-
Machi 14, 2022; mwaka wa 11 wa uvamizi wa kijeshi wa Saudia huko Bahrain
Mar 15, 2022 21:05Mnamo Machi 14, 2011, Saudi Arabia iliivamia rasmi Bahrain chini ya kivuli cha Ngao ya Kisiwa, uvamizi ambao sasa umeingia katika mwake wake wa 11.
-
Unyongaji wa umati; jinai maalumu ya ukoo wa Aal Saud
Mar 15, 2022 07:24Ikiwa ni katika kuendeleza jinai dhidi ya watu wa Saudi Arabia, utawala wa nchi hiyo umechukua hatua isiyo ya kawaida ya kunyonga kwa umati watu 81 katika siku moja.
-
Kukosoa Iran ukiukaji wa haki za binadamu nchini Saudi Arabia
Mar 14, 2022 23:08Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, unyongaji kiholela na vitendo vya ukandamizaji vinavyofanywa na utawala wa Aal Saud siyo njia ya utatuzi wa migogoro ya kujitengezea na kwamba, utawala huo hauwezi kutumia mambo mbalimbali kwa ajili ya kufunika mparaganyiko, matatizo ya kisiasa, kimahakama na ukandamizaji dhidi ya raia.
-
Shambulio la makombora ya jeshi la SEPAH dhidi ya kituo cha MOSSAD Erbil Iraq
Mar 14, 2022 10:19Jumapili ya jana tarehe 13 Machi, Kitengo cha Kupambana na Ugaidi cha Eneo la Kurdistan ya Iraq kilitangaza kuwa, usiku wa kumkia jana kambi mbili za kutoa mafunzo za Shirika la Ujasusi la Israel (MOSSAD) zimeshambuliwa kwa makombora ya balestiki katika eneo la Erbil, kaskazini mwa Iraq.
-
Kukiri EU kosa lake la kuiahidi Ukraine kujiunga na NATO
Mar 13, 2022 23:23Josep Borrell Fontelles, Mkuu wa Sera za Kigeni za Umoja wa Ulaya amekiri kuwa kitendo cha umoja huo cha kuipa ahadi Ukraine ya kuiunga na Jeshi la Nchi za Magharibi NATO, lilikuwa kosa.
-
Oparesheni ya kuvunja mzingiro dhidi ya Yemen ndani ya Saudi Arabia
Mar 13, 2022 07:34Brigedia Jenerali Yahya Saree, Msemaji wa Jeshi la Yemen mapema wiki hii alitangaza kuhusu kutekelezwa oparesheni ya kuvunja mzingiro dhidi ya Yemen iliyotekelezwa ndani ya ardhi ya Saudia.
-
Russia: Marekani na washirika wake wanaunda silaha za kibaolojia nchini Ukraine
Mar 12, 2022 22:49Russia imekutaja kuwepo kwa shughuli za kibaolojia nchini Ukraine kuwa ni tishio kwa amani na usalama wa kimataifa na kutangaza kuwa, ina nyaraka zinazothibitisha kuwepo kwa maabara 30 za kibaolojia zenye kemikali za vimelea vinavyosababisha magonjwa hatari kama tauni na kimeta kupitia ndege wanaohama kati ya Ukraine na Russia.
-
Kuwepo kwa wapiganaji wa kigeni katika vita vya Ukraine; mwelekeo na sura mpya
Mar 12, 2022 07:13Sambamba na kuendelea vita huko Ukraine, kuwepo kwa vikosi na wapiganaji wa kigeni kumevipa vita hivyo sura na mwelekeo mpya. Ni baada ya Rais Vladimir Putin wa Russia kuafiki suala la kuwezesha wapiganaji na vikosi vya kujitolea vinavyounga mkono nchi hiyo kushiriki katika vita vya Ukraine.
-
Maandamano makubwa ya kupinga Israel nchini Uturuki
Mar 11, 2022 20:32Ni jambo lisilo na shaka kwamba, nukta dhaifu zaidi kwa kila mwanasiasa ni kulazimika kumueleza adui yake mambo yake ya siri na kumfanya adui huyo aelewe nini hasa kinachotakiwa na mwanasiasa huyo.
-
Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu; sisitizo kwa nguvu za taifa na upeo wa mikakati ya Jamhuri ya Kiislamu
Mar 11, 2022 05:08Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa, nguvu za taifa ni jambo muhimu mno kwa kila nchi na kwamba kila taifa kama linataka kufaidia kweli na uhuru wake, heshima na kustafidi na vyanzo vyake muhimu kwa uhuru na kufanikiwa kusimama imara mbele ya matakwa ya wengine, taifa hilo lazima liwe na nguvu, vinginevyo muda wote litaishi katika udhaifu, udhalili na woga maadamu linahofia tamaa za watu baki.