-
Umoja wa Mataifa waonya kuhusu 'ukatili wa kutisha' nchini Sudan
Oct 31, 2025 10:25Maafisa wa Umoja wa Mataifa wameonya kuhusiana na 'ukatili wa kutisha' unaofanyika nchini Sudan.
-
Maporomoko ya matope yaua watu 9 mashariki mwa Uganda
Oct 31, 2025 06:50Kwa uchache watu tisa, wakiwemo watoto watatu wa familia moja, wamepoteza maisha katika maporomoko ya matope yaliyosababishwa na mvua kubwa mashariki mwa Uganda.
-
Matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa 2025 Tanzania yaendelea kutangazwa, Mwinyi atangazwa mshindi Zanzibar
Oct 31, 2025 03:16Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi Tanzania INEC ilianza kutangaza matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa 2025 jana Alkhamisi, huku Tume ya Uchahguzi Zanzibar ZEC ikimtangaza Rais Hussein Ali Hassan Mwinyi kuwa mshindi wa urais wa Zanzibar matokeo ambayo yamesusiwa na chama kikuu cha upinzani Zanzibar cha ACT Wazalendo.
-
Sheikh Mkuu wa al-Azhar ya Misri aitaka Italia iitambue Palestina
Oct 31, 2025 03:14Sheikh Mkuu wa Chuo Kikuu cha al-Azhar cha Misri ameitaka Italia ilitambue rasmi taifa la Palestina.
-
Mkuu wa WHO alaani kuuliwa wagonjwa na raia katika mji wa El Fasher nchini Sudan
Oct 31, 2025 03:14Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani WHO amelaani taarifa iliyoripotiwa kuhusu kuuliwa wagonjwa na raia kufuatia kushtadi machafuko katika mji wa El Fasher nchini Sudan. Tedros Adhanom Ghebreyesus ametaka kuhitimishwa uhasama.
-
Wananchi wa Tanzania wanaendelea kusubiri matokeo ya uchaguzi
Oct 30, 2025 13:01Wananchi wa Tanzania wanaendelea kusubiri matokeo ya uchaguzi uliofanyika jana Jumatano na kutawaliwa na maandamano ya hapa na pale huku hali ya mambo ikianza kurejea katika hali ya kawaida.
-
Miili 460 ya watu yapatikana hospitalini El Fasher, mawaziri wa Sudan na Misri wakutana
Oct 30, 2025 06:46Zaidi ya wagonjwa 460 na watu walioandamana nao wameripotiwa kupatikana wameuawa katika hospitali ya uzazi huku kukiwa na ripoti za kuendelea ukatili dhidi ya raia huko El Fasher, Sudan. Hayo yameripotiwa huku mawaziri wa Mambo ya Nje wa Sudan na Misri wakikutana kujadiliana hali ya eneo hilo la magharibi mwa Sudan.
-
Angola yatangaza kuwekeza kwenye satelaiti mpya
Oct 30, 2025 06:46Serikali ya Angola imetangaza kuwa itaongeza uwekezaji katika sekta ya mawasiliano ya simu, ambao utajumuisha mpango wa kurusha satelaiti mpya ya uchunguzi na kupanua mtandao wa taifa wa mawasiliano kama sehemu ya mkakati mpana wa kufaidika vizuri na teknolojia za kisasa zinazojumuisha watu wote nchini humo.
-
Iran yaanza majaribio ya safari za ndege za mizigo zilizotengenezwa nyumbani
Oct 30, 2025 02:26Ndege ya Simorgh iliyotengenezwa Iran imeanza rasmi safari zake za majaribio huku ikijiandaa kujiunga na sekta ya usafirishaji mizigo hapa nchini.
-
Uchaguzi Mkuu Tanzania waendelea kwa amani licha ya machafuko ya hapa na pale
Oct 29, 2025 15:31Shughuli za upigaji kura katika Uchaguzi Mkuu wa Tanaznia zimeendelea vizuri na kwa amani kwa kikasi kikubwa licha ya ghasia na machafuko madogo yanayoripotiwa huku na kule.