-
Ushindi wa mrengo wa kulia wenye misimamo mikali katika uchaguzi wa Uholanzi; kengele ya hatari kwa Ulaya
Nov 23, 2023 06:59Uchaguzi mkuu wa Uholanzi ulifanyika Jumatano, Novemba 22 nchini humo ili kubaini nani ataongoza serikali ijayo ambayo inapaswa kuchukua mamlaka nchini baada ya kuondoka Mark Rutte, ambaye amekuwa waziri mkuu kwa miaka 13.
-
Afrika Kusini yavunja uhusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel
Nov 23, 2023 03:48Kufuatia kuendelea jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya taifa la Palestina, wabunge wa Afrika Kusini wamepiga kura ya kufunga ubalozi wa utawala wa Kizayuni nchini humo. Kwa uamuzi huo, ubalozi wa utawala wa Kizayuni wa Israel nchini Afrika Kusini utafungwa, uhusiano wa kidiplomasia na utawala huo utakatwa na balozi wa utawala huo wa Kizayuni kutimuliwa kutoka Pretoria.
-
Matokeo ya kuendelea vita vya pande zote dhidi ya Gaza; kufunguliwa uwanja mpya wa vita kutokea Yemen
Nov 23, 2023 03:07Sambamba na kuendelea mashambulizi ya mabomu ya utawala wa Kizayuni katika Ukanda wa Gaza kwa kipindi cha mwezi mmoja na nusu uliopita, uwezekano wa kupanuliwa maeneo ya vita daima limekuwa jinamizi baya zaidi kuwahi kufikiriwa na Wazayuni katika vita hivyo.
-
Usitishaji vita wa siku 4 Gaza; sababu na ishara zake
Nov 22, 2023 23:34Hatimaye baada ya siku 47, utawala wa Kizayuni na Hamas wamefikia makubaliano ya kusitisha mapigano kwa muda wa siku nne.
-
Je, kwa nini vita vya Gaza haviishi?
Nov 22, 2023 07:52Licha ya kupita siku 46 tangu kuanza vita vya utawala wa Kizayuni dhidi ya Ukanda wa Gaza, lakini bado hakuna dalili zozote za kumalizika vita hivyo.
-
Mabadiliko ya kisiasa nchini Argentina; Ushindi wa Javier Milei katika uchaguzi wa urais
Nov 22, 2023 02:47Javier Milei, mgombea wa mrengo wa kulia wa Argentina, ameshinda duru ya pili ya uchaguzi wa rais wa nchi hiyo kwa kupata 56% ya kura dhidi ya Sergio Massa.
-
Mwito wa Afrika Kusini wa kutiwa mbaroni Netanyahu kwa tuhuma za maangamizi ya kizazi
Nov 21, 2023 23:26Kwa mara nyingine tena Afrika Kusini imetoa mwito wa kutiwa mbaroni Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Israel kwa tuhuma za kutenda mauaji ya kimbari huko Gaza Palestina.
-
Ukosolewaji mkali wa undumakuwili wa Magharibi kuhusu kadhia ya Israel na Wapalestina
Nov 21, 2023 03:42Waziri Mkuu wa Ireland, Leo Varadkar amekosoa vikali undumilakuwili wa nchi za Magharibi na kusema kuwa Umoja wa Ulaya na madola ya Magharibi yanashughulikia masuala yanayohusiana na Israel na Palestina kwa undumilakuwili wa wazi.
-
Watoto wa Gaza; wahanga wakuu wa jinai za utawala wa Kizayuni
Nov 20, 2023 23:07Katika kuendeleza jinai zake huko Ukanda wa Gaza jeshi la utawala ghasibu wa Kizayuni Jumamosi tarehe 18 mwezi huu wa Novemba liliishambulia kwa mabomu kwa mara ya pili shule ya Al Fakhoora katika kambi ya wakimbizi ya Jabaliya; ambapo katika jinai hiyo Wapalestina wasiopungua 200 wameuliwa shahidi aghalabu yao wakiwa ni watoto.
-
Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu asisitiza udharura wa kudumishwa kasi ya maendeleo ya kijeshi
Nov 20, 2023 04:24Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameyataja mafanikio ya kisayansi hapa nchini kuwa ni matokeo ya nia inayotegemea azma na imani thabiti na kusisitiza kuwa: Popote pale ambapo vijana wetu waliingia kwa azma na imani wameweza kufanya mambo makubwa; na maonyesho haya ni kielelezo cha dhamira na imani hiyo.