-
Makamanda wa Wanamaji wa China na Afrika Kusini watembelea meli za kivita za Iran mjini Cape Town
Jan 17, 2026 03:12Makamanda na wanajeshi wa majini ya China na Afrika Kusini wametembelea meli za kivita za kikosi cha majini cha Iran kilichotia nanga katika bandari ya Cape Town, pembeni mwa mazoezi makubwa ya kimataifa ya majini yanayoandaliwa na Afrika Kusini.
-
Iran yalaani unafiki wa G7 kuhusu haki za binadamu kufuatia tamko lao la kuingilia mambo ya ndani
Jan 17, 2026 03:10Wizara ya Mambo ya Nje imelaani vikali tamko la hivi karibuni la kuingilia mambo ya ndani ya Iran lililotolewa na Kundi la Nchi Saba (G7), ikilishutumu kundi hilo la kiserikali linaloongozwa na Marekani kwa kuingilia masuala ya Iran na kwa mtazamo wa kinafiki kuhusu haki za binadamu.
-
Hofu yatanda Afrika kuhusu utafiti wa chanjo unaofadhiliwa na Marekani kuhusu homa ya ini
Jan 17, 2026 03:09Utafiti wa chanjo uliogharamiwa na Kituo cha Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa cha Marekani (CDC) nchini Guinea‑Bissau umekosolewa vikali na wataalamu wa afya pamoja na maafisa wa ndani ya taasisi hiyo, huku afisa mmoja wa CDC akiuulinganisha na jaribio maarufu la kaswende la Tuskegee.
-
Vikosi vya usalama Iran vyanasa silaha 60,000 zilizokuwa zikielekea Tehran
Jan 17, 2026 03:08Vikosi vya usalama vya Iran vinasema vimekamata silaha 60,000 zilizokuwa zikielekezwa Tehran, na kuvunja mtandao wa kigaidi uliopata mafunzo kutoka shirika la kijasusi la Israel, Mossad. Magaidi hao walihusika katika machafuko ya hivi karibuni ambapo waliua raia na maafisa wa usalama baada ya maandamano yaliyokuwa ya amani kugeuzwa na madola ya kigeni kuwa vurugu.
-
UN yataka msaada wa haraka ufike Sudan kuepusha janga la kibinadamu
Jan 17, 2026 03:08Kamishna Mkuu wa Umoja wa Mataifa wa wakimbizi na Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi UNHCR, Barham Salih, ametoa wito wa dharura wa msaada wa kibinadamu na ulinzi kwa watu wanaokimbia vita vya kikatili nchini Sudan, akionya kuwa mgogoro huo sasa umekuwa janga kubwa zaidi na lenye athari mbaya zaidi la watu kufurushwa makwao duniani.
-
WFP: Mamilioni ya watu katika njaa kali Afrika Magharibi na Kati
Jan 16, 2026 23:22Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) limetoa onyo kali kutokea mjini Dakar, Senegal, likieleza kuwa bila rasilimali na hatua za haraka, watu walio katika mazingira magumu zaidi huko Afrika Magharibi na Kati wanakabiliwa na mwaka mwingine wa baa la njaa.
-
Pezeshkian: Kuhusika Marekani na Israel katika matukio ya Iran hakukanushiki
Jan 16, 2026 23:04Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kuhusika moja kwa moja Marekani, utawala wa Kizayuni na baadhi ya nchi za Ulaya katika matukio ya hivi karibuni ya Iran hakukanushiki.
-
Marekani haiwezi kukwepa dhima ya jinai walizofanyiwa wananchi wa Iran
Jan 16, 2026 23:03“Gholamhossein Darzi,” Balozi na Naibu wa Mwakilishi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa amesema kwamba, maandamano ya amani ya wananchi u wa Iran yalitekwa nyara na magenge ya kigaidi yaliyoingizwa Iran na madola ya kigeni ili kuanzisha fujo na mauaji. Marekani haiwezi kukwepa dhima ya jinai na ukatili mkubwa waliofanyiwa wananchi wa Iran.
-
Marekani na Israel zimeonesha kivitendo na waziwazi chuki zao dhidi ya Iran
Jan 16, 2026 23:02Waziri wa Ulinzi nwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: Tuna ushahidi madhubuti unaoonesha kwamba, Marekani, utawala wa Kizayuni na baadhi ya washirika wao waliunda kituo maalumu cha kujadili na kuchora mustakabali wa Iran baada ya kuvamiwa na magaidi.
-
Mchambuzi Mzayuni: Marekani haina uthubutu wa kuanzisha vita vingine dhidi ya Iran
Jan 16, 2026 23:01Mchambuzi mmoja wa masuala ya kieneo na kimataifa wa utawala wa Kizayuni amesema kuwa, si Donald Trump na si Marekani yenyewe, wote hawana uthubutu wa kuanzisha vita vipya dhidi ya Iran.