-
Pezeshkian: Hujuma ya kijeshi ya Marekani-Israel imetuachia njia moja tu ya kujihami
Mar 05, 2026 05:08Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema katika ujumbe wake kwa viongozi wa nchi rafiki na majirani kwamba mashambulizi ya kijeshi ya Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel yameiacha Iran bila chaguo lolote isipokuwa kujilinda.
-
Larijani: Zaidi ya wanajeshi 500 wa Marekani wameuawa
Mar 05, 2026 04:42Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran Ali Larijani amesema kuwa rais Donald Trump wa Marekani anapaswa kutarajia gharama bora zaidi baada ya kukuza kwa zaidi ya wanajeshi wa Marekani 500 wameuawa.
-
Military Watch: Ni vigumu kutungua makombora ya hypersoniki ya Iran
Mar 05, 2026 04:05Jarida lenye sifa za kitaalamu la Military Watch limeripoti kuwa kombora jipya la Iran linalojulikana kwa jina la “Fatah-2”, ni changamoto kubwa kwa mifumo ya ulinzi ya Magharibi na waitifaki wake.
-
Araghchi: Marekani itapata majuto makubwa kwa kuizamisha manowari ya Iran ya Dena
Mar 05, 2026 03:40Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Sayyid Abbas Araghchi ametoa mjibizo kwa hatua ya jeshi la kigaidi la Marekani ya kuilenga na kuigharikisha manowari ndogo ya Dena na kusisitiza kwamba, Washington itapata majuto makubwa kwa kuanzisha mwenendo huo.
-
Lavrov: Hujuma ya Marekani na Israel dhidi ya Iran ni kinyume cha sheria za kimataifa
Mar 05, 2026 03:04Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia, Sergey Lavrov, katika mazungumzo ya simu na Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Seyed Abbas Araghchi ametangaza wazi kuwa mashambulizi ya Marekani na Israel dhidi ya Iran ni kinyume na kanuni za msingi za sheria ya kimataifa.
-
Kamandi ya Khatam al-Anbia: Wanajeshi 100 wa Marekani wameuawa katika shambulizi la Iran huko Dubai
Mar 04, 2026 12:52Msemaji wa Kamandi ya Majeshi ya Iran ya “Khatam al-Anbia” ametoa taarifa akisema kuwa wanajeshi 100 wa Marekani wameuawa katika shambulizi la Iran huko Dubai.
-
Anadolu: Iran imeitia Marekani hasara ya dola bilioni 2 hadi sasa, ACP yasema ni dola bilioni 5
Mar 04, 2026 12:10Shirika la Habari la Anadolu limeripoti leo Jumatano kwamba tangu kuanza kwa vita vya sasa vya Marekani na Israel dhidi ya Iran, Jumamosi iliyopita, Jamhuri ya Kiislamu imeharibu zana za kivita za Marekani zenye thamani ya dola bilioni mbili.
-
Araqchi: Trump amesaliti diplomasia na watu wa Marekani
Mar 04, 2026 12:06Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Iran amesema kuwa Rais wa Marekani, Donald Trump ameisaliti diplomasia na watu wa Marekani waliompigia kura akisisitiza kuwa: Wakati uongo mkubwa unapopotosha ukweli wa mambo, maratajio yasiyo ya kweli katu hayawezi kutimizwa.
-
Military Watch: Fattah 2 haiwezi kuzuiwa na makombora ya Marekani
Mar 04, 2026 11:59Jarida maarufu la Military Watch limefichua kuwa ni karibu muhali kuweza kuzuia kombora jipya la hypersonic la Iran, Fattah 2, kutokana na kasi yake ya kustaajabisha na uwezo wake mkubwa wa manuva.
-
Mazungumzo na Iran yameonyesha wazi kuwa Marekani ililenga kuhadaa
Mar 04, 2026 03:59Waziri wa zamani wa Mambo ya Nje ya Iran na ambaye sasa ni mbunge amesema kuwa mazungumzo yameonyesha kuwa Marekani imekuwa ikifuatilia sera ya hadaa.