Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Shahid Qassem Soleimani

  • Russia: Kuna wajibu kwa jamii ya kimataifa kuungana kukabiliana na jinai za Marekani

    Russia: Kuna wajibu kwa jamii ya kimataifa kuungana kukabiliana na jinai za Marekani

    Nov 03, 2022 06:57

    Naibu wa Mkuu wa Timu ya Russia katika Kamati ya Kwanza ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa amesema, Marekani lazima ibebe lawama za jinai zake duniani na ameitaka jamii ya kimataifa kuungana kukabiliana na jinai hizo za Washington.

  • Ukosoaji mkali wa Putin kwa mauaji ya kigaidi ya shahidi Luteni Jenerali Soleimani

    Ukosoaji mkali wa Putin kwa mauaji ya kigaidi ya shahidi Luteni Jenerali Soleimani

    Oct 29, 2022 11:15

    Akizungumza juzi Alhamisi katika Kongamano la Valdai, Rais Vladmir Putin wa Russia amekosoa mfumo na siasa za Magharibi na kueleza kuwa nchi za Magharibi zilimuua Luteni Jenerali Soleimani; katika hali ambayo shakhsia huyo alikuwa kiongozi rasmi nchini mwake na kuongeza kwamba Wamagharibi si tu hawajakana jambo hilo bali wanajifakharisha nalo.

  • Mashambulizi dhidi ya askari wa US yameongezeka kwa 400% tangu auawe Soleimani

    Mashambulizi dhidi ya askari wa US yameongezeka kwa 400% tangu auawe Soleimani

    Apr 02, 2022 02:35

    Washington imekiri kuwa, tangu Luteni Jenerali Qasem Soleimani, aliyekuwa Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) auawe kigaidi nchini Iraq, mashambulizi dhidi ya askari wa Marekani yameongezeka kwa asilimia 400.

  • Makubaliano ya Vienna hayataifanya Iran iache kufuatilia faili la mauaji ya Soleimani

    Makubaliano ya Vienna hayataifanya Iran iache kufuatilia faili la mauaji ya Soleimani

    Mar 20, 2022 07:43

    Katibu wa Baraza la Haki za Binadamu la Idara ya Mahakama ya Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu haitaacha kuwafuatilia wahusika wa mauaji ya kigaidi ya Luteni Jenerali Qasem Soleimani, aliyekuwa Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC), kwa sababu ya makubaliano ya mazungumzo ya Vienna.

  • Associated Press: Marekani inatumia dola milioni mbili kwa mwezi kuwalinda wapangaji wa mauaji ya Qassem Soleimani

    Associated Press: Marekani inatumia dola milioni mbili kwa mwezi kuwalinda wapangaji wa mauaji ya Qassem Soleimani

    Mar 14, 2022 02:57

    Kwa mujibu wa tangazo la Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani, dola milioni 2 hutumika kwa mwezi kutoka kwenye mifuko ya walipakodi nchini Marekani kuwalinda wanasiasa wawili wa Republican wenye msimamo mkali wa utawala wa Donald Trump na wahusika wa mauaji ya Kamanda Qassem Soleimani.

  • Brigedia Jenerali Shekarchi: Marekani ni mfadhili mkuu wa ugaidi, chanzo cha ukosefu wa usalama duniani kote

    Brigedia Jenerali Shekarchi: Marekani ni mfadhili mkuu wa ugaidi, chanzo cha ukosefu wa usalama duniani kote

    Jan 11, 2022 14:16

    Msemaji wa Jeshi la Iran ameitaja Marekani kuwa nchi inayoongoza kwa kufadhili ugaidi duniani na kusema Washington ndiyo chanzo cha ukosefu wa usalama kote duniani.

  • Instagram yafuta jumbe zinazozungumzia Jenerali Soleimani

    Instagram yafuta jumbe zinazozungumzia Jenerali Soleimani

    Jan 08, 2022 12:32

    Wananchi wa Iran wameanzisha kampeni ya kulalamikia hatua ya mtandao wa kijamii wa Instagram ya kuendelea kufuta jumbe zinazohusiana na Luteni Jenerali Qasem Soleimani, aliyekuwa Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu.

  • Ayatullah Seddiqi: Wanafunzi wa Shahidi Soleimani watang'oa mizizi ya ubeberu Asia Magharibi.

    Ayatullah Seddiqi: Wanafunzi wa Shahidi Soleimani watang'oa mizizi ya ubeberu Asia Magharibi.

    Jan 07, 2022 13:19

    Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya Tehran amesema kuwa: Kambi iliyoasisiwa na shujaa Shahidi Qasem Soleimani katika vita vikali dhidi ya batili itawaangamiza kabisa Wamarekani na mamluki wao katika eneo hili la Magharibi mwa Asia.

  • Rais wa Iraq: Jen. Soleimani alikimbilia kutusaidia katika wakati nyeti

    Rais wa Iraq: Jen. Soleimani alikimbilia kutusaidia katika wakati nyeti

    Jan 06, 2022 02:52

    Rais wa Iraq amesema Luteni Jenerali Qasem Soleimani, aliyekuwa Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC), aliitikia mwito wa taifa la Iraq na kwenda haraka kushirikiana na wananchi wa nchi hiyo ya Kiarabu katika wakati hasasi wa kukabiliana na kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS).

  • Brigedia Jenerali Qaani: Wauaji wa Kamanda Soleimani hawatakuwa salama

    Brigedia Jenerali Qaani: Wauaji wa Kamanda Soleimani hawatakuwa salama

    Jan 05, 2022 07:45

    Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema: Wauaji wa Luteni Jenerali Qasem Soleimani walidhani kuwa wameshinda kwa kumuua, lakini hawakujua kwamba hawatakuwa salama.

Onesha Zaidi
Habari Kuu
  • Rais Pezeshkian: Israel ilijaribu kuniua, siogopi kifo

    Rais Pezeshkian: Israel ilijaribu kuniua, siogopi kifo

    41 minutes ago
  • Araghchi:Uvamizi wa Marekani na Israel dhidi ya Iran ni ukiukaji wa sheria za kimataifa

  • Maprofesa Marekani wafungua kesi dhidi ya kukamatwa wanaounga mkono Palestina

  • Marais wa Misri na Somalia wakutana huku Cairo ikitafuta washirika wa kukabiliana na Ethiopia

  • Maadhimisho ya Siku ya Kiswahili duniani yafanyika Rwanda

Chaguo La Mhariri
  • Tishio la kibiashara la Trump dhidi ya nchi zinazoshirikiana na BRICS

    Tishio la kibiashara la Trump dhidi ya nchi zinazoshirikiana na BRICS

    21 hours ago
  • Umuhimu wa vikao na mashauriano aliyofanya Rais wa Iran katika mkutano wa ECO

    Umuhimu wa vikao na mashauriano aliyofanya Rais wa Iran katika mkutano wa ECO

    2 days ago
  • Sababu za Marekani na Israel kuwapiga risasi Wapalestina kwenye safu za misaada huko Gaza

    Sababu za Marekani na Israel kuwapiga risasi Wapalestina kwenye safu za misaada huko Gaza

    2 days ago
Zilizotembelewa Zaidi
  • Jeshi la Yemen lajibu mapigo kwa kushambulia maeneo kadhaa ya Israel

  • Mshauri wa IRGC: Uwezo mkubwa wa ulinzi wa Iran bado haujaonyeshwa

  • Jenerali Shekarchi: Iran itatoa jibu la kuponda zaidi iwapo Israel itaishambulia tena

  • Mfumo wa ulinzi wa anga wa Russia watungua droni 400 za Ukraine

  • Iran yalaani mashambulizi mapya ya Israel dhidi ya Yemen

  • Rais Putin: BRICS imeipiku G7 katika utendaji kazi, GDP

  • Ben Gurion yafungwa tena kutokana na shambulio la kombora la Yemen

  • Duru ya kwanza ya mazungumzo ya kusitisha vita Kati ya Hamas, Israel yagonga mwamba

  • Tishio la kibiashara la Trump dhidi ya nchi zinazoshirikiana na BRICS

  • Israel yaharakisha kuifanya kaskazini ya Ghaza ibaki bila wakazi kabla vita kusimamishwa

  • Hamas yakaribisha mwito wa BRICS wa kuondoka vikosi vya Israel huko Palestina

Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS