-
Israel yakiri: Tulisababisha uharibifu mdogo kwa Iran kuliko ilivyodhaniwa hapo awali
Dec 12, 2025 23:03Israel imekiri kuwa ilisababisha uharibifu wa kiwango kidogo kwa Iran wakati wa vita vya siku 12 mwezi Juni mwaka huu kuliko ilivyofikiriwa awali.
-
Mamia ya askari wa Afrika Magharibi wanaendelea 'kusafisha' Benin
Dec 12, 2025 23:03Waziri wa Mambo ya Nje wa Benin amesema wanajeshi wapatao 200 wa Afrika Magharibi, wengi wao kutoka Nigeria na Ivory Coast, wako nchini Benin kuiunga mkono serikali kufuatia mapinduzi yaliyofeli Jumapili iliyopita.
-
Mvua kubwa na radi yaua watu 14 nchini Malawi
Dec 12, 2025 23:02Radi imeua watu 14 nchini Malawi katika muda wa wiki mbili zilizopita, huku nyumba 8,000 zikiharibiwa na kubomoka katika nchi hiyo ya kusini mashariki mwa Afrika kufuatia kushtadi mvua kubwa nchini humo.
-
Kwa nini EU imejikita katika kuwafukuza wakimbizi badala ya kutatua mgogoro wa uhamiaji?
Dec 12, 2025 23:01Nchi wanachama wa Umoja wa Ulaya (EU) zimeidhinisha rasimu ya "Kanuni ya kuanzisha mfumo wa pamoja wa kuwarejesha raia wa nchi ya tatu wasio na vibali halali vya ukaazi.
-
Upinzani mkubwa wa UN dhidi ya kubadilishwa mipaka ya Gaza
Dec 12, 2025 08:55Umoja wa Mataifa umetangaza upinzani wake mkubwa dhidi ya kufanyika mabadiliko ya aina yoyote ya mipaka ya Gaza na utawala wa Israel.
-
Iran yalaani mwenendo wa madola makubwa wa kuitunukia Israel 'haki maalumu' ya kufanyia uchokozi
Dec 12, 2025 07:33Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, sera za mataifa makubwa katika Asia Magharibi zimetengeneza "haki maalumu kwa ajili ya utawala wa Kizayuni," hali ambayo imeiwezesha Israel kufanya uchokozi wa kijeshi katika eneo zima, ikiwa ni pamoja na dhidi ya Iran, bila kukabiliwa na mjibizo wa maana kimataifa kwa uchokozi wake huo.
-
RSF yatuhumiwa kuhusika na mengi ya matukio 1,300 ya ukatili wa kingono katika vita vya Sudan
Dec 12, 2025 06:44Shirika moja la kutetea haki za wanawake limesema, limerekodi matukio yapatayo 1,300 ya vitendo vya ukatili wa kingono na kijinsia vilivyofanywa katika vita vya ndani nchini Sudan huku Kikosi cha Usaidizi wa Haraka (RSF) kikishutumiwa kuhusika na akthari ya vitendo hivyo.
-
Putin atangaza kumuunga mkono Maduro licha ya US kushadidisha vitisho dhidi ya Venezuela
Dec 12, 2025 06:41Rais Vladimir Putin wa Russia amesema, anamuunga mkono Rais wa Venezuela Nicolas Maduro wakati huu ambapo Marekani imejizatiti kijeshi katika eneo la Carribean huku ikishadidisha vitisho dhidi ya Venezuela.
-
Benki Kuu ya Ufaransa yahusishwa na mauaji ya kimbari ya Watutsi ya 1994 nchini Rwanda
Dec 12, 2025 06:41Wanaharakati wa haki za kibinadamu na watafiti mbalimbali wameituhumu Benki Kuu ya Ufaransa kwamba ilihusika kwa namna moja katika matukio yaliyopelekea kutokea mauaji ya kimbari ya mwaka 1994 nchini Rwanda dhidi ya jamii ya Watutsi.
-
Ripoti: US inaishinikiza Israel iuondoe mlima wa kifusi uliozagaa Ghaza baada ya miaka 2 ya vita
Dec 12, 2025 06:40Marekani imeitaka Israel ibebe jukumu la kuondoa vifusi vikubwa vilivyotapakaa kwenye kila pembe ya Ukanda wa Ghaza baada ya zaidi ya miaka miwili ya vita vya kinyama na mauaji ya kimbari iliyofanya dhidi ya Wapalestina wa eneo hilo, pamoja na uharibifu mkubwa uliosababishwa na mashambulizi yake ya anga na matingatinga ya kivita. Hayo yameelezwa na toleo la Alkhamisi la gazeti la kizayuni la Yedioth Ahronoth.