-
Ripota wa Al-Mayadeen: Utawala wa Kizayuni umeshindwa na Iran
Oct 26, 2024 07:56Mwandishi wa kanali ya Al-Mayadeen aliyeko mjini Tehran ameashiria kushindwa utawala wa Kizayuni wa Israel na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kuibuliwa mlingano mpya wa nguvu katika eneo.
-
Mkakati wa Israel: Mashambulizi hafifu, kukuza na kutia chumvi kwenye vyombo vya habari
Oct 26, 2024 07:41Wakati utawala wa Kizayuni wa Israel ukidai kuwa umeshambulia maeneo 20 nchini Iran, wachambuzi wa mambo wanasema kuwa shambulio hilo lililofanyika mapema leo halilingani hata kidogo na Opereshen Ahadi ya Kweli-2 (Operation 'True Promise 2) iliyotekelezwa na Iran dhidi ya utawala huo katili majuma kadhaa yaliyopita.
-
Radiamali za kwanza za kimataifa katika kulaani hujuma za utawala wa Kizayuni dhidi ya Iran
Oct 26, 2024 07:24Wizara za mashauri ya kigeni za Saudi Arabia, Malaysia, Pakistan na Oman zimetoa taarifa tofauti zikilaani hujuma za kijeshi za utawala wa Kizayuni dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Tehran: Tuna haki halali ya kujihami mkabala wa uvamizi wa Wazayuni
Oct 26, 2024 07:22Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imelaani vikali hatua ya kichokozi ya utawala wa Kizayuni ya kushambulia baadhi ya vituo vya kijeshi hapa nchini, na kuitaja kuwa ni ukiukwaji wa wazi wa sheria za kimataifa na Mkataba wa Umoja wa Mataifa.
-
Iran yasema iko tayari kujibu uchokozi na uvamizi wa Israel
Oct 26, 2024 06:32Duru za kuaminiki zimeliambia shirika la habari la Tasnim kwamba, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ipo tayari na imejiandaa kujibu chokochoko za utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Ulinzi wa anga wa Iran 'wazuia na kuzima kwa mafanikio' uchokozi wa Israel
Oct 26, 2024 03:36Kikosi cha ulinzi wa anga cha Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kimethibitisha kuwa utawala wa Kizayuni wa Israel umefanya mashambulio ambayo yamelenga maeneo kadhaa katika mikoa ya Tehran, Khuzestan na Ilam, na kusema uchokozi huo umezimwa kwa mafanikio.
-
Majibu ya mifumo ya anga ya Iran ndiyo sababu ya kusikika sauti za miripuko pembeni mwa Tehran
Oct 25, 2024 23:33Duru za kiusalama za Iran zimetangaza kuwa, sauti kubwa za miripuko zilizosikika alfajiri ya leo Jumamosi hapa Tehran zimetokana na majibu ya mifumo ya ulinzi wa anga ya Iran kupiga silaha zilizorushwa dhidi ya baadhi ya maeneo ya pembeni mwa Tehran.
-
Wakristo wa Armenia nchini Iran: Tuko chini ya Kiongozi Muadhamu katika hali zote
Oct 25, 2024 07:21Kaimu Askofu Mkuu wa Wakristo wa Armenia nchini Iran amesema kuwa, wako chini ya amri ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, katika hali zote.
-
Ayatullah Khatami: Visiwa vitatu ni milki ya Iran, vilikuwa na vitaendelea kuwa hivyo
Oct 25, 2024 07:21Khatibu wa muda wa Sala ya Ijumaa ya Tehran amesisitiza kuwa, visiwa vitatu vya Bu Musa, Tomb Kubwa na Tomb Ndogo ni milki ya Iran, vilikuwa hivyo tangu zamani na vitaendelea daima kuwa hivyo katika siku za usoni.
-
Iran yakosoa vitendo vya kigaidi vya Israel nchini Lebanon
Oct 25, 2024 03:23Balozi wa Iran katika Umoja wa Mataifa amelaani vikali mashambulizi ya kigaidi ya Israel dhidi ya raia wa Iran mjini Beirut na kuyataja kuwa ni ukiukaji wa sheria za kimataifa na mamlaka ya kujitawala ya Lebanon.