-
SAUTI, Serikali ya Uganda yaendelea kuwatimua wakurugenzi wa Shirika la Mawasiliano ya Simu MTN kwa sababu za usalama
Feb 15, 2019 13:05Serikali ya Uganda imeendelea kuwatimua wakurugenzi wa Shirika la Mawasiliano ya Simu za Mkononi nchini humo MTN kutokana na sababu za kiusalama.
-
SAUTI, Jeshi la polisi nchini Kenya lapata pigo baada ya makamanda wake watano kukutwa na hatia ya kuua
Feb 14, 2019 12:31Jeshi la polisi nchini Kenya limepata pigo baada ya mahakama moja ya mjini Kisumu, magharibi mwa taifa hilo, kusema inao ushahidi wa kutosha wa kuwashtaki makamanda watono jeshi hilo kwa kesi ya mauwaji.
-
SAUTI, Serikali ya China yaikabidhi Burundi jengo jipya la ikulu ya rais mjini Bujumbura
Feb 14, 2019 11:51Ikulu mpya ya rais wa Burundi ilojengwa kwa udhamini wa nchi ya China, leo imekabidhiwa rasmi kwa serikali ya Bujumbura.
-
Mgomo wa madaktari Kenya waingia wiki yake ya pili + Sauti
Feb 11, 2019 13:50Mgomo wa madaktari na wauguzi nchini Kenya umeingia juma la pili hivi leo (siku ya Jumatatu), huku maelfu ya wagonjwa wanao tafuta huduma katika hospitali za umma wakikosa kupata matibabu.
-
Taarifa ya polisi wa uganda kuhusu vita dhidi ya mihadarati na pasi za kughushi + Sauti
Feb 11, 2019 13:44Polisi ya Uganda imetangaza kuwa imemtia mbaroni mtu mmoja mwenye uwezo wa kughushi pasi za kusafiria na vile vile imeripoti kwamba mwanamke mmoja raia wa nchi hiyo amenaswa na madawa ya kulevya mjini Dubai, Umoja wa Falme za Kiarabu. Kwa maelezo kamili, tumtegee sikio ripota wetu wa mjini Kampala, Kigozi Ismail...
-
Kujiuzulu Benjamin Mkapa katika upatanishi kwapokewa kwa hisia tofauti nchini Burundi + Sauti
Feb 11, 2019 13:41Wananchi wa Burundi wamekuwa na hisia na maoni tofauti kuhusu msimamo uliotangazwa na msuluhishi wa mzozo wa nchi hiyo rais mstaafu wa Tanzania Benjamin Mkapa wa kuamua kujiuzulu wadhifa huo. Kwa maelezo zaidi tuitegee sikio ripoti ya mwandishi wetu wa mjini Bujumbura, Hamida Issa...
-
Rais Rouhani: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haitaomba ruhusa kwa mtu yeyote ya kuunda zana za ulinzi + Picha
Feb 11, 2019 10:54Rais Hassan Rouhani amesema: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haiombi na wala haitaomba ruhusa kwa mtu yeyote ya kuunda aina mbali mbali za makombora na zana za ulinzi; na itaendelea kufuata njia yake kwa nguvu na uwezo kamili.
-
Shahidi Zakaria, ushahidi mwingine wa ukatili wa Aal Saud na Mawahabi wa Saudia + Video
Feb 09, 2019 21:45Zakariya Bader al-Jabir mtoto Mwislamu aliyekuwa na umri wa miaka 6 wa madhehebu ya Shia ambaye alikuwa amekwenda katika mji mtakatifu wa Madina kwa ajili ya kuzuru kaburi la Mtume Muhammad (saw) ameuawa kikatili na dereva wa Kiwahabi wa Saudia.
-
Matamshi ya Sayyid Hassan Nasrullah kwa mnasaba wa kutimia miaka 40 ya Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran
Feb 07, 2019 19:02Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon Sayydi Hassan Nasrullah ametoa hotuba kusini mwa Bairut, mji mkuu wa Lebanon katika sherehe ya kuadhimisha miaka 40 ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran ambapo ameashiria masuala mengi muhimu.
-
Balozi Farhang: Miradi ya nyuklia ya Iran ni ya amani kikamilifu + Sauti
Feb 07, 2019 14:26Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Tanzania, Bw. Mousah Farhang amesema kuwa miradi ya nyuklia ya Iran ni ya amani kikamilifu, kinyume kabisa na propaganda zinazoenezwa na madola ya kibeberu. Ammari Dachi na taarifa kamili kutoka Dar es Salaam...