-
Rais wa Iran: Njama za Marekani zitasambaratishwa
Oct 25, 2024 03:14Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: Utekelezaji wa yaliyoafikiwa katika mkutano wa BRICS utasambaratisha njama za Marekani na washirika wake.
-
Mikutano ya Pezeshkian katika kikao cha BRICS na sisitizo la Iran la kuzingatiwa mitazamo ya pande kadhaa katika mfumo wa kimataifa
Oct 25, 2024 03:03Pambizoni mwa mkutano wa wakuu wa nchi za BRICS huko katika mji wa Kazan nchini Russia, Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekutana na kufanya mazungumzo na viongozi wa nchi shiriki ambapo amesisitiza haja ya kuzingatiwa mitazamo ya pande kadhaa katika mfumo wa kimataifa.
-
Imam Khamenei: Hizbullah iko hai na inastawi
Oct 24, 2024 23:59Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Seyyed Ali Khamenei amempongeza Sayyed Hashem Safieddine, kiongozi wa ngazi za juu wa Hizbullah aliyeuawa shahidi hivi karibuni katika hujuma ya utawala haramu wa Israel, na kuitaja harakati ya muqawama kuwa "mtetezi shupavu zaidi wa Lebanon na ngao madhubuti zaidi dhidi ya uroho wa utawala wa Kizayuni." Aidha amesisitiza kuwa, Hizbullah iko hai na inastawi.
-
Rais Pezeshkian: BRICS, mfano wa mafanikio wa ushirikiano na kuondokana na hatua za upande mmoja
Oct 24, 2024 23:11Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, jumuiya ya BRICS ikiwa na malengo yake makubwa imeweza kuwa kielelezo cha mafanikio cha ushirikiano kati ya nchi katika uga wa kimataifa.
-
Iran: Umoja wa Mataifa umepoteza falsafa ya kuwepo kwake
Oct 24, 2024 23:11Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kiigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Umoja wa Mataifa umo katika hali ya kupoteza falsafa ya kuwepo kwake.
-
SEPAH: Israel isijipumbaze kwa nguvu kiduchu za ulinzi wa anga za Marekani
Oct 24, 2024 08:25Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu SEPAH ameuonya utawala wa Kizayuni "usijitie pepo mpumbavu" na kujidanganya kuwa unaweza kuwa salama kwa nguvu chache za paipu za mifumo ya kujilinda kwa makombora iliyogaiwa na Marekani.
-
Sisitizo la kustawisha uhusiano kati ya Iran na India
Oct 24, 2024 06:14Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Waziri Mkuu wa India Narendra Modi wamejadili njia za kuendeleza uhusiano kati ya Tehran na New Delhi pambizoni mwa mkutano wa 16 wa wakuu wa nchi za BRICS huko Kazan, Russia.
-
Iran yalaani vikali shambulio la kigaidi kwenye makao ya Shirika la Anga la Uturuki
Oct 24, 2024 03:58Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Iran amelaani vikali shambulio la kigaidi kwenye makao makuu ya Shirika la Anga la Uturuki (TOSASH) mjini Ankara.
-
Pezeshkian: Mandela atakumbukwa kwa mapambano yake dhidi ya dhulma
Oct 24, 2024 03:49Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian amemuenzi na kumpongeza kiongozi wa zamani wa Afrika Kusini, hayati Nelson Mandela kutokana na jitihada na mapambano yake dhidi ya dhulma na ukandamizaji.
-
Pezeshkian: Uhusiano wa Iran na Russia ni wa kimkakati, wenye manufaa makubwa
Oct 23, 2024 23:13Rais Masoud Pezeshkian amesema uhusiano wa Iran na Russia ni "wa kimkakati na wenye manufaa makubwa."