-
Pezeshkian: Mahudhurio makubwa katika mazishi ya Kiongozi Shahidi ni ‘jibu madhubuti’ kwa ubeberu na ugaidi
Jul 03, 2026 03:51Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, amesisitiza kuwa umati mkubwa wa wananchi utakaojitokeza katika shughuli ya mazishi ya Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, utakuwa “jibu madhubuti” dhidi ya vitendo vya kigaidi, ukatili na mbinu za kibeberu. Amesema kuwa tukio hilo litakuwa dhihirisho la wazi la umoja wa taifa la Iran na dhamira yake isiyotetereka katika kulinda uhuru na heshima ya nchi.
-
Onyo kali la Majeshi ya Iran: Uchokozi wa Marekani katika Lango la Hormuz utajibiwa haraka
Jul 03, 2026 03:45Kamandi Kuu ya Majeshi ya Iran, maarufu kama Kamandi ya Khatam al-Anbiya, imetoa onyo kali kuwa, uingiliaji wowote wa kijeshi wa Marekani katika Lango Bahari la Hormuz utajibiwa kwa kasi na maamuzi madhubuti na vikosi vya ulinzi vya Iran, huku ikisisitiza kuwa njia hiyo muhimu ya bahari iko chini ya mamlaka kamili ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Spika wa Bunge la Iran awahimiza Wairani kuhudhuria mazishi ya Kiongozi shahidi na kudai kisasi
Jul 02, 2026 11:51Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amewatolea wito wananchi kuhudhuria shughuli zijazo za mazishi ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, na kutaka kulipizwa kisasi damu safi ya Kiongozi huyo aliyeuawa shahidi.
-
Salehi: Waandishi wa habari wa kigeni 600 kuripoti mazishi ya Ayatullah Khamenei
Jul 02, 2026 11:49Abbas Salehi Waziri wa Utamaduni na Miongozo ya Kiislamu wa Iran amesema kuwa takriban waandishi habari na wawakilishi wa vyombo vya habari 600 kutoka nje ya nchi wataripoti shughuli ya mazishi ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, yaliyopangwa kufanyika kuanzia tarehe 4 hadi 9 mwezi huu wa Julai.
-
Zaidi ya nchi 90 zatangaza utayarifu wa kuhudhuria mazishi ya Kiongozi shahidi wa Iran
Jul 02, 2026 03:49Wawakilishi kutoka zaidi ya nchi 90, pamoja na viongozi wa kidini, wasomi na watu mashuhuri kutoka kote duniani, wametangaza utayarifu wao wa kuhudhuria mazishi ya Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei.
-
Iran yaapa kulipiza kisasi 'damu safi ya Kiongozi aliyeuawa shahidi kwa wakati unaofaa'
Jul 02, 2026 03:47Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran limetangaza kuwa wahusika wa uhalifu na mauaji dhidi ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei na watu wa Iran watakabiliwa na adhabu "kwa wakati unaofaa" kutoka kwa "viumbe waadilifu," huku nchi hii ikijiandaa kwa mazishi ya Imam Sayyid Ali Khamenei.
-
China: Vikwazo vya upande mmoja dhidi ya Iran vinapaswa kuondolewa haraka iwezekanavyo
Jul 02, 2026 03:44Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya China, Guo Jiakun, amesisitiza umuhimu wa kuondolewa haraka iwezekanavyo vikwazo vya upande mmoja vilivyowekwa dhidi ya Iran, huku akikaribisha uwezekano wa kuondolewa vikwazo na masharti yaliyowekwa dhidi ya Tehran.
-
Lamerd iligeuzwa vipi kuwa uwanja wa majaribio ya silaha za maangamizi ya umati za Marekani?
Jul 01, 2026 12:02Takriban miezi mitatu imepita tangu kumalizika kwa uvamizi wa kijeshi wa Marekani na utawala wa kizayuni wa Israel katika ardhi ya Iran, lakini kila siku, na kufuatia kuchapishwa nyaraka mpya na picha pamoja na simulizi tofauti, viwango vipya vya jinai za wavamizi hao vinafichuliwa.
-
Mtaalamu wa Uislamu Kenya: Urithi wa Ayatullah Ali Khamenei katika kusimama kidete utaendelea kuwa dira
Jul 01, 2026 10:24Mtaalamu wa masuala ya Kiislamu kutoka Kenya katika mahojiano na Pars Today: Urithi wa Ayatullah Khamenei unaelekeza mwelekeo wa nchi za Kusini mwa Dunia katika harakati za kulinda heshima na uhuru wao.
-
Pezeshkian na Narendra Modi wasisitiza kuimarisha ushirikiano wa nchi zao
Jul 01, 2026 10:23Rais wa Iran na Waziri Mkuu wa India wamesisitiza azma thabiti ya nchi zao ya kukuza na kuimarisha ushirikiano wa pande mbili.