-
Mgogoro wa Ukraine kwa mtazamo wa Hassan Nasrullah; kuporomoka kimaadili Wamagharibi
Mar 10, 2022 22:59Sayyid Hassan Nasrullah, Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, mgogoro wa Ukraine umeonyesha kuporomoka kimaadili Wamagharibi.
-
Saudi Arabia na kuongeza gharama za kijeshi
Mar 10, 2022 07:10Walid Abu Khalid, Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Viwanda vya Silaha vya Saudi Arabia ametangaza kuwa, taifa hilo la Kiarabu lina mpango wa kujenga kiwanda kikubwa zaidi ulimwenguni cha utengenezaji na uzalishaji silaha na zana za kijeshi.
-
Mazungumzo baina ya Iran na Oman kuhusu usalama wa baharini
Mar 10, 2022 00:40Kikao cha Tatu cha Makamanda wa Gadi ya Ufukweni ya Jamhuri ya Kiisalmu ya Iran na Oman kimefanyika mjini Muscat na kujadili usalama wa baharini. Maudhui kuu iliyojadiliwa na nchi hizi mbili ndugu katika kikao hicho ni kuzidi kushirikiana na kuwa na uratibu wa pamoja na kulinda usalama wa mpaka wa baharini wa nchi hizo.
-
Kuongezeka propaganda za kueneza chuki dhidi ya Russia barani Ulaya
Mar 09, 2022 04:38Huku mgogoro ukizidi kuwa mkubwa baina ya Russia na nchi za Magharibi hususan kutokana na kupamba moto mapigano nchini Ukraine, mashinikizo yanayotokana na vikwazo vya Magharibi dhidi ya Russia nayo yameongezeka.
-
Wananchi wa Yemen waandamana dhidi ya wahusika wa maafa ya kibinadamu nchini humo
Mar 08, 2022 23:07Huku vita na mzingiro vikiendelea dhidi ya taifa la Yemen katika hali ambayo jamii ya kimataifa imekaa kimya, wananchi wa nchi hiyo kwa mara nyingine wamefanya maandamano ya kupinga vita na kuutaja muungano wa Saudia, Umoja wa Mataifa na madola ya Magharibi kuwa wahusika wakuu wa maafa ya kibinadamu yanayoendelea nchini humo.
-
Upinzani dhidi ya uanachama wa Ukraine katika Umoja wa Ulaya
Mar 08, 2022 08:00Mjumbe mmoja wa ngazi za juu katika bunge la Ujerumani amesema kuwa mkondo wa kuipa Ukraine uanachama katika Umoja wa Ulaya ni hatari kwa maslahi ya umoja huo na kwamba njia bora ni kuipa Ukraine uanachama wa heshima tu.
-
Ukosoaji wa misimamo ya kindumakuwili ya nchi za Kiarabu na Magharibi kuhusu vita vya Yemen na Ukraine
Mar 07, 2022 23:20Naibu Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Yemen amekosoa vikali mienendo na misimamo ya kiundumakuwili wa baadhi ya nchi za Kiarabu kuhusu vita vya Yemen na Ukraine. Baadhi ya wachambuzi pia wamekosoa misimamo kama hiyo nchi za Magharibi.
-
Arab League yaelezea wasiwasi wake kuhusu hali ya kisiasa nchini Libya
Mar 07, 2022 08:01Kuongezeka kwa tofauti kati ya mirengo ya Libya kuhusu utungaji wa sheria za uchaguzi wa rais na wabunge kumekuwa tishio kubwa kwa mchakato wa uchaguzi, kwa kadiri kwamba Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Ahmed Aboul Gheit ameeleza wasiwasi wake juu ya hali ya kisiasa ya nchi hiyo na umuhimu wa kuwepo mwafaka na maridhiano ya kisiasa.
-
Sababu za kubadilika siasa za Imarati kutoka za mashambulizi hadi za mapatano
Mar 07, 2022 00:51Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) ni katika nchi za Kiarabu ambazo zilibaki salama katika wimbi la mapinduzi ya wananchi wa nchi za Kiarabu la mwaka 2011. Jambo hilo pamoja na uwezo wa kiuchumi na kupenda makuu Mohammed bin Zayed liliifanya Imarati ifuate siasa za mashambulizi na kupenda vita kama vile kushiriki katika uvamizi wa Yemen.
-
Radiamali za shambulio la kigaidi la Peshawar, Pakistan
Mar 06, 2022 04:52Shambulio la kigaidi lililolenga Msikiti wa Waislamu wa Kishia mjini Peshawar Pakistan linaendelea kulaaniwa na pande mbalimbali ulimwenguni.