiandaa vilivyo kupambana na Wazayuni
Jun 20, 2022 22:12Nguvu za Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon zimeongezeka kila upande, angani, ardhini na majini na imejiandaa kikamilifu kupambana na Wazayuni.
-
Makamanda wa Israel: Stratijia ya Israel ya kukabiliana na Hizbullah, Hamas imefeli
Jun 20, 2022 03:07Makamanda wawili wa ngazi za juu wa utawala wa Kizayuni wa Israel wanasema harakati za Hizbullah ya Lebanon na Hamas ya Palestina zinazidi kuimarika na kupata nguvu kiasi kwamba startijia za Israel za kukabiliana na harakati hizo mbili za Kiislamu zinafeli.
-
Nchi 8 za Afrika miongoni mwa 39 duniani zilizoripoti Monkeypox
Jun 19, 2022 23:51Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema nchi 8 za Afrika ni miongoni mwa nchi 39 duniani zilizoripoti kesi zilizothibitishwa za ugonjwa wa Monkeypox.
-
Mamluki wa Imarati wanabaka wasichana wa Yemen Hudaydah
Jun 19, 2022 23:50Kitendo cha mamluki wa Umoja wa Falme za Kiarabu kuwabaka wasichana sita katika mkoa wa al-Hudaydah, magharibi mwa Yemen kimeibua ghadhabu na kulalamikiwa vikali katika pembe mbalimbali za nchi hiyo maskini ya Kiarabu.
-
Ismail Haniyeh: Damu ya mashahidi wa Jenin haitapotea bure
Jun 19, 2022 06:35Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amesema kwamba damu za mashahidi waliouawa na utawala haramu wa Israel katika eneo la Jenin hazitapotea bure. Ismail Haniyeh ameyasema hayo akizungumzia jinai ya Wazayuni ya kuwaua shahidi vijana watatu wa Kipalestina huko Jenin
-
Israel haiwezi kukana kuwa ndiye nduli wa Sabra na Shatila
Jun 19, 2022 02:24Gazeti la Kizayuni la Yedioth Ahronoth limechapisha ripoti maalumu inayothibitisha kuwa utawala wa Kizayuni wa Israel ndiye nduli wa mauaji ya umati ya Wapalestina katika kambi za wakimbizi za Sabra na Shatila za nchini Lebanon.
-
"Mifumo ya anga ya US haiwezi kutungua makombora, droni za Yemen"
Jun 18, 2022 07:54Waziri wa Ulinzi wa Yemen amesema mifumo ya ulinzi wa anga ya Marekani haina uwezo wa kuzuia au kutungua makombora ya balestiki na ndege zisizo na rubani za vikosi vya jeshi la nchi hiyo ya Kiarabu.
-
Iraq yatakiwa kuchunguza wizi wa mafuta yanayopelekwa Israel
Jun 18, 2022 06:58Serikali ya Iraq imetakiwa ifanye uchunguzi wa kina kuhusu wizi wa mafuta ya nchi hiyo katika eneo lenye mamlaka ya ndani la Kurdistan, kaskazini mwa nchi na kupelekwa katika ardhi za Wapalestina zinazokaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel.
-
Jitihada za mrithi wa kiti cha ufalme wa Saudi Arabia za kujiondoa katika hali ya kutengwa kisiasa kimataifa
Jun 18, 2022 05:27Muhammad bin Salman, mrithi wa kiti cha ufalme wa Saudi Arabia anafanya jitihada kupitia safari na mazungumzo ya kidplomasia ili kujikwamua katika hali ya kutengwa kisiasa kwa muda mrefu.
-
Iraq: Baada ya uchunguzi kukamilika tutatoa jibu kwa mashambulio ya Uturuki
Jun 17, 2022 22:30Wizara ya mambo ya nje ya Iraq imelaani shambulio la kijeshi la Uturuki katika eneo la Sinjar na kusisitiza kuwa baada ya kukamilisha uchunguzi, itachukua hatua zinazolazimu dhidi ya Ankara.