-
Onyo la Iran kuhusu uingiliaji wowote wa Marekani katika mustakabali wa Gaza
Nov 27, 2023 08:38Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, uamuzi kuhusu mustakbali wa Ukanda wa Gaza uko mikononi mwa wakazi wake na kuwa uingiliaji wowote wa Marekani katika uwanja huo utashindwa tu.
-
Vita vya Gaza na kushadidi matatizo ya kiuchumi ya Israel
Nov 27, 2023 04:09Vita vya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya ukanda wa Gaza vilisitishwa kwa muda baada ya takriban siku 50, katika hali ambayo, Tel Aviv imepata hasara kubwa za kiuchumi.
-
Kufukuzwa Manowari ya Marekani kutoka kwenye maji ya China
Nov 26, 2023 23:14Ingawa muda mrefu haujapita tangu kufanyika kikao kati ya marais wa Marekani na China mjini San Francisco, kikao ambacho Rais Joe Biden wa Marekani alikitaja kuwa chanya, Tian Junli, Msemaji wa Kamandi ya Pamoja ya Vikosi vitatu vya Jeshi la Nchi Kavu, Anga na Baharini vya Jeshi la China ametangaza kufukuzwa manowari ya Marekani kutoka kwenye eneo la maji ya nchi hiyo.
-
Maonyesho ya Istanbul na nafasi ya kipekee ya mashirika ya kuzalisha utaalamu ya Iran duniani
Nov 26, 2023 08:09Maonyesho ya 32 ya Kimataifa ya Plast Eurasia 2023 yamefanyika katika mji wa Istanbul nchini Uturuki. Makampuni 14 yanayozalisha maarifa ya kitaalamu ya Iran wameonyesha uwezo wao wa kitaalamu wa kuuza nje taaluma hiyo katika banda maalum la makampuni yanayozalisha maarifa katika maonyesho hayo, ambayo yameandaliwa kwa msaada wa Mfuko wa Ubunifu na Ustawi.
-
Matokeo ya kinyume yanayotokana na hatua ya Netanyahu kulazimisha vita dhidi ya Gaza
Nov 26, 2023 03:56Baada ya mazungumzo marefu na ucheleweshaji wa saa 24, usitishaji vita wa siku nne kati ya utawala haramu wa Israel na Hamas hatimaye ulianza kutekelezwa rasmi saa moja asubuhi Ijumaa Novemba 24 kwa wakati wa Gaza.
-
Kurejea Wapalestina Gaza baada ya kutangazwa usitishaji vita; Utambulisho wa kitaifa wa Palestina dhidi ya utambulisho wa Kizayuni uliokopwa
Nov 25, 2023 22:52Kile kinachovuta hisia baada ya kutekelezwa usitishaji vita kati ya Hamas na utawala wa Kizayuni ni kurejea kwa wingi Wapalestina kaskazini mwa Ukanda wa Gaza.
-
Uhispania na Ubelgiji zatangaza kuwa tayari kuitambua rasmi nchi ya Palestina
Nov 25, 2023 08:17Hatua ya Uhispania na Ubelgiji ya kutangaza kuwa tayari kuitambua rasmi nchi huru ya Palestina ni tukio muhimu kushuhudiwa barani Ulaya kuhusu kadhia ya Palestina. Hatua hii imeukasirisha sana utawala wa Kizayuni.
-
Amir Abdollahian nchini Lebanon; safari yenye malengo kadhaa
Nov 25, 2023 02:54Hossein Amirabdollahian Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ametembelea Beirut, mji mkuu wa Lebanon ikiwa ni katika muendelezo wa mashauriano yake na viongozi wa eneo kuhusu hujuma ya Wazayuni katika Ukanda wa Gaza ambapo amekukutana na kuzungumza na maafisa wa nchi hiyo pamoja na viongozi wa mrengo wa muqawama wa Lebanon na Palestina.
-
Sisitizo la China la ushirikiano wa kimataifa kwa ajili ya kukomeshwa vita vya Gaza
Nov 25, 2023 01:03Katika hotuba yake kwenye mkutano wa dharura wa nchi wanachama wa BRICS, Rais Xi Jinping wa China amesema kuwa jamii ya kimataifa haipasi kuruhusu mzozo wa Palestina na Israel kuongezeka na kuathiri eneo zima la Mashariki ya Kati, yaani Asia Magharibi.
-
Kiongozi Muadhamu; kushindwa Wazayuni hakutafidiwa kwa jinai
Nov 23, 2023 23:20Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema katika kikao na washindi wa nishani za Michezo ya Asia na Para-Asia huko Hangzhou na wanamichezo wengine wa Iran kuwa, mienendo yao ya heshima katika medani za michezo ni dhihirisho la sura ya taifa la Iran, na kusema kuhusu matukio ya Gaza kuwa utawala wa Kizayuni, pamoja na jinai zake zote, haujaweza na wala hautaweza kufidia kushindwa kwake kukubwa kwake hivi karibuni na katika mustakbali.